sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,474
- 6,195
Ajabu ni kuwa kwenye siasa nako wanasema kuwa SUGU ni mwanamuziki, arudi huko kwenye muziki ndiko kunakomfaa.Hizi ni itikadi za kisiasa kabisa et talent!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajabu ni kuwa kwenye siasa nako wanasema kuwa SUGU ni mwanamuziki, arudi huko kwenye muziki ndiko kunakomfaa.Hizi ni itikadi za kisiasa kabisa et talent!!!
Exactly50_50 (pasu kwa pasu naamini ilitokea hapa)
Wameanza kuskiza mziki juzi hawa, sasa mtu anaanzaje kusema SUGU na SOGGY ni wabovu kweli!Jina la Kisanii alikua anaitwa Mr. II au Mr. 2 before hajaitwa Sugu alikua anaitwa Mr. II aka Sugu alipotoa 'wananiita Sugu' na Stala Thomas akafuta Mr. II akajiita Sugu km Sugu, sasa tafuta hio ngoma inaitwa "Wananiita Sugu" uisikilize ukimaliza rudi hapa Ila kabla haujarudi fanya paaaaap bonyeza dude moja linaitwa Mambo ya Fedha Sugu ft. Lady Jay Dee ukimaliza kusikiliza njoo hapa
Upumbavu na ushamba unao wewe unayedai watu hawana vipaji ila kujibu kipaji ni nini hutaki.Sasa sugu kwenda nje kupiga deiwaka inatuhusu nn sisi mashabiki ambaye tunajua wazi hana kipaji cha muziki..
Kadri unavozidi ku comment ndo unazidi kuonyesha upumbavu wako na ushamba .
Mjinga hapa ni wewe ambaye unaona watu waliokataa maoni yako ni Wajinga. Mwishoni hata ukila mavi wewe, utaona wasiokula mavi kama wewe ni wajinga. Punguza upumbavu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yan verse mbovu kichizi afu kuna majinga hapa yanasema jamaa ana talent
Na anapenda misosiTemba mwanzon huko alifanya vizur ..ila ukitaka ujue jamaa hana uwezo ..mwambie atie solo projects uone kama ataweza tena kutoa hit song
Temba alibebwa sana na chege
Au nkuulize....Ntajie hitsong ya mwisho temba kutoa kama hit song ilikua mwaka gani
Bila shaka ilikua 2009 nyimbo inaitwa Maneno nawafunza ...toka hapo ngoma zilizotamba hajafanya peke yake
Nimemuuliza niliyem_quote maana yeye anachukulia kipaji ni kutoa hit song. Anitajie hizo hit song za huyo jamaa.PC the mc hana kipaji?
Mainstream ndio takataka gani!? Kuna msanii asiyetaka kutoka na kubakia tu underground!? Punguza ujuaji uchwara wa kichwa maji.Kwa kifupi wasanii wote wa tamaduni ni talented
Najua umeuliza hilo kwa kigezo cha kutoa hit song.
Iko hivi kuna wasanii wa main stream na kuna underground artist
Tamaduni wote hawafanyi muziki wa mainstream lakini mitaa inawaelewa
Usirudie tena kuuliza maswali ya kitoto
Umemfahamu Sugu baada ya kuwa Mbunge. Nitajie ngoma za Sugu alizofanya baada ya kuwa Mbunge!?Kwa uandishi upi na flow ipi? Sugu mnapenda kwasababu ya itikadi za kisiasa ila ukweli hajui mziki na hajui kurap
Rap wewe tuone hakuna shidaKwa uandishi upi na flow ipi? Sugu mnapenda kwasababu ya itikadi za kisiasa ila ukweli hajui mziki na hajui kurap
Mainstream ndio takataka gani!? Kuna msanii asiyetaka kutoka na kubakia tu underground!? Punguza ujuaji uchwara wa kichwa maji.
Kaka usinibishie mimi ni old skul, album za Sugu nilikuwa nanunuaWe hujui kitu ni Too proud yan wakimaanisha jamaa ana majigambo mno
Aliitwa 2 proudNi Sugu jina lake la mwanzo kabisa la kisanii.
Anhaaa sawa.Nimemuuliza niliyem_quote maana yeye anachukulia kipaji ni kutoa hit song. Anitajie hizo hit song za huyo jamaa.
We hujui kitu ni Too proud yan wakimaanisha jamaa ana majigambo mno
We hujui kitu ni Too proud yan wakimaanisha jamaa ana majigambo mno
Wewe ndio mpumbavu kwasababu ulisema kipaji ni kutoa hit songs ndio maana jamaa kakupa mfano wa banana Zoro..Tatizo la kuvamia treni kwa mbele ....unaonyesha ulivo mpumbavu
Muanzisha mada ni aina ya watu wajinga wajinga tuView attachment 2583280
Angalia hiyo ni two au too
Hajui kuimba. Ni muonekano unambebaSamahani! Kipaji ni nini!? Na wewe kutomuelewa msanii, ndio ina maana hana kipaji!? Binafsi huwa simuelewi Barnaba, lakini hiyo haiwezi kunifanya niseme hana kipaji cha muziki.
Unahamisha magoli tu hapa. Kuna post ya jamaa sajo kama sijakosea. Kakuuliza hawana vipaji kwa kigezo gani!? Mashairi, flow n.k, haukujibu. Sasa umekamatiwa kweye kona unajifanya oh flow 0%, sijui nini na nini.
Kwa kifupi wewe mweupe tu, na unawapotezea watu muda. Maana hata "kipaji" unachodai hawana uliulizwa "kipaji" ni nini!? hukujibu.
Sasa kama unajua Hilo kwa nin mwanzo ulisema kipaji ni mpaka msanii atoe hit song?Kwa kifupi wasanii wote wa tamaduni ni talented
Najua umeuliza hilo kwa kigezo cha kutoa hit song.
Iko hivi kuna wasanii wa main stream na kuna underground artist
Tamaduni wote hawafanyi muziki wa mainstream lakini mitaa inawaelewa
Usirudie tena kuuliza maswali ya kitoto