Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Wewe ndio mjinga, mpumbavu na punguani. Umeanza kumsikiliza Sugu baada ya kuwa mbunge ndio unajifanya kuhukumu. Sugu wa baada ya ubunge si anafanya kujifurahisha tu. Yuko serious na game!?
Hata kama nimeanza msikiliza leo kwani nyimbo zake zote si zipo!!nimesikiliza nyimbo zake nyingi kiufupi hajui
 
Juzi nmeona tuzo za TMA Bill Nas yupo kwenye category ya msanii bora wa Hip hop kama mashabiki wenyewe ndio hawa sishangai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa hilo ni tatizo la waandaji tuzo

Lakini nakwambia ukweli hata SUGU angekua kwenye hiyo category bado ningeona ni upuuzi tuu kama ww unavyo shangaa Bilnass kuingia kwenye tuzo hizo wakati hafanyi HIPHOP
 
Mkuu.....
Since Hip hop ni mziki wa mapokeo, asili yake sio hapa. Tunapokea ready "evolved" kwahiyo suala la "evolution" ya mziki linakwenda sambamba na mziki wa US umefika wapi.
Nimesikiliza album ya SUGU "Ni mimi " najua umeiskiliza pia, kwa ambaye hajaiskiliza aende Spotify ipo pia. Hii album ni ya 1995.
By 1995 hiphop ilikuwa katika level gani? Nadhani ndio katika peak yake.

,mfano Inayosadikika kuwa ni Album bora ya mda wote "Illmatic" ilikuwa tayari ina mwaka kabisa.
Je tuseme Ngoma zinazohit US zilikuwa hazijaskika bado bongo? Sugu alikuwa hajaziskia? Mbona beat zake zilikuwa kali tu?

Hoja yako ningeielewa kama Hiphop ingekuwa imeanzia Bongo, so wao ndio wanapambana kuikuza.
Hoja ya uchanga wa hiphop ( uchache wa maarifa) inakuwa applied kwa kina LL cool J kwa kuwa wao ndio waliokuwa wanaanza. No where to refer to, au tuseme hakuna aliyefanya better.

Pia uchache wa maarifa ungeeleweka kama Msanii husika angekuwa anakua na Muziki.
Lakini haipo kivyo kwa Mr II, mziki ulienda unakua lakini yeye akabaki hivyo hivyo.
Hili inaonesha kuwa tatizo sio la uhaba wa maarifa ila tatizo lake binafsi.
Lakini ukimsikiliza Sugu wa kwenye "Ni mimi_1995" na Sugu wa kwenye "Sugu_2004" ni yule yule hakuna kilichobadilika.
Tofauti na walioface tatizo la uchache wa maarifa kweli, ntamtumia LL cool J
LL wa kwenye "radio" sio LL wa kwenye "The definition_ 2004"
Aisee! Sitaki kuamini. Yaani ulitarajia Sugu awe na zile midondoko kama ya mbele 1995!? Unajua alikuwa inspired na nani labda!? Hiyo 1995 unayodai wewe ni ile game ya huko ndio unaweza sema ilikuwa at its peak wakati game yetu ndio ilikuwa inatambaa. By the way hebu nitajie watu ambao walikuwa wako level moja na huko mbele hiyo 1995 hapa Bongo.
 
Kipindi zinatoka hapakua na competition
Endelea kuandika pumba. Nini kiliwafanya walioanza game na Sugu kupotea na Sugu kubaki!? Usije ukaniambia wakati Sugu anafanya muziki hakukuwa na wasanii wengine. Naomba jibu hapo
 
Aisee! Sitaki kuamini. Yaani ulitarajia Sugu awe na zile midondoko kama ya mbele 1995!? Unajua alikuwa inspired na nani labda!? Hiyo 1995 unayodai wewe ni ile game ya huko ndio unaweza sema ilikuwa at its peak wakati game yetu ndio ilikuwa inatambaa. By the way hebu nitajie watu ambao walikuwa wako level moja na huko mbele hiyo 1995 hapa Bongo.
Hoja inaweza ikawa haijaeleweka vyema au mimi sijaiwasilisha Vyema.
 
Kalapina (YES)
Dudu Baya (YES)
Richie One (YES)
KR Mullah (YES)
Bou Nako (YES)
Maujanja (YES)

Mchizi Mox (Muombe Msamaha)
Jaffarai (Muombe Msamaha)
Mh. Temba (Muombe Msamaha)
Sugu (Muombe Msamaha)

Mike Tee (Nenda palee upigwe makonzi manne, kisha muombe msamaha)
Soggy Doggy (Nenda paleee upigwe makonzi 9, kisha umuombe msamaha)
Kama ninge ..kama ningekuwa mimi star[emoji445]
Nahisi jina langu kila mtaa lingezagaa[emoji445]
Anzia ngazi Taifa, mpaka mkoa[emoji445]
Vibanda vya mamc katuni vyote ningebomoa[emoji445]


Jamaa alikuwa ananata na beats kali za majani pale bongo records


Huyu mwamba alikuwa na hits

Kama
Mnyalu
Nampenda ft nature

N.k

Huyu aliyetoa mada afungwe pingu apelekwe selo
 
Kama ninge ..kama ningekuwa mimi star[emoji445]
Nahisi jina langu kila mtaa lingezagaa[emoji445]
Anzia ngazi Taifa, mpaka mkoa[emoji445]
Vibanda vya mamc katuni vyote ningebomoa[emoji445]


Jamaa alikuwa ananata na beats kali za majani pale bongo records


Huyu mwamba alikuwa na hits

Kama
Mnyalu
Nampenda ft nature

N.k

Huyu aliyetoa mada afungwe pingu apelekwe selo
Kabisaa,
Awekwe selo kwa udanganyifu
 
Kama ninge ..kama ningekuwa mimi star[emoji445]
Nahisi jina langu kila mtaa lingezagaa[emoji445]
Anzia ngazi Taifa, mpaka mkoa[emoji445]
Vibanda vya mamc katuni vyote ningebomoa[emoji445]


Jamaa alikuwa ananata na beats kali za majani pale bongo records


Huyu mwamba alikuwa na hits

Kama
Mnyalu
Nampenda ft nature

N.k

Huyu aliyetoa mada afungwe pingu apelekwe selo
Acheni mihemko jamaa enu huyo hamna kitu
 
Yes kuvichaka namjua vizur sahv si presenter wa EFM ?
Saleh Jabir kutokana na uzi huu nadhani sio huyo unayemsema wewe,hapa amezungumziwa Saleh Jabir anayetambulika kama mwanzilishi wa kuimba wimbo wa kwanza au chache za mwanzoni za mtindo wa rap ambapo aliutohoa wimbo wa ice ice baby kwa kuchukua midundo (beat) naye kuweka maneno ya kiswahili,wakati huo huyo mtangazaji unayemsema alikuwa "mama nnya"
 
Back
Top Bottom