UKirudia kusoma nilichoandika nakubaliana na wewe ana kipaji, ila sio kama wasanii wengine Fid, FA, etc japo alianza kufanya mziki mapema ila kipaji chake ni cha kawaida.
Ni kweli kama yupo msanii anayefanya hivyo hatokuwa bora, lakini msanii mzuri sio yule anayeandika mashairi kama kijana wa form three no "punchlines " at all. Wordplay ni muhimu hii ni sifa ya msanii mzuri.
Ni mjadala huru, sidhani kama tukijadili ujuzi wangu wa mziki au kutokujua in relation na hao watu wanao mrate itasaidia kitu........
Napokea hoja, Why unadhani SUGU ni msanii mzuri kama inavyozungumzwa?