Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
View attachment 260372
Mzee wa A to Z from Arusha na gari yake aina ya Porsche yenye thamani ya 400mil TZS naye alitia fora
Milion 400 unanunua hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 260372
Mzee wa A to Z from Arusha na gari yake aina ya Porsche yenye thamani ya 400mil TZS naye alitia fora
Milion 400 unanunua hiyo?
Jamaa ametoa order mwenyewe kaka.
Ndo habari ya mujini hiyo
Bora angenunua hii, na chenji ingebaki
![]()
Ilikuwa ni familia kubwa, baadhi yao walikuwa washiriki pia.
hekimatele hivi kwenye kuingia kwenye haya mashindano ni lazima utumie subaru au mitsubishi evo?
Ukitaka ulete super car kwenye hayo mashindano inaruhusiwa?
Kaka,
Yaani ni wewe tu.
Mbona wapo walioingia na toyota wamezifanyia tuning ya kutosha na kuongezea power. Jamaa wa Kenya wameingia na toyota.
Kuna mzee wa Arusha (mmiliki wa A to Z) ameingia na Porsche yake ambayo alifanya special order mwenyewe kwa ajili ya rally.
Kifua chako tu kaka kama ukiamini hiyo gari utakayoingia nayo inaweza kufanya wonders then inshallah as long as vigezo na masharti yote yamezingatiwa.