Orodha ya watu wanaojiona wajanja nchi hii

Wanaokula tunda kimasihara je?
... kuna jamaa alikuja mgeni kitaa akatumia nafasi yake ya ugeni sababu zamani ukiwa mgeni kitaa pisi zinapapatika akala pisi moja kimasihara akaja kujigamba kijiweni kaitafuna kirahisi watu wakamuambia mbona huyo demu kaungua kitambo na anajijua anachofanya saizi ni kusambaza upendo makusudi, alitoa macho kama konokono ujanja wote mfukoni, mwezi tu kaanza kupungua bahati yake alipima akawa hana jambo, akakatisha likizo akaondoka kesho yake baada ya kumaliza kupima na kurudi alipokuwa na mimi nikajifunza ukifika mahali mgeni usikimbilie kula pisi.
 
Mademu wa vifurushi ni hatari
 
Kundi namba 4 kiongozi wetu ni GENTAMYCINE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…