Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Ukiniuliza mimi ni shabiki wa Timu gani nitakujibu, (Mimi ni shabiki wa Simba ila Naipenda Yanga daima) Yanga ni Timu kubwa ambayo inaendeshwa kikubwa licha ya kuwa asilimia kubwa ya viongozi wake wana umri mdogo ila wanaiongoza clab kikubwa upande wa timu yangu simba inaongozwa kitoto sana licha ya kuwa asilimia kubwa ya viongozi wetu ni watu wazima au ndo tuseme akiri zimeshazeeka?[emoji848]
NB mtaishia robo fainali tu[emoji23]
Kwa uongozi huu uliopo tusitarajie mafanikio ndani ya Clab yetu siasa ndo zimetawala" (Oscar Oscar 2023)
Je unakubaliana na uchambuzi wa Oscar Oscar?
NB mtaishia robo fainali tu[emoji23]
Kwa uongozi huu uliopo tusitarajie mafanikio ndani ya Clab yetu siasa ndo zimetawala" (Oscar Oscar 2023)
Je unakubaliana na uchambuzi wa Oscar Oscar?