Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Shida ni kwamba vijana wa siku hizi wanadhania kila kitu bora ni kile kinatokea kwenye era yao

Nilicheka sana nikataka nimjibu lakini nikampotezea eti jina la 2 proud limetokana na mzungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fatilia utajua huu ukweli ambao malimbukeni wengi km nyie hamuujui
 
Kwanza nashkuru tumekubaliana yote niliyosema kuhusu kipaji chake.
Nakubali ana kipaji ila kipaji chake ni cha kawaida. Legacy yake imebase kwenye uasisi zaidi na sio talent yake.....
kama kuna mtu anapinga uasisi wa Jongwe basi ana matatizo, ila kipaji ni debate halali kabisa.

Nilikua naiangalia list ya Billboards/VIBE ya Rapa bora 50 wa muda wote(simaanishi kama wako perfect)
Wangekua wanatumia vigezo kama vyako rapa wengi sana wa kitambo wasinge ingia
Tatizo letu hatuna utaratibu mzuri wa kuweka rekodi zetu
Leo hii ukimwambia mtu wa kizazi kipya hakuna na hajatokea rapa Tz aliyewahi kuvuma na kutingisha kama Juma nature watakukatalia kwasababu hakuna rekodi mahali zinaonyesha hivyo

Kulinganisha uandishi wa Jongwe na Vina au Fif Q au FA au wakina Nikki utakua unamuonea sana
Maarifa hayakua makubwa kama walionayo wakina Vina
Ukitaka kujua ubora wa Hongwe akiwa kwenye peak yake basi mlinganishe na aliokua nao kipindi hicho

Kuna majina kwenye 50 GOAT ya Billboards hata huyajui lakini ukiwa google utaona walifanya makubwa enzi zao tena wakiwa kama waandishi mahiri lakini ukiaja kulinganisha uandishi wao na labda J cole, Big sean utaona wameachwa mbali

So kwa era ya akina Jongwe jamaa alikua anakipaji kikubwa sana tu
 
Nilikua naiangalia list ya Billboards/VIBE ya Rapa bora 50 wa muda wote
Wangekua wanatumia vigezo kama vyako rapa wengi sana wa kitambo wasinge ingia
Tatizo letu hatuna utaratibu mzuri wa kuweka rekodi zetu
Leo hii ukimwambia mtu wa kizazi kipya hakuna na hajatokea rapa Tz aliyewahi kuvuma na kutingisha kama Juma nature watakukatalia kwasababu hakuna rekodi mahali zinaonyesha hivyo

Kulinganisha uandishi wa Jongwe na Vina au Fif Q au FA au wakina Nikki utakua unamuonea sana
Maarifa hayakua makubwa kama walionayo wakina Vina
Ukitaka kujua ubora wa Hongwe akiwa kwenye peak yake basi mlinganishe na aliokua nao kipindi hicho

Kuna majina kwenye 50 GOAT ya Billboards hata huyajui lakini ukiwa google utaona walifanya makubwa enzi zao tena wakiwa kama waandishi mahiri lakini ukiaja kulinganisha uandishi wao na labda J cole, Big sean utaona wameachwa mbali

So kwa era ya akina Jongwe jamaa alikua anakipaji kikubwa sana tu
Mkuu.....
Since Hip hop ni mziki wa mapokeo, asili yake sio hapa. Tunapokea ready "evolved" kwahiyo suala la "evolution" ya mziki linakwenda sambamba na mziki wa US umefika wapi.
Nimesikiliza album ya SUGU "Ni mimi " najua umeiskiliza pia, kwa ambaye hajaiskiliza aende Spotify ipo pia. Hii album ni ya 1995.
By 1995 hiphop ilikuwa katika level gani? Nadhani ndio katika peak yake.

,mfano Inayosadikika kuwa ni Album bora ya mda wote "Illmatic" ilikuwa tayari ina mwaka kabisa.
Je tuseme Ngoma zinazohit US zilikuwa hazijaskika bado bongo? Sugu alikuwa hajaziskia? Mbona beat zake zilikuwa kali tu?

Hoja yako ningeielewa kama Hiphop ingekuwa imeanzia Bongo, so wao ndio wanapambana kuikuza.
Hoja ya uchanga wa hiphop ( uchache wa maarifa) inakuwa applied kwa kina LL cool J kwa kuwa wao ndio waliokuwa wanaanza. No where to refer to, au tuseme hakuna aliyefanya better.

Pia uchache wa maarifa ungeeleweka kama Msanii husika angekuwa anakua na Muziki.
Lakini haipo kivyo kwa Mr II, mziki ulienda unakua lakini yeye akabaki hivyo hivyo.
Hili inaonesha kuwa tatizo sio la uhaba wa maarifa ila tatizo lake binafsi.
Lakini ukimsikiliza Sugu wa kwenye "Ni mimi_1995" na Sugu wa kwenye "Sugu_2004" ni yule yule hakuna kilichobadilika.
Tofauti na walioface tatizo la uchache wa maarifa kweli, ntamtumia LL cool J
LL wa kwenye "radio" sio LL wa kwenye "The definition_ 2004"
 
UKirudia kusoma nilichoandika nakubaliana na wewe ana kipaji, ila sio kama wasanii wengine Fid, FA, etc japo alianza kufanya mziki mapema ila kipaji chake ni cha kawaida.

