Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Mtu anaposema hana kipaji anakuwa ameenda mbali kidogo. Hata kufanya anachofanya ni kipaji.
Ukubwa wa hicho kipaji ndio tatizo, ni msanii wa kawaida lakini anapenda kuwa " high rated" au watu wanam "rate higher" kuliko alivyo.
Jina kubwa kuliko kipaji !!!!!!
Mfano ukimsikiliza Sugu mashairi yake anaandika "kiurahisi" kiasi kwamba yapo "more direct" na kuondoa ila ladha ya kusikiliza kazi ya sanaa.
Mfano: kwenye ngoma yake ya watoto wa mitaani...

Nakatiza Mkwep
Napita mpaka samora/
Naona wanazurura/
Mazingira sio bora/
Wengi ni pekupeku na wachache wana ndala/
Wengine wana usingizi wanatembea wamelala/
Wanapita wanaomba hela/
Wanatafuta chakula/.
Mbali na kuwa mashairi ni "mepesi" lakini pia uwasilishaji wake "usiobadilika" unampunguzia credit.....
Ukiondoa beat unaweza dhani unaskiliza Nyimbo moja album nzima.

Nachomkubali ni choice ya Topics, angalau alikuwa ana topics relative kwenye jamii.
Jina la Sugu ni Kubwa kuliko uwezo wake wa kimuziki, huu ndio msimamo wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah we jamaa uko deep sana , thank you
 
“Sugu kama angekua na uwezo basi huo uwezo tungeuona kwa kubaki kwenye mainstream kwa muda mrefu”

Kwa hii point yako Ina maana watu kama Dola Soul na Pig black hawana uwezo kwa sababu tu hawakubaki mainstream kwa muda mrefu?
Dola soul na pig black washaachana na maswala ya muziki kitambo .

Sugu mpaka leo anafanya ngoma yake ya mwisho kutoa inaitwa Mtiti kafanya na stara thomas
 
Kwenye hiyo list Yako....Nitolee Mnyalu Tafadhali!.....

Usimfananishe Mnyalu mike tee na hizo takataka zingine!..... King wa styles na flows za kinyalu.....zile flows za kinyalu mbaba....mpaka kesho zitaendelea kubamba tu...

Mike tee alikuwa na ka-style kake flani very unique!.....ka uchanaji....kitoz flani....kinyalu!...tamu sana! ambayo hakuna amewahi ipatia Hadi keshokutwa mzee....
Hayo maoni yako...lakini ukweli ni kwamba hana uwezo wowote ni msanii wakawaida
 
Kufanya tu mashairi yanayoeleweka kwa watu kirahisi na hiyo choice of topics hiyo nayo ni kipaji.
UKirudia kusoma nilichoandika nakubaliana na wewe ana kipaji, ila sio kama wasanii wengine Fid, FA, etc japo alianza kufanya mziki mapema ila kipaji chake ni cha kawaida.
Ugumu wa mashairi au mashairi ya kuungaunga yasiyo direct sidhani ndio kunafanya uwe msanii bora.
Ni kweli kama yupo msanii anayefanya hivyo hatokuwa bora, lakini msanii mzuri sio yule anayeandika mashairi kama kijana wa form three no "punchlines " at all. Wordplay ni muhimu hii ni sifa ya msanii mzuri.
Kama watu wanam_rate higher wewe mtu mmoja unawaona wao hawajui muziki na wewe ndio unajua!?
Ni mjadala huru, sidhani kama tukijadili ujuzi wangu wa mziki au kutokujua in relation na hao watu wanao mrate itasaidia kitu........

Napokea hoja, Why unadhani SUGU ni msanii mzuri kama inavyozungumzwa?
 
Dola soul na pig black washaachana na maswala ya muziki kitambo .

Sugu mpaka leo anafanya ngoma yake ya mwisho kutoa inaitwa Mtiti kafanya na stara thomas
Hata Sugu alishamaliza yote kwenye muziki. Unadhani akomae kutafuta Nini?
 
