Oscar Oscar: Taifa stars imebebwa na Yanga

Oscar Oscar: Taifa stars imebebwa na Yanga

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
TAIFA STAR'S IMEBEBWA NA YANGA

Ubora huu wa timu yetu ya taifa umeletwa na Yanga, kwa sasa taifa Stars wachezaji wanacheza kwa kujiamini hususani mabeki,

kujiamini kwa wachezaji wetu wa Yanga inapelekea wachezaji wengine pia kujiamini ni kama nyumba ikiwa na mwanaume ndani watoto hujiamini na kuamini kwamba hata ikitokea ndani ameingia chatu, dingi yupo atapambana naye.

Sote tumeona Yanga ikiwa kwenye ubora wake, timu yetu ya taifa imefuzu Afcon, imecheza chani ni tofauti na kipindi kile ambacho simba ilikuwa bora hakuna cha maana kilicho fanyika kwenye timu ya taifa.

Sasa basi Watanzania wote kwa pamoja tuiombee dua Simba iendelee kukumbwa na migogoro ili timu iwe mbovu kwa maslahi mapana ya Nchi yetu na soka letu. Simba piganeni tu kwa kweli.
1718204473049.jpg
 
TAIFA STAR'S IMEBEBWA NA YANGA

Ubora huu wa timu yetu ya taifa umeletwa na Yanga, kwa sasa taifa Stars wachezaji wanacheza kwa kujiamini hususani mabeki,

kujiamini kwa wachezaji wetu wa Yanga inapelekea wachezaji wengine pia kujiamini ni kama nyumba ikiwa na mwanaume ndani watoto hujiamini na kuamini kwamba hata ikitokea ndani ameingia chatu, dingi yupo atapambana naye.

Sote tumeona Yanga ikiwa kwenye ubora wake, timu yetu ya taifa imefuzu Afcon, imecheza chani ni tofauti na kipindi kile ambacho simba ilikuwa bora hakuna cha maana kilicho fanyika kwenye timu ya taifa.

Sasa basi Watanzania wote kwa pamoja tuiombee dua Simba iendelee kukumbwa na migogoro ili timu iwe mbovu kwa maslahi mapana ya Nchi yetu na soka letu. Simba piganeni tu kwa kweli.View attachment 3015622
Imebebwa na mzanzibari Bacca.
 
Aahaaaaa
TAIFA STAR'S IMEBEBWA NA YANGA

Ubora huu wa timu yetu ya taifa umeletwa na Yanga, kwa sasa taifa Stars wachezaji wanacheza kwa kujiamini hususani mabeki,

kujiamini kwa wachezaji wetu wa Yanga inapelekea wachezaji wengine pia kujiamini ni kama nyumba ikiwa na mwanaume ndani watoto hujiamini na kuamini kwamba hata ikitokea ndani ameingia chatu, dingi yupo atapambana naye.

Sote tumeona Yanga ikiwa kwenye ubora wake, timu yetu ya taifa imefuzu Afcon, imecheza chani ni tofauti na kipindi kile ambacho simba ilikuwa bora hakuna cha maana kilicho fanyika kwenye timu ya taifa.

Sasa basi Watanzania wote kwa pamoja tuiombee dua Simba iendelee kukumbwa na migogoro ili timu iwe mbovu kwa maslahi mapana ya Nchi yetu na soka letu. Simba piganeni tu kwa kweli.View attachment 3015622
 
Amezungumza Ukweli kabisa, Yanga ndio Taifa Stars kwasasa

Hawa Makolo wakikataa watakuwa matahira wa kudumu
 
TAIFA STAR'S IMEBEBWA NA YANGA

Ubora huu wa timu yetu ya taifa umeletwa na Yanga, kwa sasa taifa Stars wachezaji wanacheza kwa kujiamini hususani mabeki,

kujiamini kwa wachezaji wetu wa Yanga inapelekea wachezaji wengine pia kujiamini ni kama nyumba ikiwa na mwanaume ndani watoto hujiamini na kuamini kwamba hata ikitokea ndani ameingia chatu, dingi yupo atapambana naye.

Sote tumeona Yanga ikiwa kwenye ubora wake, timu yetu ya taifa imefuzu Afcon, imecheza chani ni tofauti na kipindi kile ambacho simba ilikuwa bora hakuna cha maana kilicho fanyika kwenye timu ya taifa.

Sasa basi Watanzania wote kwa pamoja tuiombee dua Simba iendelee kukumbwa na migogoro ili timu iwe mbovu kwa maslahi mapana ya Nchi yetu na soka letu. Simba piganeni tu kwa kweli.View attachment 3015622
Kweli
 
TAIFA STAR'S IMEBEBWA NA YANGA

Ubora huu wa timu yetu ya taifa umeletwa na Yanga, kwa sasa taifa Stars wachezaji wanacheza kwa kujiamini hususani mabeki,

kujiamini kwa wachezaji wetu wa Yanga inapelekea wachezaji wengine pia kujiamini ni kama nyumba ikiwa na mwanaume ndani watoto hujiamini na kuamini kwamba hata ikitokea ndani ameingia chatu, dingi yupo atapambana naye.

Sote tumeona Yanga ikiwa kwenye ubora wake, timu yetu ya taifa imefuzu Afcon, imecheza chani ni tofauti na kipindi kile ambacho simba ilikuwa bora hakuna cha maana kilicho fanyika kwenye timu ya taifa.

Sasa basi Watanzania wote kwa pamoja tuiombee dua Simba iendelee kukumbwa na migogoro ili timu iwe mbovu kwa maslahi mapana ya Nchi yetu na soka letu. Simba piganeni tu kwa kweli.View attachment 3015622
Ni sawa kabisa

Yanga is the best team so far in the country

Not news
 
Back
Top Bottom