Othman Masoud Othman Sharif ateuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

01 Marcha 2021​

Jussa azima uzushi juu ya vita ya umakamo ACT, asema Othman Masoud ndiyo chaguo sahihi

Source: The Bridge Tal
 
01 March 2021

WANAHOJIWA NA BBC, UBORA NA MADHAIFU YA MRITHI WA MAALIM SEIF OTHMAN MASOUD ZANZIBAR ACT WAZALENDO




Wasifu wa Mh. Othman Masoud Othman Sharif, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar

  • Mwanafunzi bora Chuo Kikuu ktk mwaka wa darasa lake UDSM
  • Ajiunga kazi Wizara ya katiba
  • Kwenda Uingereza na Italy kwa mafunzo zaidi
  • Mbobezi wa taaluma ya sheria LLB (UDSM) LLM (London) LLM (University of Turin Italy)
  • Member : Network of African Constitutional Lawyers for 1 year and 9 months https://ancl-radc.org.za/user/2206
  • Katibu Mkuu wizara
  • Mkurugezi wa Mashtaka - DPP Office, Zanzibar
  • Mwanasheria Mkuu wa Serikali - AG Zanzibar
  • Kutimuliwa toka serikalini wakati wa serikali ya Dr. Ali Mohamed Shein
  • ACT-Wazalendo chama kikuu cha upinzani Zanzibar chapendekeza jina lake kwa Mh. Rais Hussein Ali Hassan Mwinyi ili ateuliwe kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar
  • Ateuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais (mteule) Zanzibar ktk serikali ya Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi. Sasa mara baada ya kuapisha kesho tarehe 2 March 2021 atakuwa mshauri mkuu wa Rais wa SMZ ili Rais atimize majukumu yake kama yalivyo matumaini ya waZanzibari na WaTanzania wengi wanaotaka mfumo bora wa maridhiano kuwa msingi mkubwa ktk uongozi na utawala.
Prominent past members of the African Network of Constitutional lawyers https://ancl-radc.org.za/user/2136 Member for 1 year 9 months John Palamagamba Kabudi
About:
Dr Juris, LLM, LLB
 
MWANAUKOMEE
AISEE ZITTO KONYOO UNAJUA KUCHAGUA KAKAAA DAH
JAMAA ALIPELEKESHA BUNGE KAMA YUKO MWENYEWE ENZI ZA KTB MPYA
 
Things change mkuu.

Take it from me
 
Mtu ambaye hana coercive powers mnashangilia nini? Kwa siasa za kishenzi, kishetani za Afrika, hakuna la kushangilia maana hatafanya lolote hata kama ana mawazo mazuri kiasi gani.
 
Katika simulation ya Mapinduzi Zanzibar kulikuwa na Waziri mmoja akiitwa Othman Sharriff, je, ndiye huyu, I mean ni wa uzao huu? Kama ni hivyo basi Zanzibar I ekwisha, kwa vile vyeovyote wanachukya uzao wa waaasisi wa ASP walioigomboa Zanzibar utumwani. Is thi so?
 
Bora afukuzjwe kwa kutetea haki kuliko kuwa mpumbavu wa kushangilia upumbavu
Ashangilie au asishangilie haitusaidii wala kukusaidia, ni faida na hasara ya familia yake, haya mengine ni mbwembwe tu. Hata marehemu Maalim alishalitambua hilo.
 
Hawa waliopiga kura NDIO huko mbeleni tutawafungulia kesi ya uhujumu uchumi. Waliisaliti Zanzibar na watu wake kwa kutetea kitu kisicho na manufaa na visiwa vyetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…