Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Nje ya muziki anaitwa Joseph Mbilinyi, sasa ukimuita Sugu(jina la sanaa yake) utasemaje hana kipaji, na wakati hapo alipofika sasa ni kwasababu ya sanaa. Labda useme kipaji ni nini?
Sugu anauwezo wa kawaida sana kwenye rap
 
Kalapina,

Huyu jamaa mbali na kuwa na harakati nyingi akiwa pamoja na kundi lake la Kikosi cha mizinga .ukweli ni kwamba hana kipaji cha music. Alipata umaarufu coz ametoka kipindi wasanii ni wachache

Sugu

Huyu jamaa ana majina kibao kama Mr two, jongwe, too proud na sasa anajiita Taita licha ya kuwa na heshima kama moja ya waasisi wa music wa hiphop tanzania , ukweli ni kwamba hana kipaji cha music

Jaffarai

Huyu ni moja ya member wa wateule alitamba na wimbo wa niko bize .lakini hakuweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu kutokana ukweli hana kipaji

Mchizi mox

Huyu pia ni member mwingine wa wateule ngoma zake zilizowahi kupata airtime ni mambo vp na chupa nyingine . lakini uwezo wake ni wa kawaida sana

Mike tee mnyalu

Huyu jamaa alipata airtime miaka ya zamani kwa ngoma zake lakini ukimskiliza ni wazi hana uwezo kabisa. Ni moja kati ya wasanii ambao huwa wanaandikiwa

Soggydog hunter

Huyu jamaa bora angebaki kwenye u presenter tuu huku kwenye music aliforce tuu hana uwezo kabisa ana ngoma nyingi ila iliyopenya ni kibanda cha simu pekee yake

Bou nako

Huyu alikua member wa N2N lakini tangu hakua na uwezo kabisa .nafkir wana walimbeba tuu kutokana na love .ila kwenye music jamaa hana kipaji

Fido vato

Huyu member wa vatokoko soldiers ni empy kabisa , analazimisha fan tuu ila ukweli anaujua kuwa hana uwezo wowote ule zaidi ya kujikuta gangstar

Kr mulah

Huyu ndio founder wa style ya kucheza Mapanga . ameanza sanaa muda mrefu sana lakini ukimskiliza utagundua jamaa hana uwezo wowote kwenye music kwa kifupi hana kipaji

Mh temba

Huyu ni member wa TMK wanaume family mwanzoni alibahatisha ngoma kama tatu zikaenda mjini, baadaye akaja kuungana na chege wakatoa hadi album..ila ukimfuatilia vizur jamaa hana
uwezo kabisa

Rich one

Huyu pia ni member wa TMK alitamba na ngoma moja aliyomshirikisha Juma nature inaitwa hatuna kitu.baada ya hapo hajawai kutoa hitsong tena, Jamaa anasifika kwa utapeli wa kuandaa show na wasanii fake huko mkoani afu anapiga hela

Dudu baya

Huyu jamaa aliotea ngoma kama tatu tuu ambazo zilimtambulisha vyema kwenye game .lakini alipata jina kwakua kipindi anatoka hapakua na upinzani mkali kama ilivyo sasa

Dark master

Huyu ndo muhasisi wa Chamber squard Nampa heshima kubwa sana kwa kuweza kuiweka dodoma kwenye ramani ya muziki , Lakini tukiongelea uwezo binafsi .jamaa anauwezo wa kawaida sana

John mjema,

The late John mjema alitamba na wimbo wa wachumba 30. Na ngoma zingine alizofanya kwenye kundi lao aliokua na kina the late steve 2k na buibui .lakini tukimzungumzia binafsi kimuziki jamaa hana kipaji cha muziki

Maujanja suppliers

Hawa jamaa nawakubali kwa harakati zao za street lakini kwenye music watupishe hawana vipaji .lakini wao wamekua wanalalamika wanabaniwa kitu ambacho sio ukweli

Kama unafuatilia music wa bongo fleva utakua unakubaliana na mimi hawa jamaa hawana talent za music kabisa
Ndio maana kuna "fact" na "opinion"
Haya ni maoni yako mkuu. Asante

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Sugu anauwezo wa kawaida sana kwenye rap
Kila mtu ana namna yake ya kuwakilisha kazi yake ya sanaa, ungesema huvutiwi na namna ya kughani(kuchana) kwa Sugu ungeeleweka, lakini kwamba hana kipaji kwasababu hajui kuRap sio sahihi. Je hujaon hata uwezo wa kuandika mashairi mazuri?
 
