Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Wampeleke mahakamani kwa kosa lipi? Kujisevia ni nini? We umeelewa nini?Hiyo ni serious allegations labda anao ushahidi ila kama Hana basi Yanga wampeleke mahakamani
YES YANGA WAKAMTAKE AELEZEE MAHAKAMANI HILI SUALA.Hiyo ni serious allegations labda anao ushahidi ila kama Hana basi Yanga wampeleke mahakamani
Si anamanisha kujisevia sindano za kuongeza nguvu na ameweka pale sindano.Wampeleke mahakamani kwa kosa lipi? Kujisevia ni nini? We umeelewa nini?
Siyo KMC?Tunasubiri mechi yao na azam kulee chamazi kwenye camera
Hapana mechi yao iliyopita yanga ndio alikuwa nyumbani, ilichezwa chamazi kabla yanga hajahamia kmc, kwahiyo mechi yao inayofuata azam ndio atakuwa nyumbaniSiyo KMC?
Kwa yule wakili wetu kilaza atamshinda mchana kweupe refer to our former player Bernard MorrisonYES YANGA WAKAMTAKE AELEZEE MAHAKAMANI HILI SUALA.
YANGA NI LIDUDE LIKUBWA SANA.Kwa yule wakili wetu kilaza atamshinda mchana kweupe refer to our former player Bernard Morrison
LIDUDE LIKUBWA LILILOMSHINDA YUSUPH KAGOMA AKATIMKIA SIMBA.YANGA NI LIDUDE LIKUBWA SANA.
Mbele kaweka kipicha cha sindanoWampeleke mahakamani kwa kosa lipi? Kujisevia ni nini? We umeelewa nini?
Wataangukia pua tena, Kujisevia ni nini?Hiyo ni serious allegations labda anao ushahidi ila kama Hana basi Yanga wampeleke mahakamani
Utopolo Wana mahangaiko Sana. Usajili kwa VURUGU lakini kwenye hawawaamini wachezaji wao . Wanaanza kujidunga,kuhangaika kupanga matokeo yaani VURUGU VURUGU tuMbele kaweka kipicha cha sindano