Oscar Oscar uache kuwaita wachungaji ni matapeli! Chambua soka, achana na wachungaji kabisa

Oscar Oscar uache kuwaita wachungaji ni matapeli! Chambua soka, achana na wachungaji kabisa

Nchi pia imetoa uhuru wa kutoa maoni yake ikiwa ni pamoja na hicho alichofafanua kwa mtazamo wake kuwa Huko Makanisani hasa ya siku hizi Utapeli ni mkubwa.
Kama anapotosha ni vizuri umepeleke mahakamani akathibitishe, akishindwa mchukulie hatua.

Ishu itaanza na utapeli ni nini?
Dini pia Zina uwekazaji ambao unatumia fedha na nguvu na akili ..ndio haulazimishwi kutoa kama am avyo wewe Robert ukipata mshahara wako unakatwa makato yote kwanza ndiyo upewe ,na anaekukata ni huyo huyo aliyekupa Ajira na mshahara ,ndivyo na wewe unapoenda kanisani au msikitini unawajibika kutoa zaka na sadaka zingine ! Tofauti ya sadaka ya zaka na Kodi ni Moja tu ,Kodi usipotoa unashtakiwa na kufungiwa biashara lakini zaka unahimizwa na usipotoa sio lazima ! Macho Yako ni kipofu kwa kuhisi watumishi wanapohamasisha watu watoe sadaka na zaka unahisi ni utapeli hiyo ni kwa sababu mungu mnaemwabudu kwa Sasa mnamtoa google si katika bubujiko na toba
 
Oscar Oscar bado mshamba mshamba hata ukimuangalia unajua fika kabisa hana muda mrefu mjini…
Huwa ana fosi kuchekesha ila ni ushamba tuuu
 
Huyu ni Oscar Oscar wa wasafi media! Akishakaa kwenye mic za WCB! Anaona anaweza kukanyaga kitu chochote! Maandiko yanasema ONDOA kwanza boriti kwenye jicho lako, ndipo utazame boriti kwenye jicho la mwenzako, Osca analalamika kwamba sadaka zimekuwa sehemu ya utapeli makanisani, kama ni hivyo kwanini yeye asianzishe kanisa la kwake la kusali Bure?

Nchi hii tumepewa uhuru wa kuabudu chochote kikubwa usivunje sheria. Wanaotoa sadaka hawajawahi kulalamika popote kwamba wanaibiwa, wewe Osca unaeshinda Kidimbwi na kwenye makampuni ya kubeti Kuna mtu amewahi kukulaumu?

Kwa Nini unasema wachungaji, kwanini unawaunganisha wote? Kwa Nini hukutaja mapadre na makanisa unayosali wewe kwani Huko hamtoi? Kama unaushahidi juu ya madai Yako wataje na uende mahakamani kuthibitisha. Kuliko kuongea kama sukununu!

Unaona kama unashangiliwa ambacho hujui ni kwamba wanaokushangilia nao Wana dini zao na misikiti Yao na wanaabudu miungu Yao! Unaona kama unaongea pointi, lakini ndani yake unawadhalilisha wachungaji hata waliokulea wewe kiimani

Usitumie mic za WCB kukashifu aina ya ibada za watu! Nyinyi mnafanya festival kiingilio ni Bure? Mnachezesha betting Bure? Na ni halali? Endelea kuchambua soka ambalo ndio ibada Yako na Huko pia unatoa viingilio vikubwa na haulalamiki !

Wewe ni kipofu huwezi kuwafundisha watumishi wa mungu Cha kufanya tafadhali ! Huna uwezo wa kuomba hata dakika Tano ! Huna uwezo wa kuhudhuria kwenye ibada mwaka mzima mfululizo ! Na ukifa jeneza lako litapelekwa kanisani, haohao unaowaoita Leo matapeli watasimama kukuzika na kukuombea! NB. Ukirudia nitakutaka uwataje na uje na ushahidi mahakamani
1. Ondoa boriti jichoni mwako ndipo uondoe kibanzi kwenye jicho la mwenzio
2. Mungu na sio mungu
 
Ndugu yangu Asante Kwa maono mazuri ,lakini ukumbuke kwamba mtu anapokuvua nguo ,usikubali kabisa akuvue mpaka utupu uonekane !
Nakuelewa mkuu. Nakubaliana na nakiri ziko njia nyingi za kupambana na adui.
 
