warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
jamaa anapenda kujiproud af ngeli yenyewe ya form 2
Form two mbona ana nafuu mkuu, darasa la pili yaan jamaa ni mburula hatarii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa anapenda kujiproud af ngeli yenyewe ya form 2
Hahahaha alikua anachenga kujibu maswalii ya sam misago,na likofia na miwani yake sijui aliemwambia avae hivyo nani?
Hua mnasema Heaven on desert ana sura ngumu hua mnataniaa aisee kitu ostadh Juma anatishaaa kama monster mbavuuu sanaa
Aiseee hili jukwaa lina watu wana kashifa sijapata kuona daaa
Bosi wa mtanashati Entertainment yuko ndani ya FNL
Anasema kosa la PNC lilikuwa ni kuondoka kwenye record label bila ruhusa na kwenda kutangaza kwenye vyombo vya habari
*Anasema yeye hajampiga picha akiwa anamuomba msamaha. ila kulikuwa na rafiki pengine hao ndo walimpiga picha
*Anasema siyo yeye aliyeweka picha ya PNC mtandaoni inawezekana kuna mtu ali-hack account yake ya Facebook na kuweka zile picha
*Ostaz anasema ameshamsamehe PNC na tiyari wako studio wanaandaa wimbo pia anasema PNC ni msanii anayempenda sana kuliko hata Diamond na kuna wakati alikuwa anajisikia vibaya kusikia Diamond anasifiwa alitamani sana adifiwe PNC