Ni kweli kama yupo msanii anayefanya hivyo hatokuwa bora, lakini msanii mzuri sio yule anayeandika mashairi kama kijana wa form three no "punchlines " at all. Wordplay ni muhimu hii ni sifa ya msanii mzuri.

Ni mjadala huru, sidhani kama tukijadili ujuzi wangu wa mziki au kutokujua in relation na hao watu wanao mrate itasaidia kitu........

Napokea hoja, Why unadhani SUGU ni msanii mzuri kama inavyozungumzwa?
Msanii mwanamuziki mzuri ni kufanya kazi nzuri nyingi zenye ushawishi tena kwa muda mrefu (miaka mingi). Huwezi last kwenye game kama muziki wako haukubaliki. Huwezi. Utapotea. Hilo Sugu kathibitisha.

Unaweza ona hata ile album ya Millenia(2000) imetoka tayari Sugu hana tena ile njaa ya 1994/95 lakini ina mawe kibao yenye akili. Huwezi sema huyo mtu anaotea (hana kipaji ya hiko anachofanya), huo utakuwa ni unafiki.
 
Sugu ni yule yule miaka yote hana uwezo kiuandishi wala flow , ukimskiliza sugu wa niko mikononi mwa polisi na huyu wa mtiti unapata test ile ile , sasa ukisema sahv sugu anafanya muziki for fan nashindwa kukuelewa , huko nyuma alipokua ana kaza mbona ana sound the same na sasa
Profesa Jay wa "Bongo Dsm"na huyu wa "kipi sijasikia" ana taste tofauti!?
 
Ninachojua mtoto bwabwa Mchelemchele huwezi kuona vipaji vya hao watu
 
Ni kweliJongwe sio mkali sana kwenye wordplay na punchline na kuchagua beat kali
Lakini Jongwe ni muandishi mzuri sana na anajua sana kutunga topiki kali za kijamii

Kutokuwa na punchline za kutisha hakumaanishi ni kutokua na kipaji

Legacy ya mtu hailazimishwi inakuja yenyewe kwa aliyofanya
Kusema Sugu hana kipaji ni KUMKOSEA HESHIMA
Legacy ya Jongwe kwenye muziki wa hip hop Tz haiwezi kuondoka kwasababu labda hamvutiwi na flow yake au mashairi yake mepesi kwa mujibu wa MAONI yenu

Nakumbuka miaka hiyo Hip hop ilikua inaonekana kama uhuni tu lakini Jongwe ndio rapper wa kwanza Tz kwenda mainstream(achana nabJabir alikua napiga copy na kutafsiri)

Na hata walipokuja marapa wengine wakakimbiza sana mainstream kama akina Juma Nature, Inspt Harion na makundi kibao ya rap lakini bado hawakuwa na ladha halisi ya hip hop, ilikua ni lazima utarudi kwa Jongwe ndio utapata kuboo kambaaam za akina tupac na NWA

Jongwe ndio msanii wa kwanza kushinda M-Net award Tz

Enzi hizo akina Nature,na marapa kibao walikua wanaimba madudu matupu lakini Jongwe alikua anaimba vitu vya msingi kweli kweli akaipa hip hop heshima kubwa kwamba kumbe ni mziki unaoweza kuimba vitu vya maana

Wasanii wengi sana walio kuja kuchipukia baadae walifuata mkumbo huo na kuanza kutunga tungo za jamii

Jongwe sio aina ya msanii ambaye atatoa hit zikaahika chati nabkupigwa disko
Jongwe ni muumini wa hip hop ngumu hadi beat lakini ndio msanii aliyefanikiwa ku maintain kiwango chake kile kile kwa album zake karibia zote 10
Haendelei na muziki kwa sana kwasababu dunia imebadilika na aina ya muziki wake haina tena wasikilizaji wengi

Najua Wikipedia inamapungufu yake lakini angalau tembelea page za wana hipo hop wote wa Tz utapata mwanga jinsi jongwe alivyo legendary kwenye hii tasnia

Kama unaijua historia ya muziki wa hip hop Tz jongwe lazima awe kwenye top 5 yako
Umefunga mjadala Mkuu.
 
Tunaweza kujadilia bila kutumia lugha za kuudhi mkuu

We’re just doing it for fun...... no hard feelings

Relax mkuu
Huyu jamaa kuna majina ya dharau ameyatumia sana kuwaita watu humu. Na mimi nimeenda naye hivyo hivyo anavyotaka. Actually ni MPUMBAVU flani hiiivi. Maana haiingii akilini kuwakosoa wadau wengine kwa lugha za kukera.
 
Sugu yupi? huyu wa Mikononi mwa police, Chini ya 18, Hayakua maepenzi, mambo ya fedha, Dar, moto chini,?
 
Huwezi kuwa serious Aisee! Naona kabisa wewe ndio huna sikio la muziki.
Unataka kusema prof jay chemshabongo ndo huyo huyo wa Hapo vp hapo sawa?

Hauko serious mzee
 
Back
Top Bottom