cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umesahau waliosoma UDSM. Wanajiona wengine hawakusoma vyuo japo ujobless unakula kotekote
Nimecheka km chizi khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilivyokuwa chuo na lile boom niliona kila asiyesoma ni mjinga,na asiye na ajira hatumii akili na mvivu!
Ile mijdala na makongamano na zile lekcha za public administration/political science hasa umkute Dr Bashiru anapiga pindi huku anakosoa serikali ya Jakaya,nilijiona Dunia yote naifahamu,mwanamapinduzi,mkombozi ninayeenda kupambana na uzembe,rushwa,ufisadi na takataka zote!
Dah..nipo halmshauri ya wilaya fulani napambana na wahasibu,kesi za walimu watoro,walevi,madiwani wa darasa la saba.....zaidi majukumu yamenifanya nisahau zile itikadi zote za chuoni.
Kipesa chochote kitakachokatiza,kiwe cha halali ama vinginevyo vyote vinahalalishwa
wadada wenye misambwanda umewasahau
daah huyu mimi kabla. tofauti ni kwamba mimi itikadi zimeendeleaNilivyokuwa chuo na lile boom niliona kila asiyesoma ni mjinga,na asiye na ajira hatumii akili na mvivu!
Ile mijdala na makongamano na zile lekcha za public administration/political science hasa umkute Dr Bashiru anapiga pindi huku anakosoa serikali ya Jakaya,nilijiona Dunia yote naifahamu,mwanamapinduzi,mkombozi ninayeenda kupambana na uzembe,rushwa,ufisadi na takataka zote!
Dah..nipo halmshauri ya wilaya fulani napambana na wahasibu,kesi za walimu watoro,walevi,madiwani wa darasa la saba.....zaidi majukumu yamenifanya nisahau zile itikadi zote za chuoni.
Kipesa chochote kitakachokatiza,kiwe cha halali ama vinginevyo vyote vinahalalishwa
Hongera mkuu.Wengine tulishachemkadaah huyu mimi kabla. tofauti ni kwamba mimi itikadi zimeendelea
Acha tu boss, huwa tunakuwa na high expectations tukiwa vyuoni. Lakini maisha yanatubadilishaNimecheka km chizi khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kuna Mtu Mpangaji wake alikua anamletea kelele kila leo na dharau, kuna siku yule Rafiki yake Mwenye Nyumba alimwambia Mwenye Nyumba wa Jamaa HUYO MPANGAJI WAKO KAPANGA LAKINI ANA NYUMBA 2 NA ZOTE ZA MAANA tangu siku hiyo Jamaa anasema dharau zilikata[emoji1783][emoji1783][emoji1783]13.Wapiga vinanda kanisani
Wao hudhani bila uwepo wao kanisani, misa haiwezi kuendelea, na kama itaendelea basi haitanoga. Wanapenda kubenmbelezwa
14. Wenye nyumba
Huwanona wapangaji Kama nyani tu
15. Wamiliki Toyota crown
Wanaweza kuvimbiana hata na trekta wakiwa barabarani.Hujiona km wanaendesha ndege