Oscar Oscar Yanga wanajisevia nini vyumbani? Sababu hakuna Camera Uwanjani.

Mbona mapovu.Katupa jiwe gizani "mateja" yanakurupuka.Bila hizo kweli mngekuwa nafasi ya 7.
 
Watanzania hata vitendawili na methali kuelewa ni shida.
Ndio maana masoud kipanya mtakuja kumzoea na vikatuni vyake.
 
Kwa mwanasheria wenu alivyo kilaza kweli linaweza kwenda mahakamani ila ataenda kutia aibu mahakamani maana kujisevia siyo tusi wala kashfa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…