Ostaz Juma: Wasanii na Watangazaji wa Redio Njaa sana, Mtakufa

naona kapata umaarufu. hata tuliokuwa hatumjui tumemjua sasa!!
hii ndio bongo bwana kila kitu ni FURSA
 
Huyo kwenye picha ni B12?au
Hyhh
 

Ana nini au ye ni nani mpaka watu wa hack acc yake. Mxiuuuu embu atutolee pumba zake
 
Tanzania hii mwanao akisema anataka kuwa msanii lazima udate....mana wanadhalilika na kujidhalilisha sana
 
Tanzania hii mwanao akisema anataka kuwa msanii lazima udate....mana wanadhalilika na kujidhalilisha sana

inategemea sana sister...! msanii mwenye elimu hawezi nyanyaswa!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…