Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Mkuu nje ya Music Sugu nampa heshima kubwa sana katika kuupambania muziki wa Bongo fleva
Lakini kama tumeamua kuwa wakweli Sugu hana uwezo wa kisanaa kabisa , ukimskiliza vizuri kama kwelu una sikio la music utagundua jamaa ni wakawaida kinyama
Umeruka swali alafu ukiwa kitu hujui au hukifahamu ni vizuri useme haujui kuliko kuruka swali unajipunguzia credibility yako ya maana, nimekuuliza unamjua msanii wa kwanza wa bongo alieachia ngoma radioni alikua anaitwa Nani? Kipindi hicho walikua wanabadirisha nyimbo za kingereza kuimba kiswahili yaan ngoma ya mbele Ila wanatafasiri mistari na kuimba kiswahili unamjua?
 
Unajua hit song ya mwisho temba kutoa kama solo artist ilikua ni mwaka gani?
Unataka aweje ili umuone ana kipaji
Nikusaidie kwa mazingira ya zaman ilikua ni ngumu sana kutoa nyimbo na ukavuma ni tofauti na sasa hivi

Chujio la zaman ni gumu sana kama huna kipaji tofauti na sasa hivi mafanikio ya msanii yako revolve around kick
Hao uliowataja ni wachache kati ya wengi waliopambana kujulikana ki-music na wakashindwa ukweli ni kwamba watoto wa sahivi mnachukulia mambo kirahis sana kabisa unasimama unasema sugu au temba hana kipaji hivi unayajua mazingira ya 2000 kurudi nyuma huko
Ebu nikuulize una miaka mingapi
 
Mike T,Sugu,Jafarai, umefeli pakubwa.

Wasanaii wa siku hizi ndio bure kabisa zamani kupenya redioni mpaka kwenye kaseti sio mchezo kwa Dudubaya ni sawa jamaa hana upeo kabisa wa mziki.
 
Jina la Kisanii alikua anaitwa Mr. II au Mr. 2 before hajaitwa Sugu alikua anaitwa Mr. II aka Sugu alipotoa 'wananiita Sugu' na Stala Thomas akafuta Mr. II akajiita Sugu km Sugu, sasa tafuta hio ngoma inaitwa "Wananiita Sugu" uisikilize ukimaliza rudi hapa Ila kabla haujarudi fanya paaaaap bonyeza dude moja linaitwa Mambo ya Fedha Sugu ft. Lady Jay Dee ukimaliza kusikiliza njoo hapa
Sawa ila haya n maoni tu kaK
 
Umeruka swali alafu ukiwa kitu hujui au hukifahamu ni vizuri useme haujui kuliko kuruka swali unajipunguzia credibility yako ya maana, nimekuuliza unamjua msanii wa kwanza wa bongo alieachia ngoma radioni alikua anaitwa Nani? Kipindi hicho walikua wanabadirisha nyimbo za kingereza kuimba kiswahili yaan ngoma ya mbele Ila wanatafasiri mistari na kuimba kiswahili unamjua?
Huyo ni mtoto wa juzi anafikiri mazingira ya wakati ya miaka 90's ni sawa na leo ni tatizo kubwa la vijana wa social media ndo maana nikaamuliza kazaliwa lini isije ikawa unabishana na mtu ambaye kazaliwa 2000's ndo maana anaongea pumba
 
Hiyo ni mtoto wa juzi anafikiri mazingira ya wakati ya miaka 90's ni sawa na leo ni tatizo kubwa la vijana wa social media ndo maana nikaamuliza kazaliwa lini isije ikawa unabishana na mtu ambaye kazaliwa 2000's ndo maana anaongea pumba
Ndomana mziki wa sasa unaendana na ushoga ...mziki sahv umechukua nafasi ya taarab wakati ule show zao mashoga lazima wajae
Na sahv mziki mashoga wanajaaa

Ova
 
Umeruka swali alafu ukiwa kitu hujui au hukifahamu ni vizuri useme haujui kuliko kuruka swali unajipunguzia credibility yako ya maana, nimekuuliza unamjua msanii wa kwanza wa bongo alieachia ngoma radioni alikua anaitwa Nani? Kipindi hicho walikua wanabadirisha nyimbo za kingereza kuimba kiswahili yaan ngoma ya mbele Ila wanatafasiri mistari na kuimba kiswahili unamjua?
Mimi ukinitajia Salehe Jabir wa kwanza kunijia ni huyu ulomuelezea hapa.

Ila naona mtoa mada kaenda kwa Kuvichaka.

Tunatoautiana sana.
 
Mb dog hit song ya mwisho ni ya mwaka gani?
Huyu jamaa Nyota TU imemkataa Ila daah acha tu nisiongee mengi na ile mi-beat aliyokua akitengenezewa na P Funk Majani km ile ya Latifah na ile Si Uliniambia (Waja) ukitaka kujua mengi kamuulize Diamond Platinums kwanini mwanae kamuita Latifah atakwambie aliipenda ile movie ya wizi aliyocheza yule mwanamama Queen Latifah Set It Off na atajieleza mengi kuhusu Dog man Ila ukweli ni ngoma moja la MB Dog linaitwa Latifah
 
Mimi ukinitajia Salehe Jabir wa kwanza kunijia ni huyu ulomuelezea hapa.

Ila naona mtoa mada kaenda kwa Kuvichaka.

Tunatoautiana sana.
Ndio kweli namzungumzia Saleh Jabir yule alieachia ngoma ya Ice Ice Baby kipindi hicho ngoma hio mbele ilikua hit song yeye akaimba na kurap kiswahili aliitafsiri mistari then ikaruka redioni, unamjua?
 
Back
Top Bottom