Oscar Oscar uache kuwaita wachungaji ni matapeli! Chambua soka, achana na wachungaji kabisa

Oscar Oscar uache kuwaita wachungaji ni matapeli! Chambua soka, achana na wachungaji kabisa

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Huyu ni Oscar Oscar wa wasafi media! Akishakaa kwenye mic za WCB! Anaona anaweza kukanyaga kitu chochote! Maandiko yanasema ONDOA kwanza boriti kwenye jicho lako, ndipo utazame boriti kwenye jicho la mwenzako, Osca analalamika kwamba sadaka zimekuwa sehemu ya utapeli makanisani, kama ni hivyo kwanini yeye asianzishe kanisa la kwake la kusali Bure?

Nchi hii tumepewa uhuru wa kuabudu chochote kikubwa usivunje sheria. Wanaotoa sadaka hawajawahi kulalamika popote kwamba wanaibiwa, wewe Osca unaeshinda Kidimbwi na kwenye makampuni ya kubeti Kuna mtu amewahi kukulaumu?

Kwa Nini unasema wachungaji, kwanini unawaunganisha wote? Kwa Nini hukutaja mapadre na makanisa unayosali wewe kwani Huko hamtoi? Kama unaushahidi juu ya madai Yako wataje na uende mahakamani kuthibitisha. Kuliko kuongea kama sukununu!

Unaona kama unashangiliwa ambacho hujui ni kwamba wanaokushangilia nao Wana dini zao na misikiti Yao na wanaabudu miungu Yao! Unaona kama unaongea pointi, lakini ndani yake unawadhalilisha wachungaji hata waliokulea wewe kiimani

Usitumie mic za WCB kukashifu aina ya ibada za watu! Nyinyi mnafanya festival kiingilio ni Bure? Mnachezesha betting Bure? Na ni halali? Endelea kuchambua soka ambalo ndio ibada Yako na Huko pia unatoa viingilio vikubwa na haulalamiki !

Wewe ni kipofu huwezi kuwafundisha watumishi wa mungu Cha kufanya tafadhali ! Huna uwezo wa kuomba hata dakika Tano ! Huna uwezo wa kuhudhuria kwenye ibada mwaka mzima mfululizo ! Na ukifa jeneza lako litapelekwa kanisani, haohao unaowaoita Leo matapeli watasimama kukuzika na kukuombea! NB. Ukirudia nitakutaka uwataje na uje na ushahidi mahakamani
 
1000142084.jpg
 
Huyu ni osca osca wa wasafi media ! Akishakaa kwenye mic za wcb! Anaona anaweza kukanyaga kitu chochote ! Maandiko yanasema ONDOA kwanza boriti kwenye jicho lako ,ndipo utazame boriti kwenye jicho la mwenzako ,osca analalamika kwamba sadaka zimekuwa sehemu ya utapeli makanisani ,kama ni hivyo kwanini yeye asianzishe kanisa la kwake la kusali Bure? Nchi hii tumepewa uhuru wa kuabudu chochote kikubwa usivunje sheria .wanaotoa sadaka hawajawahi kulalamika popote kwamba wanaibiwa ,wewe osca unaeshinda kidimbwi na kwenye makampuni ya kubeti Kuna mtu amewahi kukulaumu? Kwa Nini unasema wachungaji ,kwanini unawaunganisha wote? Kwa Nini hukutaja mapadre na makanisa unayosali wewe kwani Huko hamtoi? Kama unaushahidi juu ya madai Yako wataje na uende mahakamani kuthibitisha ,.kuliko kuongea kama sukununu ! Unaona kama unashangiliwa ambacho hujui ni kwamba wanaokushangilia nao Wana dini zao na misikiti Yao na wanaabudu miungu Yao ! Unaona kama unaongea pointi ,lakini ndani yake unawadhalilisha wachungaji hata waliokulea wewe kiimani ,usitumie mic za wcb kukashifu aina ya ibada za watu! Nyinyi mnafanya festival kiingilio ni Bure? Mnachezesha betting Bure? Na ni halali? Endelea kuchambua soka ambalo ndio ibada Yako na Huko pia unatoa viingilio vikubwa na haulalamiki ! Wewe ni kipofu huwezi kuwafundisha watumishi wa mungu Cha kufanya tafadhali ! Huna uwezo wa kuomba hata dakika Tano ! Huna uwezo wa kuhudhuria kwenye ibada mwaka mzima mfululizo ! Na ukifa jeneza lako litapelekwa kanisani ,haohao unaowaoita Leo matapeli watasimama kukuzika na kukuombea ! Nb. Ukirudia nitakutaka uwataje na uje na ushahidi mahakamani
Ndiyo kusema hasira zimekukaba kiasi cha kushindwa kuweka malalamiko yako katika paragraphs!!! Unahisi jamaa anataka kukunyang'anya tonge mdomoni!!!
 
