Oryx Energy Rally of Tanzania

Oryx Energy Rally of Tanzania

Jamaa ametoa order mwenyewe kaka.
Ndo habari ya mujini hiyo

Bora angenunua hii, na chenji ingebaki

1426701_613317945376661_105210757_n.jpg
 
Ilikuwa ni familia kubwa, baadhi yao walikuwa washiriki pia.

Hao jamaa wanaonesha wanapenda sana michezo, maana kwenye mpira wapo, kwenye Taarab wapo, na hii leo ya magari nimeipata mpya kuhusu wao.

Wanastahili sifa.
 
hekimatele hivi kwenye kuingia kwenye haya mashindano ni lazima utumie subaru au mitsubishi evo?
Ukitaka ulete super car kwenye hayo mashindano inaruhusiwa?
 
Last edited by a moderator:
hekimatele hivi kwenye kuingia kwenye haya mashindano ni lazima utumie subaru au mitsubishi evo?
Ukitaka ulete super car kwenye hayo mashindano inaruhusiwa?

Kaka,
Yaani ni wewe tu.
Mbona wapo walioingia na toyota wamezifanyia tuning ya kutosha na kuongezea power. Jamaa wa Kenya wameingia na toyota.
Kuna mzee wa Arusha (mmiliki wa A to Z) ameingia na Porsche yake ambayo alifanya special order mwenyewe kwa ajili ya rally.
Kifua chako tu kaka kama ukiamini hiyo gari utakayoingia nayo inaweza kufanya wonders then inshallah as long as vigezo na masharti yote yamezingatiwa.
 
Kaka,
Yaani ni wewe tu.
Mbona wapo walioingia na toyota wamezifanyia tuning ya kutosha na kuongezea power. Jamaa wa Kenya wameingia na toyota.
Kuna mzee wa Arusha (mmiliki wa A to Z) ameingia na Porsche yake ambayo alifanya special order mwenyewe kwa ajili ya rally.
Kifua chako tu kaka kama ukiamini hiyo gari utakayoingia nayo inaweza kufanya wonders then inshallah as long as vigezo na masharti yote yamezingatiwa.

Sawa mkuu...
Safi ijayo nitajaribu kuingia kwenye hiyo michuano...
 
Back
Top Bottom