Ostaz Juma Namusoma ndani Fridaay Night Live

Hahahaha alikua anachenga kujibu maswalii ya sam misago,na likofia na miwani yake sijui aliemwambia avae hivyo nani?
Hua mnasema Heaven on desert ana sura ngumu hua mnataniaa aisee kitu ostadh Juma anatishaaa kama monster mbavuuu sanaa

Mnataka na yy awe mzuri kama chie kiumbe nini?


Sent from my iPhone
 
Aiseee hili jukwaa lina watu wana kashifa sijapata kuona daaa
 

FYATU uje utembelee na thread hii ili kujiridhisha kua kilichotokea hakikua sahihi, maana naona huku hata mhusika anakikataa kwa kunadai kuwa hakukifanya yeye (kuweka picha).
Nadhani labda utaridhika kua lile si jambo jema kokote.
PAMOJA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…