Upuuzi tu toka kwa mpuuzi OscarJe kama mdau wa soka unakubaliana na suala hili kuwa usajili wa Simba unalengo la kumaliza tatizo la Ajira Kwa watanzania ????
Na sio kutetea Mataji ?????View attachment 3036548
Kuna kitu nimeandika halafu nimefuta. Ila baadaye sana Simba watakuja kustuka wakiwa wamechelewa sana. Kuna kitu hakipo sawa kwa MOJe kama mdau wa soka unakubaliana na suala hili kuwa usajili wa Simba unalengo la kumaliza tatizo la Ajira Kwa watanzania ????
Na sio kutetea Mataji ?????View attachment 3036548
TuheshimianeJe kama mdau wa soka unakubaliana na suala hili kuwa usajili wa Simba unalengo la kumaliza tatizo la Ajira Kwa watanzania ????
Na sio kutetea Mataji ?????View attachment 3036548
Mimi nimeanza kusokota rasta nikale shavu ukoloni.Duuuuh...basi tuchangamkie fulsaa[emoji23]