Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Hahahaahahaha... huu uzi ni wa chuki iliyopitiliza. Hapo labda Kalapina, Maujanja Suppliers na Bou Nako tu ndo vipaji vyao vinaweza kuwa na hitilafu... kusema Sugu hana kipaji ni tusi kwa Bongo Flavour yote.
Mkuu tofautisha heshima aliyonayo sugu na uhalisia wa kipaji chake
 
Kalapina,

Huyu jamaa mbali na kuwa na harakati nyingi akiwa pamoja na kundi lake la Kikosi cha mizinga .ukweli ni kwamba hana kipaji cha music. Alipata umaarufu coz ametoka kipindi wasanii ni wachache

Sugu

Huyu jamaa ana majina kibao kama Mr two, jongwe, too proud na sasa anajiita Taita licha ya kuwa na heshima kama moja ya waasisi wa music wa hiphop tanzania , ukweli ni kwamba hana kipaji cha music

Jaffarai

Huyu ni moja ya member wa wateule alitamba na wimbo wa niko bize .lakini hakuweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu kutokana ukweli hana kipaji

Mchizi mox

Huyu pia ni member mwingine wa wateule ngoma zake zilizowahi kupata airtime ni mambo vp na chupa nyingine . lakini uwezo wake ni wa kawaida sana

Mike tee mnyalu

Huyu jamaa alipata airtime miaka ya zamani kwa ngoma zake lakini ukimskiliza ni wazi hana uwezo kabisa. Ni moja kati ya wasanii ambao huwa wanaandikiwa

Soggydog hunter

Huyu jamaa bora angebaki kwenye u presenter tuu huku kwenye music aliforce tuu hana uwezo kabisa ana ngoma nyingi ila iliyopenya ni kibanda cha simu pekee yake

Bou nako

Huyu alikua member wa N2N lakini tangu hakua na uwezo kabisa .nafkir wana walimbeba tuu kutokana na love .ila kwenye music jamaa hana kipaji

Kr mulah

Huyu ndio founder wa style ya kucheza Mapanga . ameanza sanaa muda mrefu sana lakini ukimskiliza utagundua jamaa hana uwezo wowote kwenye music kwa kifupi hana kipaji

Mh temba

Huyu ni member wa TMK wanaume family mwanzoni alibahatisha ngoma kama tatu zikaenda mjini, baadaye akaja kuungana na chege wakatoa hadi album..ila ukimfuatilia vizur jamaa hana
uwezo kabisa

Rich one

Huyu pia ni member wa TMK alitamba na ngoma moja aliyomshirikisha Juma nature inaitwa hatuna kitu.baada ya hapo hajawai kutoa hitsong tena, Jamaa anasifika kwa utapeli wa kuandaa show na wasanii fake huko mkoani afu anapiga hela

Dudu baya

Huyu jamaa aliotea ngoma kama tatu tuu ambazo zilimtambulisha vyema kwenye game .lakini alipata jina kwakua kipindi anatoka hapakua na upinzani mkali kama ilivyo sasa

Maujanja suppliers

Hawa jamaa nawakubali kwa harakati zao za street lakini kwenye music watupishe hawana vipaji .lakini wao wamekua wanalalamika wanabaniwa kitu ambacho sio ukweli

Kama unafuatilia music wa bongo fleva utakua unakubaliana na mimi hawa jamaa hawana talent za music kabisa
Sugu wa nipo mikononi mwa Polisi mpe heshima yake.
 
Nimesikiliza karibu albamu zote za Sugu na kukubali ni rapper bora sana kuwahi kutokea. Mimi ni mdau wa Hiphop. Niko karibu sana na huo muziki. Mtoe Sugu mweke Nikki wa II
Unamkosea sana Mh DC wa pili umeshaskiliza verse ya Nikki wa pili kwenye ngoma niaje ni vipi
 
Sugu ndiye anaongoza kwa wachovu ambao wapo overrated kwenye hiyo orodha yako.

Angeibukia zama hizi hakuna ambaye angemtilia maanani.
 
Sugu ndiye anaongoza kwa wachovu ambao wapo overrated kwenye hiyo orodha yako.

Angeibukia zama hizi hakuna ambaye angemtilia maanani.
Very true sugu ni hana uwezo kabisa
 
Kama hujui basi huu mjadala huatuweza
Mkuu ID yangu ni taaluma yangu.

Inawezekana una mtazamo unaihitaji kueleweshwa nini maana ya ubunifu, kipaji na ujuzi ndani ya sanaa.

Unapokuwa unakwepa maswali kwa majibu ya juu juu ni dalili upo kishabiki zaidi ya kujenga hoja ukaelweka
 
% 90 wasanii bongo hamna kitu, hata wasanii wa Sasa hivi, katika nyimbo 10 ukisikiliza Kwa umakini ni nyimbo 1 tu nzuri na yakibunifu nyimbo 9 zilizobaki n kelele tu, watu wanaenda studio sababu wanahela ya kulipia. Sio ivyo tu hata wasanii wakubwa Sasa iv Wanaimba matusi tu.
 
Mkuu ID yangu ni taaluma yangu.

Inawezekana una mtazamo unaihitaji kueleweshwa nini maana ya ubunifu, kipaji na ujuzi ndani ya sanaa.

Unapokuwa unakwepa maswali kwa majibu ya juu juu ni dalili upo kishabiki zaidi ya kujenga hoja ukaelweka
Swali lako limekosa mantiki ndo maan
 
% 90 wasanii bongo hamna kitu, hata wasanii wa Sasa hivi, katika nyimbo 10 ukisikiliza Kwa umakini ni nyimbo 1 tu nzuri na yakibunifu nyimbo 9 zilizobaki n kelele tu, watu wanaenda studio sababu wanahela ya kulipia. Sio ivyo tu hata wasanii wakubwa Sasa iv Wanaimba matusi tu.
I second this , [emoji115]
 
Mtoa mada hayuko mbali na ukweli, kama una internal talent utakuwa kuwa ubauwezo wa kubadilika ktk msimu na kujua nn kinahitajika kipindi hicho, mfano rahisi koffy Olomide anasema hata kama wanamziki wake wakiondoka wote akabaki peke yake bado hawatamshinda. and u can see it's true. He is real talented musician.
 
Back
Top Bottom