Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
-
- #101
Kuna baadhi ya route zingine mpaka upate seat umesota mkuu tena kwenye miji iliyochangamka au maeneo yenye wakazi wengi hasa mida ya asubuhi na jioni... Wengine inabidi wakodi vijana wa kuwashikia siti halafu baadae wanawapa kifuta jasho.. True storyCity ya kukaa kwenye dala dala ni kitu cha kukosa?
Alafu kuna wale wakikamata seat ya Dirishani safari za mikoani... Waliofanikiwa kupata seat kwenye daladala la safari ndefu
Hawa nao hujikutaga maisha wameyapata kwa sababu ya ule msuguano wa kupata nafasi sio rahisi, wanatuchoraga sisi tulioshilkilia bomba kimoyomoyo wanasema ''Pambaneni na hali zenu nani aliwaambia msiwahi kugombea siti?. Wengine wanalalaga mwanzo mwisho ili tu asisumbuliwe kupisha mtu wa kundi maalumu.
TUMEYAPATIA MAISHA, KARIBU MKUU 😎Hiyo watu wa dar ni kweli kabisa
Sawa mkuu, wewe wasema 🙏Kwa ku summarize ni kwamba mleta mada anasumbuliwa na inferiority complex iliyochanganyikana na kinyongo na chuki kwa mbali
Kabisa. Wanaumbea mwingi sana wakituona wenye vitambi; wakati na wao wanavyo na pamoja na jogging zao vimegoma kutoka🤣Pamoja mkuu
Ndugu zetu wakata upepo tunaishi nao tu japo wengine pia wana vitambi
SAWAAkili kubwa huongelea maendeleo.
Akili ya kawaida huongelea matukio.
Àkili mbovu huongelea watu.
Aisee hivi vitu kumbe vipo, huku kukulia mjini nakosa mengi... itabidi nirudi kijijini kumbe na kule kuna watu '' wana kijiji chao'' wameyapatia maisha?Haujakutana na nesi wa kijijini anayeitwa daktari na wanakijiji ukaona dunia ilivyo ngumu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mpo sehemu ya jamii kwa nini hamjichanganyi na jamii?Tupo
Mimi ni mmoja ya watu wakimya ila sipendi hiyo hali. Sababu ni hii: ikitokea kuna issue imetokea mtaani au kazini na ukihadithia watu wanapenda kusema..."kwa kuwa amekuona wewe mpole ndio maana akakuambia hivyo au akakufanyia hivyo"....ingekuwa mimi pangechimbika. Hivyo nikaanza kuona upole na ukimya kwa baadhi ya watu unatafsiriwa kwamba ni ubwege, uzubaifu, uoga, kutokuwa na uthubutu, ufala, uboya.sina uhakika,
ila ukiona mtu anapenda kujigamba ni mkimya basi ujue sio mkimya
Wanasemaga ukimya unaoneshwa kwa matendo sio kujisifia... Right?sina uhakika,
ila ukiona mtu anapenda kujigamba ni mkimya basi ujue sio mkimya
CPA wa mchongo mwanasiiiimba tunakujua kabisa jinsi gani huipendi Yanga hahaha21. Mashabiki wa Yanga
Hovyo kabisa
Wanakwambia ni raha sana kuchanganya Damu na Mzungu wapate mtoto fulani hivi mixer sijui ndio wanaita Half cast..Wanaomiliki wapenzi wa Kizungu
Huyo muhasibu sio wa kumpa kazi kabisa, sio mwaminifuWahasibu wa mchongo wa kukagua wachezaji wa timu zingine kihasibu na kuleta nyuzi wanazozikimbia.
HII NI KWELI KABISA MKUU, kuna mshikaji alikuwaga na sifa hivihivi juzi kati kuna wikiendi moja timu kubwa zilizingua DADEQ, weee kwani tulimuona tena? Wazee wa kubeti nawaelewa RISK TAKERSWanaobdet single match... Stake milioni.... Wanaijiona wamejipataa!
Akila code 2 mfululizo!... Hizo tambo zake!!....Kwa sisi wa jerojero na kutudharau...
Na vimilioni vinapigwa vilevile!....
Mamamak....!.wanarudi kwenye matreni yetu... Ama Wana disappear mazima! Majukwaani...wanatuacha
Sie Bado tupogo...
Enzi za ujana alikuwa anateseka kweli, sasa hivi uzee kachoka kawaachia vijana.... Alitusumbuaga huku jamvini kipindi fulani hivi kila uzi yeye mshamba yule😂Joseverest siku hizi naona hakabi nafasi yake ya 2 kwenye mabandiko mapya. Inaonekana ni kweli alikuwa anateseka.
Ukweli mtupu kiongozi, mimi kinachonikeraga ni ile Kaunta 7 wahudumu wawiliDuuh hao wa benki umelenga, nadhani huwa wanapenda foleni kuliko ata siku ya mshahara...