Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,168
- 1,549
Ana msimamo mkali, anafanana naoHuyo siyo jihadist kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana msimamo mkali, anafanana naoHuyo siyo jihadist kweli.
Nzuri sana!Salama kabisa, habari za siku Relief Mirzska
Nguvu ya taasisi bila mtu makini na jasiri hakuna kitu. Taasisi inaweza kuwa imara, ilipata mtu legelege (...)Usiamini Sana ktk nguvu ya mtu. Nguvu ya taasisi ndiyo habari ya mjini
Sherehe kwetu sote hiyo🙏Nzuri sana!
Leo huku ni sherehe alhamdulillah.
Atahifadhiwa pale kigamboni, au?Kwa misimamo yake ninavyomjua huyu asipokuwa makini !!!!!!
Naomba niishie hapo.
Hakika mkuu.Sherehe kwetu sote hiyo🙏
We baba wewe!!!Congratulations to him. Is he also a pain in the CCM's ass?
Kwahiyo wewe unaogopa ghorofa refu?Hapa kazi tu watu wanaojiamini ndio anaowahitaji Mheshimiwa Magufuli ,hapa tayari yanayofurahisha yanazidi kushika kasi.
Ila cheo alichonacho hakina mashiko si ajabu mkamuona anatembea na mikasi ,CCM bana ! Nina wasiwasi ukoo wa Mwinyi unataka kuwa na ufalme pale Zanzibar,yaani hati miliki ya zanzibar hawa jamaa wanatuacha sasa, wanasema furaha yao watajenga jumba moja refu kuliko lile la uarabuni watakuwa wanatuona huku Tanganyika.
Bye bye Tanganyika ,fanyeni muwarudishe mashee ili haki itendeke,Sheni ametuletea mashee wakati awatuhusu, Magu mrudishie Sheni mashee wake. Saa mbaya tukae chonjo tujenge Tanganyika yetu na Magufuli wetu.
We don't care.
Right now here in Zanzibar we want to be together, work together sote. CCM na Opposition, tumechoka fitna zenu na sasa we are working super hard in making sure that we all work toward the same goal and that is developing these beautiful Islands.
A lot of credits to Mheshimiwa rais Mwinyi and Mheshimiwa Magufuli as well for showing that they want to see Zanzibar develop. This paragraph wengi hamtoielewa.
Vizuri tu .kuuHivi unawaelewa CCM?
Kuna mchezo umechezwa kama move ya chess ya ku sacrifice quueen. Wenyewe wanasema kila likuapukalo basi ujuwe lina kheri nawe! And this is the highlight of the game.
1. Ili Magu kuongeza muda beyond 2 terms atahitaji 3/4 ya kura za wabunge wa Zanzibar
2. Wabunge wa Zanzibar watawekwa kikao na SMZ wataambiwa mpeni lakini atupe kitu in return.
3. Magu ataambiwa atapata kura lakini aipe Zanzibar madaraka kamili. Na yeye watamuachia na Tanganyika yake aongoze anavotaka. Atapata nguvu ya kusema uamuzi wa kuigawa Tanganyika na Zanzibar umepata support ya CCM.
4. Kwa hesabu za Magu atasema Fcuk ZNZ. Atachukuwa Tanganyika yake.
That's the game being played
Hairuhusu kiti moto hadharani lakini mafichoniDah Kule Unguja hamtapata Mwamba Kama Maalimu Jamaa alikua Mwamba kweli kweli sio mchezo...Ila nae alikosea alitakiwa azae sana hasa kidume kije kubeba maono yake angeoa wake 4 dini yetu inaruhusu.
Vizuri tu .kuu
Yawezekana alishamharibia...Ataharibu uchi gani?
Mumeo ana shughuli nzito ya kukurudiHuyu hafai ataharibu nchi
Akileta ujinga atafukuzwa tenaHuyu jamaa anafa sn maana mpk alifukuzwa kazi kwa kutetea maslahi ya Zanzibar siyo akina Mbawala njaa tupu
Kuna kiapo atakula kesho alafu huyu si akitumikia unasheria? Mbona hamuoji alijitenga lini na taaluma yake akaamia kwenye siasa?Yes Good keep it efforts on removing "Mashekh Wa Uamsho" from Jail otherwise , ur Act coalition will be nothing .
Wangoni majina yao yanajulikana tu.Nimecheka sana mkuu, Mbawala [emoji28][emoji28]
Karibu tenaAsante mkuu