Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Hizi ni itikadi za kisiasa kabisa et talent!!!
Ajabu ni kuwa kwenye siasa nako wanasema kuwa SUGU ni mwanamuziki, arudi huko kwenye muziki ndiko kunakomfaa.
 
Wameanza kuskiza mziki juzi hawa, sasa mtu anaanzaje kusema SUGU na SOGGY ni wabovu kweli!
 
Sasa sugu kwenda nje kupiga deiwaka inatuhusu nn sisi mashabiki ambaye tunajua wazi hana kipaji cha muziki..

Kadri unavozidi ku comment ndo unazidi kuonyesha upumbavu wako na ushamba .
Upumbavu na ushamba unao wewe unayedai watu hawana vipaji ila kujibu kipaji ni nini hutaki.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yan verse mbovu kichizi afu kuna majinga hapa yanasema jamaa ana talent
Mjinga hapa ni wewe ambaye unaona watu waliokataa maoni yako ni Wajinga. Mwishoni hata ukila mavi wewe, utaona wasiokula mavi kama wewe ni wajinga. Punguza upumbavu.
 
Na anapenda misosi
“…tomato kachumbari weka pilipili kwa mbali… 🎶
Viepe jazajaza mishikaki isiungue sana…🎶…”

😂😂
 
Mainstream ndio takataka gani!? Kuna msanii asiyetaka kutoka na kubakia tu underground!? Punguza ujuaji uchwara wa kichwa maji.
 
Samahani! Kipaji ni nini!? Na wewe kutomuelewa msanii, ndio ina maana hana kipaji!? Binafsi huwa simuelewi Barnaba, lakini hiyo haiwezi kunifanya niseme hana kipaji cha muziki.
Hajui kuimba. Ni muonekano unambeba
 

Sasa kama unajua Hilo kwa nin mwanzo ulisema kipaji ni mpaka msanii atoe hit song?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…