Oscar oscar: Kila timu ikimkamia sana Yanga lazima ishuke daraja

Oscar oscar: Kila timu ikimkamia sana Yanga lazima ishuke daraja

Oscar na mtoa uzi na wote wataoamini huu upumbavu ni Mahayawani.

Yaani timu kucheza kwa bidii kutafuta ushindi ni kosa? Thubutu!. Yaani Ihefu kuwa na matokeo mabovu ni ushirikina wa chura, hakuna. Mpira ni mchezo wa makosa. Na haimaanishi kufunga timu fulani lazima uzifunge timu zingine.

Ninachoona hapa ni mind game. Utopolo baada ya kuona wanatepeta, kikosi kishaanza kuyumbayumba huku wameshakata tamaa Klabu Bingwa, basi wanatengeneza propaganda ili timu zinginezo za ligi kuu zisicheze kwa viwango tukuka.

Kwa sababu bila bahasha na propaganda za kipuuzi, Yanga hana chake.
 
Toto Africa ya Mwanza ilikuwa ikiikamia sana Simba, mwisho wa siku ikashuka daraja na hadi leo haijarudi ligi kuu

Kwenye mpira timu kushuka daraja kuna sababu nyingi japo hili la kuwa tawi wa Simba au Yanga ni sehemu tu ya kuja kuhujumiwa.
 
Hao Ihefu hata itokee wakashuka daraja, sitawasikitikia. Maana ndani ya msimu mzima wachezaji wao huandaliwa kuifunga Yanga tu kwenye uwanja wao wa nyumbani wa Highland Estate.

Baada ya hapo timu hugeuka na kuwa pombe ya kwenye sherehe. Yaani kila mtu aliyealikwa, anakaribishwa kunywa. Nilisema humu baada ya ile mechi! Na mpaka sasa ndicho kinachotokea. Hata msimu uliopita baada ya kuifunga tu Yanga, wakabweteka kama ilivyo kawaida yao.
 
Ihefu aliwapga msm uliopita mbona hakushuka daraja,,afu naskia kweny CL mpo kleleni kweny kundi lenu ,baridi ni kali san huko kileleni 👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20231205-095104_Gallery.jpg
    Screenshot_20231205-095104_Gallery.jpg
    20.5 KB · Views: 1
Hii nchi tungekua mbali sana kimpira isingekuwepo yanga....

Hawa jamaa wana fitina za kijinga sana...

Wako kama nyoka, anakung'ata halafu hakuli...

Hata hizi draw za simba, wao ndio wamefunga wachezaji wetu.
Pia usisahau Yanga Wanajitoa Kwa jamii ...
 
Washamba sana yanga wao wameifunga simba goli 5 ila hali swari yaani wao kufungwa na ihefu imekuwa nongwa msemaji wao kila inapocheza ihefu anapost anasema na leo wazee wangu fanyeni kazi.
[emoji23][emoji23]
 
Yani kama oscar oscar ndo reference yako basi ww ni hamnazo...huyo ndumilakuwili
Huyo ni mchambuzi.....hana timu ....kama Mimi tu sisi wachambuzi hatuna mahaba na timu yeyote

NB Kuna mwaka pia Makolo walitaka kushuka daraja ....sema tu huruma za yanga zikaiponesha[emoji23][emoji23]
 
Oscar na mtoa uzi na wote wataoamini huu upumbavu ni Mahayawani.

Yaani timu kucheza kwa bidii kutafuta ushindi ni kosa? Thubutu!. Yaani Ihefu kuwa na matokeo mabovu ni ushirikina wa chura, hakuna. Mpira ni mchezo wa makosa. Na haimaanishi kufunga timu fulani lazima uzifunge timu zingine.

Ninachoona hapa ni mind game. Utopolo baada ya kuona wanatepeta, kikosi kishaanza kuyumbayumba huku wameshakata tamaa Klabu Bingwa, basi wanatengeneza propaganda ili timu zinginezo za ligi kuu zisicheze kwa viwango tukuka.