Kalapina,

Huyu jamaa mbali na kuwa na harakati nyingi akiwa pamoja na kundi lake la Kikosi cha mizinga .ukweli ni kwamba hana kipaji cha music. Alipata umaarufu coz ametoka kipindi wasanii ni wachache

Sugu

Huyu jamaa ana majina kibao kama Mr two, jongwe, too proud na sasa anajiita Taita licha ya kuwa na heshima kama moja ya waasisi wa music wa hiphop tanzania , ukweli ni kwamba hana kipaji cha music

Jaffarai

Huyu ni moja ya member wa wateule alitamba na wimbo wa niko bize .lakini hakuweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu kutokana ukweli hana kipaji

Mchizi mox

Huyu pia ni member mwingine wa wateule ngoma zake zilizowahi kupata airtime ni mambo vp na chupa nyingine . lakini uwezo wake ni wa kawaida sana

Mike tee mnyalu

Huyu jamaa alipata airtime miaka ya zamani kwa ngoma zake lakini ukimskiliza ni wazi hana uwezo kabisa. Ni moja kati ya wasanii ambao huwa wanaandikiwa

Soggydog hunter

Huyu jamaa bora angebaki kwenye u presenter tuu huku kwenye music aliforce tuu hana uwezo kabisa ana ngoma nyingi ila iliyopenya ni kibanda cha simu pekee yake

Bou nako

Huyu alikua member wa N2N lakini tangu hakua na uwezo kabisa .nafkir wana walimbeba tuu kutokana na love .ila kwenye music jamaa hana kipaji

Fido vato

Huyu member wa vatokoko soldiers ni empy kabisa , analazimisha fan tuu ila ukweli anaujua kuwa hana uwezo wowote ule zaidi ya kujikuta gangstar

Kr mulah

Huyu ndio founder wa style ya kucheza Mapanga . ameanza sanaa muda mrefu sana lakini ukimskiliza utagundua jamaa hana uwezo wowote kwenye music kwa kifupi hana kipaji

Mh temba

Huyu ni member wa TMK wanaume family mwanzoni alibahatisha ngoma kama tatu zikaenda mjini, baadaye akaja kuungana na chege wakatoa hadi album..ila ukimfuatilia vizur jamaa hana
uwezo kabisa

Rich one

Huyu pia ni member wa TMK alitamba na ngoma moja aliyomshirikisha Juma nature inaitwa hatuna kitu.baada ya hapo hajawai kutoa hitsong tena, Jamaa anasifika kwa utapeli wa kuandaa show na wasanii fake huko mkoani afu anapiga hela

Dudu baya

Huyu jamaa aliotea ngoma kama tatu tuu ambazo zilimtambulisha vyema kwenye game .lakini alipata jina kwakua kipindi anatoka hapakua na upinzani mkali kama ilivyo sasa

Dark master

Huyu ndo muhasisi wa Chamber squard Nampa heshima kubwa sana kwa kuweza kuiweka dodoma kwenye ramani ya muziki , Lakini tukiongelea uwezo binafsi .jamaa anauwezo wa kawaida sana

John mjema,

The late John mjema alitamba na wimbo wa wachumba 30. Na ngoma zingine alizofanya kwenye kundi lao aliokua na kina the late steve 2k na buibui .lakini tukimzungumzia binafsi kimuziki jamaa hana kipaji cha muziki

Maujanja suppliers

Hawa jamaa nawakubali kwa harakati zao za street lakini kwenye music watupishe hawana vipaji .lakini wao wamekua wanalalamika wanabaniwa kitu ambacho sio ukweli

Kama unafuatilia music wa bongo fleva utakua unakubaliana na mimi hawa jamaa hawana talent za music kabisa
Unajua ku criticize ni rahisi sana, maana hutumii nguvu nyingi.