Huyu ni osca osca wa wasafi media ! Akishakaa kwenye mic za wcb! Anaona anaweza kukanyaga kitu chochote ! Maandiko yanasema ONDOA kwanza boriti kwenye jicho lako ,ndipo utazame boriti kwenye jicho la mwenzako ,osca analalamika kwamba sadaka zimekuwa sehemu ya utapeli makanisani ,kama ni hivyo kwanini yeye asianzishe kanisa la kwake la kusali Bure? Nchi hii tumepewa uhuru wa kuabudu chochote kikubwa usivunje sheria .wanaotoa sadaka hawajawahi kulalamika popote kwamba wanaibiwa ,wewe osca unaeshinda kidimbwi na kwenye makampuni ya kubeti Kuna mtu amewahi kukulaumu? Kwa Nini unasema wachungaji ,kwanini unawaunganisha wote? Kwa Nini hukutaja mapadre na makanisa unayosali wewe kwani Huko hamtoi? Kama unaushahidi juu ya madai Yako wataje na uende mahakamani kuthibitisha ,.kuliko kuongea kama sukununu ! Unaona kama unashangiliwa ambacho hujui ni kwamba wanaokushangilia nao Wana dini zao na misikiti Yao na wanaabudu miungu Yao ! Unaona kama unaongea pointi ,lakini ndani yake unawadhalilisha wachungaji hata waliokulea wewe kiimani ,usitumie mic za wcb kukashifu aina ya ibada za watu! Nyinyi mnafanya festival kiingilio ni Bure? Mnachezesha betting Bure? Na ni halali? Endelea kuchambua soka ambalo ndio ibada Yako na Huko pia unatoa viingilio vikubwa na haulalamiki ! Wewe ni kipofu huwezi kuwafundisha watumishi wa mungu Cha kufanya tafadhali ! Huna uwezo wa kuomba hata dakika Tano ! Huna uwezo wa kuhudhuria kwenye ibada mwaka mzima mfululizo ! Na ukifa jeneza lako litapelekwa kanisani ,haohao unaowaoita Leo matapeli watasimama kukuzika na kukuombea ! Nb. Ukirudia nitakutaka uwataje na uje na ushahidi mahakamani
Ndugu, hii sio vita ya damu na nyama. Ni vita ya kiroho, dhidi ya falme za kuzimu.

Huo ni mpango madhubuti wa ibilisi kufifisha injili isiendelee mbele. Ndio maana unaona anawatumia watu wachache ambao ni wafuasi wake lakini wana ushawishi kuwashawishi wengine ili wayachukie makanisa.

Badala ya kulalamika hapa, tunatakiwa kuchukua nafasi ya kuomba na kukemea mamlaka hizo ili mipango hiyo miovu isipate nafasi.
 
Huyu ni osca osca wa wasafi media ! Akishakaa kwenye mic za wcb! Anaona anaweza kukanyaga kitu chochote ! Maandiko yanasema ONDOA kwanza boriti kwenye jicho lako ,ndipo utazame boriti kwenye jicho la mwenzako ,osca analalamika kwamba sadaka zimekuwa sehemu ya utapeli makanisani ,kama ni hivyo kwanini yeye asianzishe kanisa la kwake la kusali Bure? Nchi hii tumepewa uhuru wa kuabudu chochote kikubwa usivunje sheria .wanaotoa sadaka hawajawahi kulalamika popote kwamba wanaibiwa ,wewe osca unaeshinda kidimbwi na kwenye makampuni ya kubeti Kuna mtu amewahi kukulaumu? Kwa Nini unasema wachungaji ,kwanini unawaunganisha wote? Kwa Nini hukutaja mapadre na makanisa unayosali wewe kwani Huko hamtoi? Kama unaushahidi juu ya madai Yako wataje na uende mahakamani kuthibitisha ,.kuliko kuongea kama sukununu ! Unaona kama unashangiliwa ambacho hujui ni kwamba wanaokushangilia nao Wana dini zao na misikiti Yao na wanaabudu miungu Yao ! Unaona kama unaongea pointi ,lakini ndani yake unawadhalilisha wachungaji hata waliokulea wewe kiimani ,usitumie mic za wcb kukashifu aina ya ibada za watu! Nyinyi mnafanya festival kiingilio ni Bure? Mnachezesha betting Bure? Na ni halali? Endelea kuchambua soka ambalo ndio ibada Yako na Huko pia unatoa viingilio vikubwa na haulalamiki ! Wewe ni kipofu huwezi kuwafundisha watumishi wa mungu Cha kufanya tafadhali ! Huna uwezo wa kuomba hata dakika Tano ! Huna uwezo wa kuhudhuria kwenye ibada mwaka mzima mfululizo ! Na ukifa jeneza lako litapelekwa kanisani ,haohao unaowaoita Leo matapeli watasimama kukuzika na kukuombea ! Nb. Ukirudia nitakutaka uwataje na uje na ushahidi mahakamani
Sitaki kuingilia uhuru wa kuabudu lakini huwa najiuliza Kwanini hao wenye makanisa ni mabillionare ila waumini ni masikini wa kutupwa? Utajiri wanaupata wapi? Mimi nadhani jambo hili lijadiliwe kwa staha na kwa kina. Imefikia hatua baadhi ya watu wanaogopa kwenda makanisani weekend kwasababu ya matoleo mengi . Je kuna biashara makanisani?na kama ni ndiyo, hili ndiyo kusudio la dini?
 
