Hata kama nimeanza msikiliza leo kwani nyimbo zake zote si zipo!!nimesikiliza nyimbo zake nyingi kiufupi hajuiWewe ndio mjinga, mpumbavu na punguani. Umeanza kumsikiliza Sugu baada ya kuwa mbunge ndio unajifanya kuhukumu. Sugu wa baada ya ubunge si anafanya kujifurahisha tu. Yuko serious na game!?
Tena huyu wa sasa ndio anapwayaUnataka kusema prof jay chemshabongo ndo huyo huyo wa Hapo vp hapo sawa?
Hauko serious mzee
Ni mtizamo wakekichwa cha uzi na content ni tofauti,uliowataja wengi wao wanavipaji.
Utoto mwingi sana huu uziHizo ngoma zote zimebebwa na hao aliowashirikisha
Hujajibu swali, kuimba vzuri ndo kuimbaje?Hana uwezo wowote sugu ....yule ni mwanaharakati tuu ila uwezo hana
Chorus Kali na Biti Kali sio sehemu ya wimbo mkali? Acha utoto basiChorus kali beat kali
Juzi nmeona tuzo za TMA Bill Nas yupo kwenye category ya msanii bora wa Hip hop kama mashabiki wenyewe ndio hawa sishangaiHuwezi kuwa serious Aisee! Naona kabisa wewe ndio huna sikio la muziki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa hilo ni tatizo la waandaji tuzoJuzi nmeona tuzo za TMA Bill Nas yupo kwenye category ya msanii bora wa Hip hop kama mashabiki wenyewe ndio hawa sishangai
Lakini nyimbo zake zinatoka Kama Sugu Moto chini..zilivuma kiasi chakeHata kama nimeanza msikiliza leo kwani nyimbo zake zote si zipo!!nimesikiliza nyimbo zake nyingi kiufupi hajui
Aisee! Sitaki kuamini. Yaani ulitarajia Sugu awe na zile midondoko kama ya mbele 1995!? Unajua alikuwa inspired na nani labda!? Hiyo 1995 unayodai wewe ni ile game ya huko ndio unaweza sema ilikuwa at its peak wakati game yetu ndio ilikuwa inatambaa. By the way hebu nitajie watu ambao walikuwa wako level moja na huko mbele hiyo 1995 hapa Bongo.Mkuu.....
Since Hip hop ni mziki wa mapokeo, asili yake sio hapa. Tunapokea ready "evolved" kwahiyo suala la "evolution" ya mziki linakwenda sambamba na mziki wa US umefika wapi.
Nimesikiliza album ya SUGU "Ni mimi " najua umeiskiliza pia, kwa ambaye hajaiskiliza aende Spotify ipo pia. Hii album ni ya 1995.
By 1995 hiphop ilikuwa katika level gani? Nadhani ndio katika peak yake.
,mfano Inayosadikika kuwa ni Album bora ya mda wote "Illmatic" ilikuwa tayari ina mwaka kabisa.
Je tuseme Ngoma zinazohit US zilikuwa hazijaskika bado bongo? Sugu alikuwa hajaziskia? Mbona beat zake zilikuwa kali tu?
Hoja yako ningeielewa kama Hiphop ingekuwa imeanzia Bongo, so wao ndio wanapambana kuikuza.
Hoja ya uchanga wa hiphop ( uchache wa maarifa) inakuwa applied kwa kina LL cool J kwa kuwa wao ndio waliokuwa wanaanza. No where to refer to, au tuseme hakuna aliyefanya better.
Pia uchache wa maarifa ungeeleweka kama Msanii husika angekuwa anakua na Muziki.
Lakini haipo kivyo kwa Mr II, mziki ulienda unakua lakini yeye akabaki hivyo hivyo.
Hili inaonesha kuwa tatizo sio la uhaba wa maarifa ila tatizo lake binafsi.
Lakini ukimsikiliza Sugu wa kwenye "Ni mimi_1995" na Sugu wa kwenye "Sugu_2004" ni yule yule hakuna kilichobadilika.
Tofauti na walioface tatizo la uchache wa maarifa kweli, ntamtumia LL cool J
LL wa kwenye "radio" sio LL wa kwenye "The definition_ 2004"
Kabadilika kipi!? Nisaidie kujua.Unataka kusema prof jay chemshabongo ndo huyo huyo wa Hapo vp hapo sawa?
Hauko serious mzee
Endelea kuandika pumba. Nini kiliwafanya walioanza game na Sugu kupotea na Sugu kubaki!? Usije ukaniambia wakati Sugu anafanya muziki hakukuwa na wasanii wengine. Naomba jibu hapoKipindi zinatoka hapakua na competition
Hoja inaweza ikawa haijaeleweka vyema au mimi sijaiwasilisha Vyema.Aisee! Sitaki kuamini. Yaani ulitarajia Sugu awe na zile midondoko kama ya mbele 1995!? Unajua alikuwa inspired na nani labda!? Hiyo 1995 unayodai wewe ni ile game ya huko ndio unaweza sema ilikuwa at its peak wakati game yetu ndio ilikuwa inatambaa. By the way hebu nitajie watu ambao walikuwa wako level moja na huko mbele hiyo 1995 hapa Bongo.
Kama ninge ..kama ningekuwa mimi star[emoji445]Kalapina (YES)
Dudu Baya (YES)
Richie One (YES)
KR Mullah (YES)
Bou Nako (YES)
Maujanja (YES)
Mchizi Mox (Muombe Msamaha)
Jaffarai (Muombe Msamaha)
Mh. Temba (Muombe Msamaha)
Sugu (Muombe Msamaha)
Mike Tee (Nenda palee upigwe makonzi manne, kisha muombe msamaha)
Soggy Doggy (Nenda paleee upigwe makonzi 9, kisha umuombe msamaha)
Kabisaa,Kama ninge ..kama ningekuwa mimi star[emoji445]
Nahisi jina langu kila mtaa lingezagaa[emoji445]
Anzia ngazi Taifa, mpaka mkoa[emoji445]
Vibanda vya mamc katuni vyote ningebomoa[emoji445]
Jamaa alikuwa ananata na beats kali za majani pale bongo records
Huyu mwamba alikuwa na hits
Kama
Mnyalu
Nampenda ft nature
N.k
Huyu aliyetoa mada afungwe pingu apelekwe selo
Acheni mihemko jamaa enu huyo hamna kituKama ninge ..kama ningekuwa mimi star[emoji445]
Nahisi jina langu kila mtaa lingezagaa[emoji445]
Anzia ngazi Taifa, mpaka mkoa[emoji445]
Vibanda vya mamc katuni vyote ningebomoa[emoji445]
Jamaa alikuwa ananata na beats kali za majani pale bongo records
Huyu mwamba alikuwa na hits
Kama
Mnyalu
Nampenda ft nature
N.k
Huyu aliyetoa mada afungwe pingu apelekwe selo
Saleh Jabir kutokana na uzi huu nadhani sio huyo unayemsema wewe,hapa amezungumziwa Saleh Jabir anayetambulika kama mwanzilishi wa kuimba wimbo wa kwanza au chache za mwanzoni za mtindo wa rap ambapo aliutohoa wimbo wa ice ice baby kwa kuchukua midundo (beat) naye kuweka maneno ya kiswahili,wakati huo huyo mtangazaji unayemsema alikuwa "mama nnya"Yes kuvichaka namjua vizur sahv si presenter wa EFM ?