Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Kubababake This Is TanzaniaWalikuwa wawili Osale Otango na Paul, waliwasumbua sana Wazungu, kwa mfano; walikua na uwezo wa kuwaambia kabisa Wazungu kuwa watakula nao chakula cha mchana, na hivyo wazungu huweka mitego yote ili wawakamate lakini at the agreed time jamaa wanafika wanakula na kufanya wanavyotaka bila ufahamu wa Wazungu. Wakishaondoka tu Ndio jamaa wanastuka