Kwa sababu bila bahasha na propaganda za kipuuzi, Yanga hana chake.
[emoji23][emoji23]
 
Hao Ihefu hata itokee wakashuka daraja, sitawasikitikia. Maana ndani ya msimu mzima wachezaji wao huandaliwa kuifunga Yanga tu kwenye uwanja wao wa nyumbani wa Highland Estate.

Baada ya hapo timu hugeuka na kuwa pombe ya kwenye sherehe. Yaani kila mtu aliyealikwa, anakaribishwa kunywa. Nilisema humu baada ya ile mechi! Na mpaka sasa ndicho kinachotokea. Hata msimu uliopita baada ya kuifunga tu Yanga, wakabweteka kama ilivyo kawaida yao.
Kabisa [emoji23]
 
Jamaa wanaendekeza ushirikina ndio maana kimataifa hamna wanachokifanya wakifika mapema wanaaga.
Kuna kimataifa ingine au ipi wanaaga hawahawa walocheza fainali au ipo team ingine unaizungumzia
 
Oscar na mtoa uzi na wote wataoamini huu upumbavu ni Mahayawani.

Yaani timu kucheza kwa bidii kutafuta ushindi ni kosa? Thubutu!. Yaani Ihefu kuwa na matokeo mabovu ni ushirikina wa chura, hakuna. Mpira ni mchezo wa makosa. Na haimaanishi kufunga timu fulani lazima uzifunge timu zingine.

Ninachoona hapa ni mind game. Utopolo baada ya kuona wanatepeta, kikosi kishaanza kuyumbayumba huku wameshakata tamaa Klabu Bingwa, basi wanatengeneza propaganda ili timu zinginezo za ligi kuu zisicheze kwa viwango tukuka.

Kwa sababu bila bahasha na propaganda za kipuuzi, Yanga hana chake.
Yas tulianzia bahasa kwa makolo kaka tukawapa 5 sasa kwanini watoto nao wasipokee
 
Nimetafakari Sana na kuikumbuka Lipuli FC ya Iringa ambayo ilishuka daraja baada ya kuonekana inaikomalia club ya Yanga.

Mashabiki na wanachama wa Yanga walisema tutahakikisha Lipuli inapotea katika mpira wa miguu na kweli ni msimu huohuo ambapo moja ya tukio la kukumbukwa ni mpira uliokitwa ndani ya nyavu za goli refa kuamua ni iwe kona ilihali mpira haukuguswa na mchezaji yeyote wa Yanga zaidi ya golikipa wao kuuokota ndani ya wavu.

Kitu hicho kilihaidiwa juzi na mashabiki wa timu hiyo pale Ihefu ilipowakunguta goli 2.Waliumia Sana na wakati wakihojiwa walisema wataifanyia Ihefu kilekile walichoifanyia Lipuli.

Tangu mechi hiyo mpaka sasa Ihefu imecheza mechi 8 bila kupata ushindi katika michezo hiyo waluyocheza nyumbani na ugenini

Msimu huu wameshuka dimbani Mara 12 na wamepata ushindi Mara 2 sare 4 na vipigo 6.

[emoji989]Wananchi mna tabia mbaya [emoji3][emoji3]View attachment 2833471
Stand united na Mwadui hao vipi?
 
Huyo ni mchambuzi.....hana timu ....kama Mimi tu sisi wachambuzi hatuna mahaba na timu yeyote

NB Kuna mwaka pia Makolo walitaka kushuka daraja ....sema tu huruma za yanga zikaiponesha[emoji23][emoji23]
Sio huna tim wew ni utopwinyo og ,,sema unaona li tim lako linaanza kuvulunda huko CL una anza kujificha kwenye chaka la kwamba huna tim🤪🤪
 
Back
Top Bottom