MimbaaaaaMkuu mijimba ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MimbaaaaaMkuu mijimba ni nini?
Uko sahihi pamoja na marejeo mengine huku mtandaoni, real life experience nimevichanganya pamoja ndio nikayapata haya maudhui [emoji120]Mtoa mada bila shaka uliangalia show ya watubaki juzi kuna mchekeshaji mmoja ndio alisema hayo
Ndio true story mkuuHahahha Hawa pia?
Utaambiwa hufikirii nje ya box na husomi vitabu huna exposure ndio maana uko negativeHawa ni balaa....uki.Mkrash anakwambia uko negative......hiyo postive haijawahi kumpa kitu chochote.
Uwakute kinondoni au Samaki Samaki au sehemu za bataHujakutana na wanaume wa Dar wanaovaa pensi vinjunga na sendo nyeusi zisizotoshea mguuni kisigino chote nje
Weee ni hatari
Ningekuwa nafanya HiP Hop ningemtaja [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wale wazee "Much Know" yaani wanaamini wanajua kila kitu kwenye huu ulimwengu , alafu hawapendi kuitwa wazee. Ukiwabishia kidogo tu utasikia " Huko shule mlienda kusomea ujinga" hahahaha
Umepiga mulemule mkuu, hii nakubali kabisa wanakuwaga na nyodo kumbe maisha hawajayamalizaKuna hawa Ma Secretary wanajikutaga wao ndio boss katika ofisi
Unaenda na issue ya kuonana na boss wake
Anakujibu boss hayupo nieleze mim huku kamebana pua
Utafikir wanaweza kutatua issue uliyoenda nayo
Ongezea na wale wa mabasi ya mkoa.. Chombo kikiwa kipya wanavyokifanyia sifa na mbwembweHahaha namba 16 isingekuepo ningeiongezeaa mkuu..kweli Kuna madereva wa Malory wakishakaa kwenye cabin zile af awe na chuma mpya hujionaga wamefiiiikaaaa..madereva wa ST ndo usiseme
Duh [emoji16]Wanakera na vimiguu vyao utafikir imechomekwa
Utadhani moyo wa shirika wameushikilia wao kumbe hamna kitu, shirika lenyewe tia maji tia maji linapigwa gap na privateHujwahi kukutana na wafanyakazi wa TTCL pale kibo complex ww.
Mtu unafika pale anakuangalia kuanzia juu hadi chini kisha anakuuliza kwa sauti ya usingizini "eeh unasemaje!".
Haki ya nani ile siku nilitukana mtu kum**#ke
Mtu chake [emoji847] maisha ya CPA mmeyapatia wachache, vimbeni [emoji2]Ila mkuu kwa hustle ya CPA nnayopitia siku nikiipata aki ntakua najitambulisha CPA (T) Financial services , acha waonekane wanaringa bana[emoji3][emoji3]
Watawala wa ccm na chawa waoONGEZEA WALIOSAHAULIKA.........
Wewe bila shaka huwapigi dongo team automaticMakundi yote nilikua sipo angalau najua kuendesha gari manually
Umeona eee [emoji847][emoji23]Na ukimfokea konda anakujibu si ungenunua gari lako kama hutaki public transport au ita uber[emoji3][emoji3] basi tu ili mradi akukere[emoji3]
Ule mngurumo unavyoteka attention ya watuWanaoendesha Subaru na Impreza zenye kelele, wanajiona sana
[emoji23][emoji119][emoji23] mkuu ilishakukuta hiiSijasoma yote ila kwa wapata siti za daladala ni uhakika hundred percent
Nasikia siku hizi wameambiwa wakasomee wasajiliwe na LATRA kabisaHahahaa wale Makonda wa kwenye mabasi
Mmh sidhani, ongezea na wengine mkuuMkuu mbona umemaliza watu wote