Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

nilidhani unazungumzia wasanii wanao trend kwa sasa,kumbe unazungumzia zilipendwa
 
Thank you brother [emoji110]
 
Mziki wa sugu siukubali lakini kipaji anacho..
Mnyalu umemkosea anajua Sana..
Umewapatia akina temba KR mulla..
 
Swali la kitoto sana
Uzi wako ungekuwa na maana kama unge dadavua, japo kwa uchache unaelewa nini kuhusu kipaji,

Then, kwa jinsi ambavyo ungeeleza huu uzi wako ungekuwa kama hitimisho tu, kwamba kutokana na maana hii ya neno "kipaji" wasanii wafuatao hawa fit
 
Kuna uwezekano mkubwa ukawa hujuii vizurii kuhusu temba.....

Anzia kule monduli mobb....

Unajuaa kwann alijiitaa mh Temba, unamjuaa bwana mkubwa....

Unaujuaa wimbo unaitwaa nini kutuzimia...
Nakumindi
 
Nakubaliana na wewe kwa Kr Mullah.

Mwingine Enock Bela
 
nimegundua watu wengi hamjui muziki, yaani ni watu wa upepo tu
 
kama unaufatilia mziki vizuri basi wakazi ungemjua, shida yake tu anataka kufanya kama bado yupo marekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…