Kwa Nini unasema wachungaji, kwanini unawaunganisha wote? Kwa Nini hukutaja mapadre na makanisa unayosali wewe kwani Huko hamtoi? Kama unaushahidi juu ya madai Yako wataje na uende mahakamani kuthibitisha. Kuliko kuongea kama sukununu!

Wewe ni kipofu huwezi kuwafundisha watumishi wa mungu Cha kufanya tafadhali ! Huna uwezo wa kuomba hata dakika Tano ! Huna uwezo wa kuhudhuria kwenye ibada mwaka mzima mfululizo ! Na ukifa jeneza lako litapelekwa kanisani, haohao unaowaoita Leo matapeli watasimama kukuzika na kukuombea! NB. Ukirudia nitakutaka uwataje na uje na ushahidi mahakamani
Ukipitia post zangu mbalimbali utagundua mimi ni mkristo!

Kwa sasa hakuna imani ya hovyo kama ukristo hapa duniani.
Na hii ni kwa sbb ya kusanyiko la matapeli wanao iba kwa msaada wa injli!
Kuna makanisa yanayo bariki ndoa za jinsia moja,Nasema kanisa, ebu sema umewahi sikia msikiti gani duniani unafanya hivyo?
Nakukumbusha tu, Injili ya sasa sio injili ya Yesu kristo. Ni injili ya vigezo na masharti kuzingatiwa
*Ni kwenye ukristo kuna matapeli wanao jihita Mungu (Mfano Zumaridi),
*Kuna tapeli linajiita Nabiii Mkuu!!(alipewa na nani hicho cheo!wewe unajua?eti alionana na mungu! wapi lini, lugha gani?. Unawezaje kwenda mbinguni wakati zumardi yuko hapa hapa kanda ya ziwa anapiga selfie na Photo filter?).
*Kuna utajiri wa kutosha wa mitume na manabii, wenye kuuza faraja na matumaini hewa kwa wapumbavu kama............(jaza jibu mwenyewe),
*baada ya mitume na manabii kujaa sasa kuna tapeli anaitwa kuhani(manina walahi)!

Ebu ona;
waliokufa kenya na kuzikwa kwa siri kwenye msitu wa Shakahola wamezidi zaidi ya 400.
Waathiriwa hao wanadaiwa kuagizwa na mhubiri, Paul Mackenzie, kufa njaa ili kurahisisha kupaa kwao mbinguni, ambapo wangekutana na Yesu Kristo.

NI HUKO HUKO WATU WANAKUFAA NJAA WAKAMUONE YESU KRISTO,
NI HUKO HUKO KUNA YESU KRISTO WA TONGAREN ANAISHI NA KAOA WAKE WENGI.


KUUKALIA KIMYA UOVU NI DHAMBI PIA.
OSCAR YUKO SAHIHI


 
Haulazimishwi kuchangia ni hiari Yako
Kwani Oscar kalazimisha watu wasitoe sadaka?
Nyie mnawa-motivate watu watoe sadaka, Oscar anawafumbua macho,nyie mnamaindi,tulieni.
 
Unajua mwamposa alianzaje huduma?unajua hadi alitengana na mkewe kisa umasikini na ubize kwenye huduma,leo huduma imefanikiwa wapuuzi kama wewe mnaanza kumuita tapeli,wakati anaanza huduma mlikua wapi kumuita tapeli?wapuuzi ninyi.
Yule ni tapeli mkuu...Anatuuziaje maji lita 1.5 kwa 10,000
 
Ndugu, hii sio vita ya damu na nyama. Ni vita ya kiroho, dhidi ya falme za kuzimu.

Huo ni mpango madhubuti wa ibilisi kufifisha injili isiendelee mbele. Ndio maana unaona anawatumia watu wachache ambao ni wafuasi wake lakini wana ushawishi kuwashawishi wengine ili wayachukie makanisa.

