Orodha ya watu wanaojiona wajanja nchi hii

Riziwani Kikwete, January Makamba, Nape mnauye, Rostam, Maza na familia ya mzee Mwinyi
 

Naambiwa hapa nimefanya makosa makubwa kutowaweka Motivesheni Speakers πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yule Bw. aliyesema mwendazake anachapa kazi mnataka aje Kariakoo au Magomeni kufanya nn wakati alitambua alikuwa kkakata kamba na Jana kaharibu Hali ya hewa tena kwenye mishiko ya watumishi kaja na 0%

πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Umetusahau tuliochanja chanjo ya corona tulikuwa tunatamba kwa kusema kabisa ujanja ni kuchanjaπŸ’

 
kundi namba 4 maelezo hayatoshi ni zaidi ya kukuvulia kofia
 
Duh, mule mule mkuu
 
Naambiwa hapa nimefanya makosa makubwa kutowaweka Motivesheni Speakers πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kabisaa..na wanasheria..niliwah kuwa na manzi anasomea sheria..duu neno maruweruwe lilinitokea kwa vitendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…