Otango Osale ni nani huyu mtu?

Kubababake This Is Tanzania
 
This is beautiful walahi
 
Nilifika pale mapango ya amboni makazi ya osale otango.nilichojifunza pale ni kuwa wakazi wa eneo husika walitoa Siri .iliyopelekea osale kuuawa .
 
Aliwahenyesha Sana askari WA kikoloni kwa matukio ya uhalifu
 

Eneo hili ndipo walipokuwa wakijifisha pale mapango ya Amboni


Hapa ni sehemu ambayo ndio njia waliyokuwa wakipitia huyu Otango na Hamis na kutokea Mombasa. Siku hizi sehemu hii imeziba na ni hatari.
 
john tongo, OSALE OTANGO alikuwa mpigania uhuru (freedom fighter) kutoka mkoani Tanga kwenye miaka ya 1950. Baadaye alihama kutoka maeneo ya LUSHOTO akahamia Amboni TANGA na kwenye yale mapango ndipo walipokuwa wanajificha. ENDELEA KUTAFITI MKUU.
Arushaone,
Osale Otango hakuwa mpigania uhuru.

Unaweza kumwita kitu chochote lakini hakuwahi hata siku moja kuwa mpigania uhuru wa Tanganyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…