Mwii
Sauti nzur! Bila shaka upo faragha na shababi flan ivi.Mwii
Namuombea Baraka na Neema za Mungu zikatawale ndimi na maneno ya kinywa chake, yanayo badilika badlika na kuamsha chuki na hasira miongoni mwa jamii badala ya amani na furaha.Huyu ni osca osca wa wasafi media ! Akishakaa kwenye mic za wcb! Anaona anaweza kukanyaga kitu chochote ! Maandiko yanasema ONDOA kwanza boriti kwenye jicho lako ,ndipo utazame boriti kwenye jicho la mwenzako ,osca analalamika kwamba sadaka zimekuwa sehemu ya utapeli makanisani ,kama ni hivyo kwanini yeye asianzishe kanisa la kwake la kusali Bure? Nchi hii tumepewa uhuru wa kuabudu chochote kikubwa usivunje sheria .wanaotoa sadaka hawajawahi kulalamika popote kwamba wanaibiwa ,wewe osca unaeshinda kidimbwi na kwenye makampuni ya kubeti Kuna mtu amewahi kukulaumu? Kwa Nini unasema wachungaji ,kwanini unawaunganisha wote? Kwa Nini hukutaja mapadre na makanisa unayosali wewe kwani Huko hamtoi? Kama unaushahidi juu ya madai Yako wataje na uende mahakamani kuthibitisha ,.kuliko kuongea kama sukununu ! Unaona kama unashangiliwa ambacho hujui ni kwamba wanaokushangilia nao Wana dini zao na misikiti Yao na wanaabudu miungu Yao ! Unaona kama unaongea pointi ,lakini ndani yake unawadhalilisha wachungaji hata waliokulea wewe kiimani ,usitumie mic za wcb kukashifu aina ya ibada za watu! Nyinyi mnafanya festival kiingilio ni Bure? Mnachezesha betting Bure? Na ni halali? Endelea kuchambua soka ambalo ndio ibada Yako na Huko pia unatoa viingilio vikubwa na haulalamiki ! Wewe ni kipofu huwezi kuwafundisha watumishi wa mungu Cha kufanya tafadhali ! Huna uwezo wa kuomba hata dakika Tano ! Huna uwezo wa kuhudhuria kwenye ibada mwaka mzima mfululizo ! Na ukifa jeneza lako litapelekwa kanisani ,haohao unaowaoita Leo matapeli watasimama kukuzika na kukuombea ! Nb. Ukirudia nitakutaka uwataje na uje na ushahidi mahakamani
Unamtamanije mkuu?Kwanza huyo Oscar na mtamanigi sana nasubiri ajichanganye tu anatuharibia vijana kwa matusi ya reja reja kwa kujifanya kuchekesha bado anaingia mpaka kwa watumishi ..... Time will tell just wait [emoji113]️
Ibada biashara, kwenye tv, social media kujitangaza, Hamna huruma kuwaibia watu masikini na kujenga mahekaru mgari ya gharama na mahoteli, na kujisifia jinsi mlivyobalikiwa , mbona waumini wenu hawabarikiwi nchi inazidi kuwa masikini
Sitaki kuingilia uhuru wa kuabudu lakini huwa najiuliza Kwanini hao wenye makanisa ni mabillionare ila waumini ni masikini wa kutupwa? Utajiri wanaupata wapi? Mimi nadhani jambo hili lijadiliwe kwa staha na kwa kina. Imefikia hatua baadhi ya watu wanaogopa kwenda makanisani weekend kwasababu ya matoleo mengi . Je kuna biashara makanisani?na kama ni ndiyo, hili ndiyo kusudio la dini?
Sitaki kuingilia uhuru wa kuabudu lakini huwa najiuliza Kwanini hao wenye makanisa ni mabillionare ila waumini ni masikini wa kutupwa? Utajiri wanaupata wapi? Mimi nadhani jambo hili lijadiliwe kwa staha na kwa kina. Imefikia hatua baadhi ya watu wanaogopa kwenda makanisani weekend kwasababu ya matoleo mengi . Je kuna biashara makanisani?na kama ni ndiyo, hili ndiyo kusudio la dini?
Mimi Nami Nkanini, ninakazia mada, hawa ni matapeli wakubwa, wezi na mashetani, wewe endelea na umasikini wakati tapeli mwamposa anajengea familia yake majumba na mahoteli, tapeli bushiri kawaibia wajinga pale SA, kuwa najisi vitoto vidogo pale na Kawa fugitive, kama yupo clean why kaikimbia SA kwa kuruka ukuta?,tapeli mwingine bado raia wake wanasubiria safari ya kwenda ughaibuni!!!
Mkuu usiogope kujadili ukweli, hawa jamaa ni wezi, rapist, lazima waambie hivyo na wajinga kama mtoa mada naye aambiwe kuwa ni mpumbavu
Mi mwenyewe mkristo ila kuna makanisa ni matapeli
Mi nikiwa na shida naombewa,mchungaji Akitaka gari tumchangie,kwa nini asiombe!?Waumini wa mwamposa msiguswe kidogo
Wachungaji ni matapeli na mapungaHuyu ni osca osca wa wasafi media ! Akishakaa kwenye mic za wcb! Anaona anaweza kukanyaga kitu chochote ! Maandiko yanasema ONDOA kwanza boriti kwenye jicho lako ,ndipo utazame boriti kwenye jicho la mwenzako ,osca analalamika kwamba sadaka zimekuwa sehemu ya utapeli makanisani ,kama ni hivyo kwanini yeye asianzishe kanisa la kwake la kusali Bure? Nchi hii tumepewa uhuru wa kuabudu chochote kikubwa usivunje sheria .wanaotoa sadaka hawajawahi kulalamika popote kwamba wanaibiwa ,wewe osca unaeshinda kidimbwi na kwenye makampuni ya kubeti Kuna mtu amewahi kukulaumu? Kwa Nini unasema wachungaji ,kwanini unawaunganisha wote? Kwa Nini hukutaja mapadre na makanisa unayosali wewe kwani Huko hamtoi? Kama unaushahidi juu ya madai Yako wataje na uende mahakamani kuthibitisha ,.kuliko kuongea kama sukununu ! Unaona kama unashangiliwa ambacho hujui ni kwamba wanaokushangilia nao Wana dini zao na misikiti Yao na wanaabudu miungu Yao ! Unaona kama unaongea pointi ,lakini ndani yake unawadhalilisha wachungaji hata waliokulea wewe kiimani ,usitumie mic za wcb kukashifu aina ya ibada za watu! Nyinyi mnafanya festival kiingilio ni Bure? Mnachezesha betting Bure? Na ni halali? Endelea kuchambua soka ambalo ndio ibada Yako na Huko pia unatoa viingilio vikubwa na haulalamiki ! Wewe ni kipofu huwezi kuwafundisha watumishi wa mungu Cha kufanya tafadhali ! Huna uwezo wa kuomba hata dakika Tano ! Huna uwezo wa kuhudhuria kwenye ibada mwaka mzima mfululizo ! Na ukifa jeneza lako litapelekwa kanisani ,haohao unaowaoita Leo matapeli watasimama kukuzika na kukuombea ! Nb. Ukirudia nitakutaka uwataje na uje na ushahidi mahakamani
Ni kweli sio wote.Sio wote,pia sadaka ni hiyari si shuruti.