Mnanje Boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 395
- 1,195
Ah ah hatari MkuuHawa ni wale waliopewa kazi na mwendazake 2019... Mamaaaaaaa
Hahahha Hawa pia?. Waliofanikiwa kupata seat kwenye daladala la safari ndefu
Hawa nao hujikutaga maisha wameyapata kwa sababu ya ule msuguano wa kupata nafasi sio rahisi, wanatuchoraga sisi tulioshilkilia bomba kimoyomoyo wanasema ''Pambaneni na hali zenu nani aliwaambia msiwahi kugombea siti?. Wengine wanalalaga mwanzo mwisho ili tu asisumbuliwe kupisha mtu wa kundi maalumu.
Hawa ni balaa....uki.Mkrash anakwambia uko negative......hiyo postive haijawahi kumpa kitu chochote.Mleta mada usiwasahau Motivation speaker na wafuasi wao.
Hao jamaa wanaishi kwenye ulimwengu wao wa kufikirika, ni mwendo wa kukupa rejea za theories za mafanikio huku wakijiona wameyapatia maisha kweli, kumbe wameshoka vibaya.
Tuna ukute motivation speaker mwenyewe au mfuasi wa motivation speaker ni jinsia ya kike, balaa lake lazima uchoke.
🤣🤣🤣Mkuu ume-cover maeneo mengi lakini naona sometime huwa unawatasfiri watu kwa mtazamo wako wanakuwa hawako unavyowadhania,chuki ya kukosa siti kwenye gari inaweza kukufanya uwaone waliokaa kama wanaringa
Wanakera na vimiguu vyao utafikir imechomekwaHujakutana na wanaume wa Dar wanaovaa pensi vinjunga na sendo nyeusi zisizotoshea mguuni kisigino chote nje
Weee ni hatari
niliwahi kupita mitaa ya magomeni na Tandika niliwaona hawa aisee, yaaani ni balaa wanavyoringa22 wavaa haya mayeboyebo na vijora
View attachment 2833810
Mkuu usininukuu vibaya, hapa tunawazungumzia wale wanaojikweza... kuna wale wenye vyote hivyo ulivyovitaja lakini wako humble hawajioni special sanaukiwa na Gari yako subaru shida...Ukipanda ndege kwa hela zako pia Shida...Ukisoma ukawa Eng nayo tabu..Hii ndio Bongo yetu😀
watatusikia kufurahi na kujifunza piaAsante kwa Uzi Mkuu.
Wasipokusikia mm nitaandika tena uzi kama huu yani mpaka waseme!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Wanatupanga au sioHumo humo, watakuambia eti elon musk alikua introvert
kwa kweli niliwasahau, si unajua anajiona amebeba watu wengi.. kimoyomoyo anasema hawa bila mimi hawaweziHujataja Marubani hapo... kuna baadhi yaani daah malimbukeni kinoma.
We kila siku unaongelea watu(zionists) na matukio yanayoipa sifa uislamu, bac kwa definition yako wewe mwenyew una akili ya kawaida na mbovu vilevile.Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili ya kawaida huongelea matukio.
Àkili mbovu huongelea watu.
Mkuu upo sahihi lakini sio serious kihiivyo mkuuMkuu ume-cover maeneo mengi lakini naona sometime huwa unawatasfiri watu kwa mtazamo wako wanakuwa hawako unavyowadhania,chuki ya kukosa siti kwenye gari inaweza kukufanya uwaone waliokaa kama wanaringa