Orodha ya watu wanaojiona wajanja nchi hii

Ingekuwa kipindi kileee tungesema na waliokunywa kikombe cha babu. Ila ujanja wao umeishia ulipoishia.
 
wakina bashiru,mmuya,mukandala,kessy,jeriko,sabato,late nyirabu nk.

pspa umemaliza mwaka gani?
 
-Wasafiri wa Ndege (Wabongo lakini sio wazungu)

-Madalali wa magari

- Wafanyakazi wa benki
 
Ume wasahau wanajeshi/Polisi wapyaaaa!! na MP wanao toka depo! wakija kuanza kazi bana wee utawajua tu!! Wanapenda sana Combat/ mabaka mabaka!! wanazikunja mikono mikono kmMarehemu Thomas Sankara!...

tembea yao sasa utacheka mpaka unye!.......lkn wakikuona kambini kwao ghafla wanakuwa wadogoooo! utadhani si wao!
 
Kuna kundi la Jamhuri ya Twitter la kuinuana huwa wanajiona sijui waamuzi wa mwisho kwenye nyanja zote mpira,muziki na siasa. Kundi la wadada wenye makalio makubwa.
 
Ni

Ningekushangaa Muno Kama kwenye listi ningewakosa wanachukua chako mapema๐Ÿ˜„,Ila pia wanaJF watoe kwenye orodha yako Kwani humu wanaJf wanapunguza vichaa Kati ya like kundi la kichaa mmoja Lila Watanzania wanne๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