Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
- Thread starter
- #541
Hata historia ya hilo jina , ni kutokana na ushamba wake wa kujisifia sifia ,...Mr two proud , kuna mzungu alimuita hvyo ..jamaa kwa ushamba wake akaona limekaa vizur akaanza kujiitaHakuna msanii bongo aliyewahi kujiita "too proud"
Master jay anaifahamu vizuri hii historia