Hisia zinaniambia ni kama vile hao wasanii uliowataja, wengi wao hukupata nafasi ya kuwasikiliza pindi wakiwa bado kwenye game. Lakini hata ukiwa sikiliza now as throw back, still kuna vibe fulani utalipata.

Sugu - Moto Chini
Temba - Nimekubali
Soggy - Kibanda Cha simu
Kala Pina- Mstari wa mbele
Mike T - Nakupenda.

Nimechagua baadhi ya nyimbo, Toka kwa baadhi ya wasanii uliotaja.

Moja kati ya ugomvi mkubwa ambao ulishawahi kutokea kati ya sisi watoto kipindi tunakua pale nyumbani, ni pale sister yetu aliporekodia igizo la radio, kwenye Kanda ya album ya Solo Thang, Kima Cha chini.

Mkuu, hujui ukisemacho. Penda unachopenda, ila usichokijua usikiongelee
 
Mpe heshima sugu bila harakati zao
Wasani ambao wewe unawaona bora
Sahv usingewasikia
Unafikiri watu mpaka mziki kufika na kukubalika hapa ilikuwa kazi ndogo

Uwe na heshima kwa sugu na wasanii waliyotangulia kijana

Ova
 
Kalapina,

Huyu jamaa mbali na kuwa na harakati nyingi akiwa pamoja na kundi lake la Kikosi cha mizinga .ukweli ni kwamba hana kipaji cha music. Alipata umaarufu coz ametoka kipindi wasanii ni wachache

Sugu

Huyu jamaa ana majina kibao kama Mr two, jongwe, too proud na sasa anajiita Taita licha ya kuwa na heshima kama moja ya waasisi wa music wa hiphop tanzania , ukweli ni kwamba hana kipaji cha music

Jaffarai

Huyu ni moja ya member wa wateule alitamba na wimbo wa niko bize .lakini hakuweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu kutokana ukweli hana kipaji

Mchizi mox

Huyu pia ni member mwingine wa wateule ngoma zake zilizowahi kupata airtime ni mambo vp na chupa nyingine . lakini uwezo wake ni wa kawaida sana

Mike tee mnyalu

Huyu jamaa alipata airtime miaka ya zamani kwa ngoma zake lakini ukimskiliza ni wazi hana uwezo kabisa. Ni moja kati ya wasanii ambao huwa wanaandikiwa

Soggydog hunter

Huyu jamaa bora angebaki kwenye u presenter tuu huku kwenye music aliforce tuu hana uwezo kabisa ana ngoma nyingi ila iliyopenya ni kibanda cha simu pekee yake

Bou nako

Huyu alikua member wa N2N lakini tangu hakua na uwezo kabisa .nafkir wana walimbeba tuu kutokana na love .ila kwenye music jamaa hana kipaji

Fido vato

Huyu member wa vatokoko soldiers ni empy kabisa , analazimisha fan tuu ila ukweli anaujua kuwa hana uwezo wowote ule zaidi ya kujikuta gangstar

Kr mulah

Huyu ndio founder wa style ya kucheza Mapanga . ameanza sanaa muda mrefu sana lakini ukimskiliza utagundua jamaa hana uwezo wowote kwenye music kwa kifupi hana kipaji

Mh temba

Huyu ni member wa TMK wanaume family mwanzoni alibahatisha ngoma kama tatu zikaenda mjini, baadaye akaja kuungana na chege wakatoa hadi album..ila ukimfuatilia vizur jamaa hana
uwezo kabisa

Rich one

Huyu pia ni member wa TMK alitamba na ngoma moja aliyomshirikisha Juma nature inaitwa hatuna kitu.baada ya hapo hajawai kutoa hitsong tena, Jamaa anasifika kwa utapeli wa kuandaa show na wasanii fake huko mkoani afu anapiga hela

Dudu baya

Huyu jamaa aliotea ngoma kama tatu tuu ambazo zilimtambulisha vyema kwenye game .lakini alipata jina kwakua kipindi anatoka hapakua na upinzani mkali kama ilivyo sasa

Dark master

Huyu ndo muhasisi wa Chamber squard Nampa heshima kubwa sana kwa kuweza kuiweka dodoma kwenye ramani ya muziki , Lakini tukiongelea uwezo binafsi .jamaa anauwezo wa kawaida sana