Badala ya kulalamika hapa, tunatakiwa kuchukua nafasi ya kuomba na kukemea mamlaka hizo ili mipango hiyo miovu isipate nafasi.
Acheni upumbavu. Makanisa siku hizi yamekuwa viwanda vya kufilisi watu. Nampongeza sana Oscar
 
Mimi Nami Nkanini, ninakazia mada, hawa ni matapeli wakubwa, wezi na mashetani, wewe endelea na umasikini wakati tapeli mwamposa anajengea familia yake majumba na mahoteli, tapeli bushiri kawaibia wajinga pale SA, kuwa najisi vitoto vidogo pale na Kawa fugitive, kama yupo clean why kaikimbia SA kwa kuruka ukuta?,tapeli mwingine bado raia wake wanasubiria safari ya kwenda ughaibuni!!!
Kwani wewe unalingana na shehe mkuu kifedha?
 
Dogo kunywa K-Vant uamke....ni kweli kabisa Wachungaji ni MATAPELI, kwani ulikuwa hujuwi?
 
Komenti nyingi zimeniwakilisha ASANTENI ongezen sauti
 
Mawazo Yako yanafanana na ya yuda iskarioti ,alipoona mwanamke kahaba ametoa sadaka ya mafuta safi ya Nido ,akaingiwa na roho ya kishetani kuhisi kwamba itakuwa hasara yesu akiyatumia ,hivyo akashauri wayauze na pesa wakaigawe kwa maskini ,sikiliza majibu ya yesu kwa yuda! Kwa hiyo hujazuiwa kwenda kuwatembelea maskini na kutoa kwa ajili Yao ! Hiyo haiingiliani na sadaka ya kanisani acha umbumbumbu!
kwa sababu ni biashara inayowapa ukwasi wa kutupwa, mimi ni nani niweze kukushinda ushawishi?
Wewe endeleza hiyo biashara ni halali, maana hata serikali inairuhusu.
 
Huyu ni Oscar Oscar wa wasafi media! Akishakaa kwenye mic za WCB! Anaona anaweza kukanyaga kitu chochote! Maandiko yanasema ONDOA kwanza boriti kwenye jicho lako, ndipo utazame boriti kwenye jicho la mwenzako, Osca analalamika kwamba sadaka zimekuwa sehemu ya utapeli makanisani, kama ni hivyo kwanini yeye asianzishe kanisa la kwake la kusali Bure?

Nchi hii tumepewa uhuru wa kuabudu chochote kikubwa usivunje sheria. Wanaotoa sadaka hawajawahi kulalamika popote kwamba wanaibiwa, wewe Osca unaeshinda Kidimbwi na kwenye makampuni ya kubeti Kuna mtu amewahi kukulaumu?

Kwa Nini unasema wachungaji, kwanini unawaunganisha wote? Kwa Nini hukutaja mapadre na makanisa unayosali wewe kwani Huko hamtoi? Kama unaushahidi juu ya madai Yako wataje na uende mahakamani kuthibitisha. Kuliko kuongea kama sukununu!

Unaona kama unashangiliwa ambacho hujui ni kwamba wanaokushangilia nao Wana dini zao na misikiti Yao na wanaabudu miungu Yao! Unaona kama unaongea pointi, lakini ndani yake unawadhalilisha wachungaji hata waliokulea wewe kiimani

Usitumie mic za WCB kukashifu aina ya ibada za watu! Nyinyi mnafanya festival kiingilio ni Bure? Mnachezesha betting Bure? Na ni halali? Endelea kuchambua soka ambalo ndio ibada Yako na Huko pia unatoa viingilio vikubwa na haulalamiki !

Wewe ni kipofu huwezi kuwafundisha watumishi wa mungu Cha kufanya tafadhali ! Huna uwezo wa kuomba hata dakika Tano ! Huna uwezo wa kuhudhuria kwenye ibada mwaka mzima mfululizo ! Na ukifa jeneza lako litapelekwa kanisani, haohao unaowaoita Leo matapeli watasimama kukuzika na kukuombea! NB. Ukirudia nitakutaka uwataje na uje na ushahidi mahakamani
Hao ni matapeli n wapigaji kama kina papa msofe,kama wao wanauwezo huo mbona hutuwaoni hosp wakiponya wagonjwa.
Istoshe hata siku moja huoni wakitoa mapepo watu wenye uwezo
 
Back
Top Bottom