Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Afu jamaa enu Sugu bado ana ushamba sana, jana kapost hii picha huko twitter ...et akidai walipambana na udictetor kwa kila namna
 
Afu jamaa enu Sugu bado ana ushamba sana, jana kapost hii picha huko twitter ...et akidai walipambana na udictetor kwa kila namnaView attachment 2582947
Kama unajua unajua tu ,Mungu hawez kukunyang'anya Talanta aliokupatia

Sugu aliimba " Dunia sio mbaya Ila walimwengu ndio wabaya" walimwengu pamoja na mapepo!
Kuna uzi hapa jamaa kam-koti SUGU huku, sio flow, amekoti content ya wimbo wake..
 
Jamani ongeeni wote ila KALI P nawaomba mumuache kama alivyo[emoji1][emoji1][emoji1] hadi leo msela nasikilizaga nyimbo zake nabak kucheka tuu[emoji1] af kuna DOJO na Domokaya washkaj hua nikiskiliza ngoma zao nafurahi tuu idea zilikua uniq na halisia apo sijamtaja JOHN WOLKER na SOLID GROUND FAMILY wazee wa bush party[emoji1] kikwel kuimba (kipaji) ni secta pana sana watu msikaze vichwa et mpka mtu hue unafwata codes na saut sijui unashuka na kupanda ndo useme uyu mtu anakipaj amna ubunifu kuleta kitu tofauti na watu wakakiskia wakakipokea na kuburudika nikipaji pia,

Kama utapinga bas nisaidie kufafanua yule diamond platinumz wa zamani(MR NICE) alikua na kipaji au alibahatisha.
 
Mr nice ni pure talent ile
 
Kal p wa imekaa vibaya , namuona zaidi kwenye comedy
 
We ndo mpumbavu unaendeshwa na mihemko tuliza kichwa msikilize sugu vizuri utagundua jamaa ni mweupe sana
Mweupe kivipi wakat mtu kashafanya show hadi mtoni na ana album nyingi tu anakuwaje mweupe?

Ndio maana nimekuita mpumbavu bwana mdogo. Wewe kama humuelewi haina maana kwamba hajui.
 
Nilivyoona "TOO PROU" nikajua tu mtoa mada hafatilii muziki
 
Mweupe kivipi wakat mtu kashafanya show hadi mtoni na ana album nyingi tu anakuwaje mweupe?

Ndio maana nimekuita mpumbavu bwana mdogo. Wewe kama humuelewi haina maana kwamba hajui.
Kila nikitafuta sababu ya msingi ya jamaa kutokumuelewa Sugu siioni. Ila nachokihisi ni kuwa jamaa hajapenda kazi za Sugu. Sasa hapa ndipo linapokuja swala la kuendeshwa na hisia kwenye uhalisia. Tuvumiliane tu.
 
Mweupe kivipi wakat mtu kashafanya show hadi mtoni na ana album nyingi tu anakuwaje mweupe?

Ndio maana nimekuita mpumbavu bwana mdogo. Wewe kama humuelewi haina maana kwamba hajui.
Unazidi kuonyesha upumbavu wako,
Nshakuambia kutoa album nyingi sio kigezo cha kumfanya aonekane ni mkali, hiyo show aliofanya huko mtoni share link hapa tuone hao mashabiki walioenda
 
Na mimi nimeheshimu maoni yako ila sijaona sababu ya msingi. Kama mpaka leo hujaona uwezo wa Sugu kamwe hautakaa kuuona mkuu.
Ni kweli kaka kamwe sitakaa nione huo uwezo wa sugu coz haupo
 
Kila nikitafuta sababu ya msingi ya jamaa kutokumuelewa Sugu siioni. Ila nachokihisi ni kuwa jamaa hajapenda kazi za Sugu. Sasa hapa ndipo linapokuja swala la kuendeshwa na hisia kwenye uhalisia. Tuvumiliane tu.
Hayo ni maoni yako, lakini kwa mimi sijaendeshwa na hisia coz hapo nimekutajia wasanii wengi, licha ya kutaja wengi, Huyo sugu kama.umefuatilia comments za watu huku ...wapo wengi pia ambao wanakubaliana na mimi , Sasa unataka kusema hao wanaokubaliana na mimi SUGU hana kipaji nao wanaendeshwa na Hisia?
 
Jina la kwanza kabisa alijiita two proud
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…