Hata Sugu alishamaliza yote kwenye muziki. Unadhani akomae kutafuta Nini?
Sugu ni yule yule miaka yote hana uwezo kiuandishi wala flow , ukimskiliza sugu wa niko mikononi mwa polisi na huyu wa mtiti unapata test ile ile , sasa ukisema sahv sugu anafanya muziki for fan nashindwa kukuelewa , huko nyuma alipokua ana kaza mbona ana sound the same na sasa
 
Alikopi kwa 2 pac
We kweli hamnazo

Jina la too proud historia yake lilitokana na ushamba wa Sugu mwenyewe , iko hivi sugu kama kawaida yake ni mtu wa majigambo sana tangu zamani, sasa kipindi hiko kuna siku alikua yeye , master jay na Mzungu mmoja walikua somewhere nafkiri coco beach , kama kawaida yake akawa anaendelea na matambo yake basi yule mzungu akamwambia master jay

" Your friend is too proud" Sugu akamwambia master jay hilo jina design kama nimelipenda huku hata akiwa hajui maana yake , ndo master jay akamwambia maana yake na Sugu akaona aishi nalo
Hiyo ndo historia ya too proud ilipoanzia

Ila yeye akaamua kujiita Mr two proud ...baadaye akaamua abaki na Mr two mpaka yalipokuja majina mengine
 
Uwasilishaji wake ni wakawaida mnoo mtu yoyote anafanya
Hip hop ya zamani utashi ulikua mdgo sana wachache kma wakina prof jize,jaymoe,fid q ndo walikua na utashi mkubwa kulinganisha wengine ila hip hop inabadilika kulingana na wakat pia teknolojia
UKirudia kusoma nilichoandika nakubaliana na wewe ana kipaji, ila sio kama wasanii wengine Fid, FA, etc japo alianza kufanya mziki mapema ila kipaji chake ni cha kawaida.

Ni kweli kama yupo msanii anayefanya hivyo hatokuwa bora, lakini msanii mzuri sio yule anayeandika mashairi kama kijana wa form three no "punchlines " at all. Wordplay ni muhimu hii ni sifa ya msanii mzuri.

Ni mjadala huru, sidhani kama tukijadili ujuzi wangu wa mziki au kutokujua in relation na hao watu wanao mrate itasaidia kitu........

Napokea hoja, Why unadhani SUGU ni msanii mzuri kama inavyozungumzwa?
Mshua Fa hana kipaji???
We kweli hamnazo

Jina la too proud historia yake lilitokana na ushamba wa Sugu mwenyewe , iko hivi sugu kama kawaida yake ni mtu wa majigambo sana tangu zamani, sasa kipindi hiko kuna siku alikua yeye , master jay na Mzungu mmoja walikua somewhere nafkiri coco beach , kama kawaida yake akawa anaendelea na matambo yake basi yule mzungu akamwambia master jay

" Your friend is too proud" Sugu akamwambia master jay hilo jina design kama nimelipenda huku hata akiwa hajui maana yake , ndo master jay akamwambia maana yake na Sugu akaona aishi nalo
Hiyo ndo historia ya too proud ilipoanzia

Ila yeye akaamua kujiita Mr two proud ...baadaye akaamua abaki na Mr two mpaka yalipokuja majina mengine
Ko sugu ana majina mangapi🤣🤣 ananichanganya sana😅😅
 
Hip hop ya zamani utashi ulikua mdgo sana wachache kma wakina prof jize,jaymoe,fid q ndo walikua na utashi mkubwa kulinganisha wengine ila hip hop inabadilika kulingana na wakat pia teknolojia

Mshua Fa hana kipaji???

Ko sugu ana majina mangapi[emoji1787][emoji1787] ananichanganya sana[emoji28][emoji28]
Tuanze na

Too proud
Mr two
Sugu
Jongwe
Taita

Na mengine ambayo siyafahamu
 
Hip hop ya zamani utashi ulikua mdgo sana wachache kma wakina prof jize,jaymoe,fid q ndo walikua na utashi mkubwa kulinganisha wengine ila hip hop inabadilika kulingana na wakat pia teknolojia

Mshua Fa hana kipaji???

Ko sugu ana majina mangapi🤣🤣 ananichanganya sana😅😅
Nimesema kina FA wanakipaji kuliko SUGU.
 
Back
Top Bottom