John mjema,

The late John mjema alitamba na wimbo wa wachumba 30. Na ngoma zingine alizofanya kwenye kundi lao aliokua na kina the late steve 2k na buibui .lakini tukimzungumzia binafsi kimuziki jamaa hana kipaji cha muziki

Maujanja suppliers

Hawa jamaa nawakubali kwa harakati zao za street lakini kwenye music watupishe hawana vipaji .lakini wao wamekua wanalalamika wanabaniwa kitu ambacho sio ukweli

Kama unafuatilia music wa bongo fleva utakua unakubaliana na mimi hawa jamaa hawana talent za music kabisa
Wewe jamaa naona matako yana kuwasha.ume mdiss vatoloco na bou nako wewe ushasikiliza high na low ya bou? Au gangste gangster ya vatoloco Acha kuandika usichokijua.weee unapimaje kujua msanii anakipaji??
 
Kumlinganisha Sugu na Lunya si sahihi kabisa. Kasikilize hizi album za Sugu toka akiitwa 2Proud.
  • Ni Mimi (1995)
  • Ndani ya Bongo (1996)
  • Niite Mister II (1998)
  • Nje ya Bongo (1999)
  • Millennium (2000)
  • Muziki na Maisha (2001)
  • Itikadi (2002)
  • Sugu (2004)
  • Coming of Age-Ujio Wa Umri (2006)
  • VETO (2009)
  • Antivirus Mixtapes
Sio kwamba level ya sugu na lunya n moja hpna ila sugu mtu wa kujisifia sana kama lunya
 
Wewe jamaa naona matako yana kuwasha.ume mdiss vatoloco na bou nako wewe ushasikiliza high na low ya bou? Au gangste gangster ya vatoloco Acha kuandika usichokijua.weee unapimaje kujua msanii anakipaji??
Umeanza na matusi kuonyesha jinsi gan ulivyo mjinga
 
Mpe heshima sugu bila harakati zao
Wasani ambao wewe unawaona bora
Sahv usingewasikia
Unafikiri watu mpaka mziki kufika na kukubalika hapa ilikuwa kazi ndogo

Uwe na heshima kwa sugu na wasanii waliyotangulia kijana

Ova
Mkuu sijazungumzia heshima , nimezungumzia uwezo wao kisanaa
 
Tatizo ni pale unapong'ang'ania maoni yako yawe facts. Binafsi sijawahi kumpenda Sugu lakini kusema hana kipaji sio sahihi. Haiwezekani mtu akatoa wimbo ukahit nchi nzima na shoo akafanya halafu useme hana kipaji, kama sio kipaji ni nini?

Nyakati zao waliokua wanajaribu ni wengi lakini waliofanikiwa ni hao wachache mpaka tunawajadili hapa. Ni wangapi walitamani kufika level ya Mike Tee na hawakufika?
 
We fala kuwa na adabu, Nije ntafute attention huku ambako hatufahamiani?

Kwa hizi akili zako nenda tiktok ukacheze na dada zako , huku hapakufai
Nilijua tu lazima ushituke mana ushashikwa takoo hapo, we ni kapumbavu huna hoja umekazana tu hana uwezo.
 
Tatizo ni pale unapong'ang'ania maoni yako yawe facts. Binafsi sijawahi kumpenda Sugu lakini kusema hana kipaji sio sahihi. Haiwezekani mtu akatoa wimbo ukahit nchi nzima na shoo akafanya halafu useme hana kipaji, kama sio kipaji ni nini?

Nyakati zao waliokua wanajaribu ni wengi lakini waliofanikiwa ni hao wachache mpaka tunawajadili hapa. Ni wangapi walitamani kufika level ya Mike Tee na hawakufika?
Wewe ndo unitajie hao waliojaribu alafu wakafeli sasa unaniuliza tena mimi?
 
Nilijua tu lazima ushituke mana ushashikwa takoo hapo, we ni kapumbavu huna hoja umekazana tu hana uwezo.
Fala wewe , kumbe una tabia za kushikwa tako ,
 
Back
Top Bottom