Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Timu ya taifa ya spain iliyobeba ubingwa wa dunia 2010 na Euro 2012 ilikuwa na 70% ya wachezaji wa kikosi cha kwanza cha barcelona.
Jordi Alba, puyol na pique. Hawa walikuwa mabeki.
Viungo. Busquet, xavi na iniesta washambuliaji alikuwepo David villa. Kwenye bench alikuwepo pedro na fabrigaz.
Lakini kwa kuwa hakuna ubacelona na umadrid huwezi kuwasikia wakisema eti timu ya taifa ya spain ilibebwa na barcelona.
Shida nayoiona hapa ni Usimba na Uyanga..
Jordi Alba, puyol na pique. Hawa walikuwa mabeki.
Viungo. Busquet, xavi na iniesta washambuliaji alikuwepo David villa. Kwenye bench alikuwepo pedro na fabrigaz.
Lakini kwa kuwa hakuna ubacelona na umadrid huwezi kuwasikia wakisema eti timu ya taifa ya spain ilibebwa na barcelona.
Shida nayoiona hapa ni Usimba na Uyanga..