Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Yeah halafu jamaa naturally ni comedianI think wamebadir jina ili kuvuta attention.
Baba levo yupo open sana hasa kuhusu yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah halafu jamaa naturally ni comedianI think wamebadir jina ili kuvuta attention.
Baba levo yupo open sana hasa kuhusu yeye.
Yule ni akiongea sentens tatu ya nne kichekeshoYeah halafu jamaa naturally ni comedian
Huo ni mtazamo wako mkuu usizingizie audience...Audience ndio inawataka hao. Huoni walivyoinyanyua EFM.
Biashara unaangalia sokoni wateja wanataka nini.
Hiyo sio TBC FM mtu kawekeza hapo anataka return on investment
Nazungumzia kibongo bongo mkuuHuo ni mtazamo wako mkuu usizingizie audience...
Huwa unaangalia MTV,BET?
Pamoja mkuuNazungumzia kibongo bongo mkuu
Katika kipindi kipya cha Jana na leo yupo Oscar, baba levo, edo kumwembe na Adela tilyaI think wamebadir jina ili kuvuta attention.
Baba levo yupo open sana hasa kuhusu yeye.
Basi hapo wameenda vzr.Katika kipindi kipya cha Jana na leo yupo Oscar, baba levo, edo kumwembe na Adela tilya
Kasikilize TBCKijiwe cha wapiga kelele
Media zinajuwa wabongo wanapenda
Kelele,umbea tu ,Acha wacheze na akili za wabongo
Ova
Akiwa serious huwa ni mtu kweli hasa akiwa anachambua football sema Kuna muda huwa anajitoa ufahamu kumvuta followers.Huwa simuelewi kabisa huyu jamaa. Ukiachana na vile meme zake za Twitter huko kwenye kutangaza ni empty hana lolote.
Ya tano kumsifia Diamond.Yule ni akiongea sentens tatu ya nne kichekesho
Watu siku hizi wanapenda kuchekeshwa,Baba levo ndo mtu sahihi pale.Si unaona Seki kapigwa chini,sababu Seki yupo serious.Pale Mgahawa aliyekuwa akiharibu ni Baba Levo ndio ameharibu tonge la watu
Hana lolote,ila yeye na Baba levo watavuta wasikilizaji,matangazo ya CRDB ,NBC na makampuni yenye mikwanja mirefu yatazidi kumiminika.Huwa simuelewi kabisa huyu jamaa. Ukiachana na vile meme zake za Twitter huko kwenye kutangaza ni empty hana lolote.
Ulabu huo.Kavimba mashavu kama mgonjwa
Kwahiyo seki ni jobless kwa sasa au anaandaliwa kipindi ?.Watu siku hizi wanapenda kuchekeshwa,Baba levo ndo mtu sahihi pale.Si unaona Seki kapigwa chini,sababu Seki yupo serious.