tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Sio povu tumamfokea huyu asiyejua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unasubiria mapovu ya watu sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio povu tumamfokea huyu asiyejua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unasubiria mapovu ya watu sio
Huu wimbo nadhani Jafarai aliununua kwa university corner.Kama nyimbo ya jafarai ft daz baba niko bize bonge ya nyimbo utawafananisha na hawa wasanii wa sahivi
Yeah, mim binafsi namjua.Ndio kweli namzungumzia Saleh Jabir yule alieachia ngoma ya Ice Ice Baby kipindi hicho ngoma hio mbele ilikua hit song yeye akaimba na kurap kiswahili aliitafsiri mistari then ikaruka redioni, unamjua?
Wewe unamjua Saleh J?Yeah, mim binafsi namjua.
Ndio maana nimeshangaa mtoa mada kwenda kumtaja Kuvichaka.
Hebu mtu mmoja aniwekee song la ice ice baby la saleh jabir. Nina swali hapa, hivi saleh jabir wa ruka kama ninja tua kama ndege ndio huyu presenter wa efm radio leo? Na je ana undugu na salama jabir?Umeruka swali alafu ukiwa kitu hujui au hukifahamu ni vizuri useme haujui kuliko kuruka swali unajipunguzia credibility yako ya maana, nimekuuliza unamjua msanii wa kwanza wa bongo alieachia ngoma radioni alikua anaitwa Nani? Kipindi hicho walikua wanabadirisha nyimbo za kingereza kuimba kiswahili yaan ngoma ya mbele Ila wanatafasiri mistari na kuimba kiswahili unamjua?
Kalapina,
Huyu jamaa mbali na kuwa na harakati nyingi akiwa pamoja na kundi lake la Kikosi cha mizinga .ukweli ni kwamba hana kipaji cha music. Alipata umaarufu coz ametoka kipindi wasanii ni wachache
Sugu
Huyu jamaa ana majina kibao kama Mr two, jongwe, too proud na sasa anajiita Taita licha ya kuwa na heshima kama moja ya waasisi wa music wa hiphop tanzania , ukweli ni kwamba hana kipaji cha music
Jaffarai
Huyu ni moja ya member wa wateule alitamba na wimbo wa niko bize .lakini hakuweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu kutokana ukweli hana kipaji
Mchizi mox
Huyu pia ni member mwingine wa wateule ngoma zake zilizowahi kupata airtime ni mambo vp na chupa nyingine . lakini uwezo wake ni wa kawaida sana
Mike tee mnyalu
Huyu jamaa alipata airtime miaka ya zamani kwa ngoma zake lakini ukimskiliza ni wazi hana uwezo kabisa. Ni moja kati ya wasanii ambao huwa wanaandikiwa
Soggydog hunter
Huyu jamaa bora angebaki kwenye u presenter tuu huku kwenye music aliforce tuu hana uwezo kabisa ana ngoma nyingi ila iliyopenya ni kibanda cha simu pekee yake
Bou nako
Huyu alikua member wa N2N lakini tangu hakua na uwezo kabisa .nafkir wana walimbeba tuu kutokana na love .ila kwenye music jamaa hana kipaji
Kr mulah
Huyu ndio founder wa style ya kucheza Mapanga . ameanza sanaa muda mrefu sana lakini ukimskiliza utagundua jamaa hana uwezo wowote kwenye music kwa kifupi hana kipaji
Mh temba
Huyu ni member wa TMK wanaume family mwanzoni alibahatisha ngoma kama tatu zikaenda mjini, baadaye akaja kuungana na chege wakatoa hadi album..ila ukimfuatilia vizur jamaa hana
uwezo kabisa
Rich one
Huyu pia ni member wa TMK alitamba na ngoma moja aliyomshirikisha Juma nature inaitwa hatuna kitu.baada ya hapo hajawai kutoa hitsong tena, Jamaa anasifika kwa utapeli wa kuandaa show na wasanii fake huko mkoani afu anapiga hela
Dudu baya
Huyu jamaa aliotea ngoma kama tatu tuu ambazo zilimtambulisha vyema kwenye game .lakini alipata jina kwakua kipindi anatoka hapakua na upinzani mkali kama ilivyo sasa
Maujanja suppliers
Hawa jamaa nawakubali kwa harakati zao za street lakini kwenye music watupishe hawana vipaji .lakini wao wamekua wanalalamika wanabaniwa kitu ambacho sio ukweli
Kama unafuatilia music wa bongo fleva utakua unakubaliana na mimi hawa jamaa hawana talent za music kabisa
Kipindi hicho na wewe ulikuepo mkuu?Hebu mtu mmoja aniwekee song la ice ice baby la saleh jabir. Nina swali hapa, hivi saleh jabir wa ruka kama ninja tua kama ndege ndio huyu presenter wa efm radio leo? Na je ana undugu na salama jabir?
Nilikuwa mdogo kipindi saleh jabir anaintroduce swahili rap na ngoma yake ya ice ice baby.
Mkuu haijalishi mtu ame hustle muda gani kutoka kimuziki , mimi hapa naongelea pure talent ndo nakwambia kwa wenye sikio la music MH temba hana kipajiUnataka aweje ili umuone ana kipaji
Nikusaidie kwa mazingira ya zaman ilikua ni ngumu sana kutoa nyimbo na ukavuma ni tofauti na sasa hivi
Chujio la zaman ni gumu sana kama huna kipaji tofauti na sasa hivi mafanikio ya msanii yako revolve around kick
Hao uliowataja ni wachache kati ya wengi waliopambana kujulikana ki-music na wakashindwa ukweli ni kwamba watoto wa sahivi mnachukulia mambo kirahis sana kabisa unasimama unasema sugu au temba hana kipaji hivi unayajua mazingira ya 2000 kurudi nyuma huko
Ebu nikuulize una miaka mingapi
Hao wote uliowataja waambie watoe hit song kwa kipindi hiki kudhihirisha ukali wao ..hao wote hawana uwezoMike T,Sugu,Jafarai, umefeli pakubwa.
Wasanaii wa siku hizi ndio bure kabisa zamani kupenya redioni mpaka kwenye kaseti sio mchezo kwa Dudubaya ni sawa jamaa hana upeo kabisa wa mziki.
Uwe na nidhamu kwa wakubwa wako, nyinyi watoto wasumbufu sanambona simuona lady jaydee hapo.
Nimezaliwa 1994/, nimeanza kuskiliza bongo fleva 1999 so nna experience kubwa sanaHuyo ni mtoto wa juzi anafikiri mazingira ya wakati ya miaka 90's ni sawa na leo ni tatizo kubwa la vijana wa social media ndo maana nikaamuliza kazaliwa lini isije ikawa unabishana na mtu ambaye kazaliwa 2000's ndo maana anaongea pumba