Fatilia utajua huu ukweli ambao malimbukeni wengi km nyie hamuujuiShida ni kwamba vijana wa siku hizi wanadhania kila kitu bora ni kile kinatokea kwenye era yao
Nilicheka sana nikataka nimjibu lakini nikampotezea eti jina la 2 proud limetokana na mzungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nachobisha ni wewe kuhitimisha mtu hana kipaji bila ya kuweka wazi mambo uliyozingatiaHujaeleweka unachobisha ni nini
Kwanza nashkuru tumekubaliana yote niliyosema kuhusu kipaji chake.
Nakubali ana kipaji ila kipaji chake ni cha kawaida. Legacy yake imebase kwenye uasisi zaidi na sio talent yake.....
kama kuna mtu anapinga uasisi wa Jongwe basi ana matatizo, ila kipaji ni debate halali kabisa.
Fatilia utajua huu ukweli ambao malimbukeni wengi km nyie hamuujui
Mkuu.....Nilikua naiangalia list ya Billboards/VIBE ya Rapa bora 50 wa muda wote
Wangekua wanatumia vigezo kama vyako rapa wengi sana wa kitambo wasinge ingia
Tatizo letu hatuna utaratibu mzuri wa kuweka rekodi zetu
Leo hii ukimwambia mtu wa kizazi kipya hakuna na hajatokea rapa Tz aliyewahi kuvuma na kutingisha kama Juma nature watakukatalia kwasababu hakuna rekodi mahali zinaonyesha hivyo
Kulinganisha uandishi wa Jongwe na Vina au Fif Q au FA au wakina Nikki utakua unamuonea sana
Maarifa hayakua makubwa kama walionayo wakina Vina
Ukitaka kujua ubora wa Hongwe akiwa kwenye peak yake basi mlinganishe na aliokua nao kipindi hicho
Kuna majina kwenye 50 GOAT ya Billboards hata huyajui lakini ukiwa google utaona walifanya makubwa enzi zao tena wakiwa kama waandishi mahiri lakini ukiaja kulinganisha uandishi wao na labda J cole, Big sean utaona wameachwa mbali
So kwa era ya akina Jongwe jamaa alikua anakipaji kikubwa sana tu
Hili ndo jawabu lakeInawezekana wewe ndo huna kipaji hata cha kusikiliza music
Msanii mwanamuziki mzuri ni kufanya kazi nzuri nyingi zenye ushawishi tena kwa muda mrefu (miaka mingi). Huwezi last kwenye game kama muziki wako haukubaliki. Huwezi. Utapotea. Hilo Sugu kathibitisha.UKirudia kusoma nilichoandika nakubaliana na wewe ana kipaji, ila sio kama wasanii wengine Fid, FA, etc japo alianza kufanya mziki mapema ila kipaji chake ni cha kawaida.
Ni kweli kama yupo msanii anayefanya hivyo hatokuwa bora, lakini msanii mzuri sio yule anayeandika mashairi kama kijana wa form three no "punchlines " at all. Wordplay ni muhimu hii ni sifa ya msanii mzuri.
Ni mjadala huru, sidhani kama tukijadili ujuzi wangu wa mziki au kutokujua in relation na hao watu wanao mrate itasaidia kitu........
Napokea hoja, Why unadhani SUGU ni msanii mzuri kama inavyozungumzwa?
Profesa Jay wa "Bongo Dsm"na huyu wa "kipi sijasikia" ana taste tofauti!?Sugu ni yule yule miaka yote hana uwezo kiuandishi wala flow , ukimskiliza sugu wa niko mikononi mwa polisi na huyu wa mtiti unapata test ile ile , sasa ukisema sahv sugu anafanya muziki for fan nashindwa kukuelewa , huko nyuma alipokua ana kaza mbona ana sound the same na sasa
Kipaji kidogo au hana kipaji.!? Mtoa mada hajasema kuhusu "kipaji kidogo" lakini!Vigezo vikiwa vingi against wewe ndipo watu wanahitimisha kuwa kipaji chako ni kidogo.
Hana kipaji kabisa❌Kipaji kidogo au hana kipaji.!? Mtoa mada hajasema kuhusu "kipaji kidogo" lakini!
Umefunga mjadala Mkuu.Ni kweliJongwe sio mkali sana kwenye wordplay na punchline na kuchagua beat kali
Lakini Jongwe ni muandishi mzuri sana na anajua sana kutunga topiki kali za kijamii
Kutokuwa na punchline za kutisha hakumaanishi ni kutokua na kipaji
Legacy ya mtu hailazimishwi inakuja yenyewe kwa aliyofanya
Kusema Sugu hana kipaji ni KUMKOSEA HESHIMA
Legacy ya Jongwe kwenye muziki wa hip hop Tz haiwezi kuondoka kwasababu labda hamvutiwi na flow yake au mashairi yake mepesi kwa mujibu wa MAONI yenu
Nakumbuka miaka hiyo Hip hop ilikua inaonekana kama uhuni tu lakini Jongwe ndio rapper wa kwanza Tz kwenda mainstream(achana nabJabir alikua napiga copy na kutafsiri)
Na hata walipokuja marapa wengine wakakimbiza sana mainstream kama akina Juma Nature, Inspt Harion na makundi kibao ya rap lakini bado hawakuwa na ladha halisi ya hip hop, ilikua ni lazima utarudi kwa Jongwe ndio utapata kuboo kambaaam za akina tupac na NWA
Jongwe ndio msanii wa kwanza kushinda M-Net award Tz
Enzi hizo akina Nature,na marapa kibao walikua wanaimba madudu matupu lakini Jongwe alikua anaimba vitu vya msingi kweli kweli akaipa hip hop heshima kubwa kwamba kumbe ni mziki unaoweza kuimba vitu vya maana
Wasanii wengi sana walio kuja kuchipukia baadae walifuata mkumbo huo na kuanza kutunga tungo za jamii
Jongwe sio aina ya msanii ambaye atatoa hit zikaahika chati nabkupigwa disko
Jongwe ni muumini wa hip hop ngumu hadi beat lakini ndio msanii aliyefanikiwa ku maintain kiwango chake kile kile kwa album zake karibia zote 10
Haendelei na muziki kwa sana kwasababu dunia imebadilika na aina ya muziki wake haina tena wasikilizaji wengi
Najua Wikipedia inamapungufu yake lakini angalau tembelea page za wana hipo hop wote wa Tz utapata mwanga jinsi jongwe alivyo legendary kwenye hii tasnia
Kama unaijua historia ya muziki wa hip hop Tz jongwe lazima awe kwenye top 5 yako
Huyu jamaa kuna majina ya dharau ameyatumia sana kuwaita watu humu. Na mimi nimeenda naye hivyo hivyo anavyotaka. Actually ni MPUMBAVU flani hiiivi. Maana haiingii akilini kuwakosoa wadau wengine kwa lugha za kukera.Tunaweza kujadilia bila kutumia lugha za kuudhi mkuu
We’re just doing it for fun...... no hard feelings
Relax mkuu
Huyo huyo Mkuu.Sugu yupi? huyu wa Mikononi mwa police, Chini ya 18, Hayakua maepenzi, mambo ya fedha, Dar, moto chini,?
Itakua mtoa post hana kipaji cha kusikiliza mzikiHuyo huyo Mkuu.
Huwezi kuwa serious Aisee! Naona kabisa wewe ndio huna sikio la muziki.Tofauti kubwa sana , labda kama huna sikio la muziki