Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kulia liaAachane na yanga
Huyu jamaa wewe hujamuelewa, Jamaa anaenda ku;lingana na matukio hata upande wa pili huwa anawatupiaga vijembe sana. Mfatilie kiutashi sio kiushabikiWewe kwa mtazamo wako yupo sahihi?
Kuchafua brand huku akitumia na mwanya huo kujipatia ugali?
Na hili haliwezi kuja kumletea shida baadae?
Tumsaidie kuliko kumshangilia,muda bado upo.
Hakika jamaa ni [emoji532][emoji38][emoji38][emoji38]Huyo Jamaa mbona ni Utopolo mzuri.....! alitemeshwa mzigo Azam Media baada Kuleta Utopolo wake akiwa Mwajiriwa Wa Azam.
Nilishangaa eti naye anataka Uraisi Wa TFF kwa akili ndogo anazozionyesha Kwenye Posts zake
Utopoloni mwenye akiri ni mzee kikwete na sunday manara ~ by haji manara semaji la utopoloWewe kwa mtazamo wako yupo sahihi?
Kuchafua brand huku akitumia na mwanya huo kujipatia ugali?
Na hili haliwezi kuja kumletea shida baadae?
Tumsaidie kuliko kumshangilia,muda bado upo.
Kwa binadam mchungu nimekusaidia mkuu Ila ukweli Sisi tunaenda Botswana wao wanaenda singida Kwa jamaa Yao😁😁😁😁Dah life hili.
Mpira hauitaji hasira wakuu.
Yule mwandishi "X"mwenye kidoti anavyokua anashadadia mambo ya Simba mbona huwa hamuongei? au mkuki Kwa 😃
Wanaona Ila ndo wanajizima data ukizingatia hamnazoWanajifanya hawaoni.