JUA ni Kali Sana
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 1,202
- 1,543
Wanajisevia midawa ya kuongeza nguvu wachezaji ndo anachomaanisha huyo mtangazaji wa wachafu mediaWataangukia pua tena, Kujisevia ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajisevia midawa ya kuongeza nguvu wachezaji ndo anachomaanisha huyo mtangazaji wa wachafu mediaWataangukia pua tena, Kujisevia ni nini?
Kabisa aache kuchafua taasisi za watuYES YANGA WAKAMTAKE AELEZEE MAHAKAMANI HILI SUALA.
Umejuaje?Wanajisevia midawa ya kuongeza nguvu wachezaji ndo anachomaanisha huyo mtangazaji wa wachafu media
Mahakamani atasema wanajisevia wali maharage.Wanajisevia midawa ya kuongeza nguvu wachezaji ndo anachomaanisha huyo mtangazaji wa wachafu media
Yaani watu wanakesha wiki nzima wanasherehekea harusi halafu wnajikusanyia tu pwenti. Hizi dharau hizi. Halafu kutuhadaa zaidi bwana harusi anacheza dakika 90 hahahahIle mechi ya Jana dhidi ya singida imeibua mambo mengi nafikir viongozi wamejifunza kitu
Haha ha aisee watu mna maneno!!Yaani watu wanakesha wiki nzima wanasherehekea harusi halafu wnajikusanyia tu pwenti. Hizi dharau hizi. Halafu kutuhadaa zaidi bwana harusi anacheza dakika 90 hahahah
Yanga walikuwa ni wenyeji wa ile mechi. Kwahiyo, mechi inayofuata Azam ni wenyeji na itapigwa Chamazi. Kipigo kipo palepale.Hapana mechi yao iliyopita yanga ndio alikuwa nyumbani, ilichezwa chamazi kabla yanga hajahamia kmc, kwahiyo mechi yao inayofuata azam ndio atakuwa nyumbani