Hapana mkuu...Hilo ni unprofessionalKwa nini wasiupe jina la mwiko nyuma, hata nembo ya klabu inathibitisha mwiko nyuma.
Hilo wazo la 5_1 litamfanya mfadhili wa Uto anaonekana kama baba anayefadhili wamama wajawazito.
Deal done [emoji23][emoji23][emoji23]
GSM anafadhili wajawazito wenye kuwaza kama uwazavyo wewe π
Angalia comments zao, utajua wanahusikaje.
Unapenda sana mambo ya nyuma, jitafakariKwa nini wasiupe jina la mwiko nyuma, hata nembo ya klabu inathibitisha mwiko nyuma.
Hilo wazo la 5_1 litamfanya mfadhili wa Uto anaonekana kama baba anayefadhili wamama wajawazito.
Deal done [emoji23][emoji23][emoji23]
Daima mbele mwiko nyuma ndio wanaopaswa kufanya hivyo, Waambie wajitafakari.Unapenda sana mambo ya nyuma, jitafakari
Hakika aliyewaita utopolo alitafakari mbali sanaMtangazaji maarufu wa kituo kikubwa kimoja hapa town wasafi ..... Oscar Oscar amependekeza uwanja mpya utakaojengwa na wananchi uitwe 5_1 Stadium
Mnasemaje kuhusu suala hili la kizalendo ...ndugu watanzania??View attachment 2901471
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
GSM ni boss asiye na mambo mengiGSM anafadhili wajawazito wenye kuwaza kama uwazavyo wewe [emoji23]
Hapa tunazungumzia jina la uwanjaAngalia comments zao, utajua wanahusikaje.
Vip unalionaje hili jinaHakika aliyewaita utopolo alitafakari mbali sana
Mazwazwa mmependekeza jina ila hamna hela ya kujenga, mwenye pesa yake inamjumlisha katika hilo kundi la mazwazwa ππ