Mimi Nami Nkanini, ninakazia mada, hawa ni matapeli wakubwa, wezi na mashetani, wewe endelea na umasikini wakati tapeli mwamposa anajengea familia yake majumba na mahoteli, tapeli bushiri kawaibia wajinga pale SA, kuwa najisi vitoto vidogo pale na Kawa fugitive, kama yupo clean why kaikimbia SA kwa kuruka ukuta?,tapeli mwingine bado raia wake wanasubiria safari ya kwenda ughaibuni!!!
 
Sitaki kuingilia uhuru wa kuabudu lakini huwa najiuliza Kwanini hao wenye makanisa ni mabillionare ila waumini ni masikini wa kutupwa? Utajiri wanaupata wapi? Mimi nadhani jambo hili lijadiliwe kwa staha na kwa kina. Imefikia hatua baadhi ya watu wanaogopa kwenda makanisani weekend kwasababu ya matoleo mengi . Je kuna biashara makanisani?na kama ni ndiyo, hili ndiyo kusudio la dini?
Mkuu usiogope kujadili ukweli, hawa jamaa ni wezi, rapist, lazima waambie hivyo na wajinga kama mtoa mada naye aambiwe kuwa ni mpumbavu
 
Huyu ni osca osca wa wasafi media ! Akishakaa kwenye mic za wcb! Anaona anaweza kukanyaga kitu chochote ! Maandiko yanasema ONDOA kwanza boriti kwenye jicho lako ,ndipo utazame boriti kwenye jicho la mwenzako ,osca analalamika kwamba sadaka zimekuwa sehemu ya utapeli makanisani ,kama ni hivyo kwanini yeye asianzishe kanisa la kwake la kusali Bure? Nchi hii tumepewa uhuru wa kuabudu chochote kikubwa usivunje sheria .wanaotoa sadaka hawajawahi kulalamika popote kwamba wanaibiwa ,wewe osca unaeshinda kidimbwi na kwenye makampuni ya kubeti Kuna mtu amewahi kukulaumu? Kwa Nini unasema wachungaji ,kwanini unawaunganisha wote? Kwa Nini hukutaja mapadre na makanisa unayosali wewe kwani Huko hamtoi? Kama unaushahidi juu ya madai Yako wataje na uende mahakamani kuthibitisha ,.kuliko kuongea kama sukununu ! Unaona kama unashangiliwa ambacho hujui ni kwamba wanaokushangilia nao Wana dini zao na misikiti Yao na wanaabudu miungu Yao ! Unaona kama unaongea pointi ,lakini ndani yake unawadhalilisha wachungaji hata waliokulea wewe kiimani ,usitumie mic za wcb kukashifu aina ya ibada za watu! Nyinyi mnafanya festival kiingilio ni Bure? Mnachezesha betting Bure? Na ni halali? Endelea kuchambua soka ambalo ndio ibada Yako na Huko pia unatoa viingilio vikubwa na haulalamiki ! Wewe ni kipofu huwezi kuwafundisha watumishi wa mungu Cha kufanya tafadhali ! Huna uwezo wa kuomba hata dakika Tano ! Huna uwezo wa kuhudhuria kwenye ibada mwaka mzima mfululizo ! Na ukifa jeneza lako litapelekwa kanisani ,haohao unaowaoita Leo matapeli watasimama kukuzika na kukuombea ! Nb. Ukirudia nitakutaka uwataje na uje na ushahidi mahakamani
Naungana na Oscar Oscar, NASEMA NO kwa makanisa uchwara hasa haya ya PENTECOSTAL
 
Unajua watu wengi ni wajinga sana hamuelewi maana ya ibada mnavyoenda kutambika au Kwa mganga huwa mnabeba mawe? Hakuna shuruti kwenye ibada ukiona mtu anatoa sadaka jua kuna kitu kimetokea kwenye maisha yake kaamua kushukuru,
 
Nchi pia imetoa uhuru wa kutoa maoni yake ikiwa ni pamoja na hicho alichofafanua kwa mtazamo wake kuwa Huko Makanisani hasa ya siku hizi Utapeli ni mkubwa.
Kama anapotosha ni vizuri umepeleke mahakamani akathibitishe, akishindwa mchukulie hatua.

Ishu itaanza na utapeli ni nini?
 
Ndugu, hii sio vita ya damu na nyama. Ni vita ya kiroho, dhidi ya falme za kuzimu.

Huo ni mpango madhubuti wa ibilisi kufifisha injili isiendelee mbele. Ndio maana unaona anawatumia watu wachache ambao ni wafuasi wake lakini wana ushawishi kuwashawishi wengine ili wayachukie makanisa.

Badala ya kulalamika hapa, tunatakiwa kuchukua nafasi ya kuomba na kukemea mamlaka hizo ili mipango hiyo miovu isipate nafasi.
Mwe! [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom