Othman Masoud: Tumeambiwa Bunge la Katiba linarejea septemba mwaka huu, Zanzibar yenye mamlaka kamili yanukia

Othman Masoud: Tumeambiwa Bunge la Katiba linarejea septemba mwaka huu, Zanzibar yenye mamlaka kamili yanukia

Last. Jagina umeongea mengi lkn kwa ufupi. Unaakili sana sana, na unaijua historia. Sasa hawa Wapemba walioko bara kama zitaundwa Serikali Tatu itabidi warudi kwenye Serikali za Mitaa kupata utambulisho wa ugeni, Pili masuala ya Muungano yatatakiwa kubaki na Jeshi, Intelligence, Foreign Affairs tu. Lkn masuala yooooote yanayohusu mipango ya Kiuchumi kila mmoja kivyake..... yako mengi lkn hii algebra itamhitaji sasa VP Act Zanzibar na Team ya Kabudi na warioba wakae tena ku draft mtazamo mpya wa Muungano bila kuuvunja ....
Wapemba hawako Tanganyika tu , wamejaa Kenya au hujui? Msumbiji kule Mji wa Pemba wamejaa, wamejaa pia Oman,Dubai, London, Canada, wewe huna haja ya kuwarudisha , watajirudisha wenyewe makwao , huku hawajaua mtu , walikimbia mateso ya askari wenu na vibaraka vyenu wakaingia huko chakani
 
AMKENI MLIO LALA USINGIZI WA PONO.

Kabari iliopigwa Zanzibar si ndogo, nzito mikono mitatu
yenye nguvu imeielemea nchi yetu.

Tulikwsha tambuwa kwam-
ba Nyerere pamoja na nchi
za Ulaya kwa kushirikiana na Marekani na Kanisa na-
mna walivyo jenga ushiriki-
ano wa pamoja na kutenge-
neza mipango ya kuidhibiti
Zanzibar. Haya yamefanyika
chini ya khofu za kila mmoja wao kuiogopa Zanzibar.

Nyerere aliona Zanzibar ingalimpa taabu sana siku
za usoni kwa ukaribu wake
na Tanganyika kwa hivyo ni
Lazima aidhibiti.

Ulimwengu wa nchi za Magharibi wao walichelea
Ukoministi kusambaa Barani Afrika kutokea Zanzibar na ingeliweza kuharibu maslahi yao na Zanzibar ingalikuwa CUba
ya Afrika kwa hivyo lazima
waidhibiti.

Kanisa nalo lilihofia kwamba Uislamu utazudi
kusambaa hasa Afrika ya
Mashariki kutokea Zanzibar
kwa hivyo lazima idhibitiwe.

Kwa hivyo wote hao kwa
Pamoja wakatengeneza
Mkakati wa kuidhibiti Zanzibar isifurukute ndio
Wakatengeneza dubwana
hili lililo pewa jina la "MUUNGANO" na kwa mashirikiano yao wote watatu wakajiridhisha kwamba ukiwepo Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar hofu zao wote watatu zitaondoka maana watafa-. nya kazi kwa mashirikiano
ili waweze kuidhibiti Zanzibar.

Na ndio hata ule mkutano
Wa Berlin walipogawana
Bara la Afrika moja katika
kanuni za kikao hicho ni
ile Ibara ya V ya makubaliano yao inayoagiza kuwa :

"Dola zote za kikoloni zito-
we hifadhi maalumu kwa
Makanisa ya Kikristo".

Na Waingereza nao wana-
sema : Haitokuwa kua kwa
maslahi ya Uingereza iwapo
Waislamu watapata wafuasi wengi.

Kisha watu wa Ulaya wana-
sema :Waarabu wameleta
vitu viwili vibaya Afrika. Uislamu na Utumwa.

Na Nyerere akasema:
Zanzibar ikiwachiwa kuwa
huru itakuwa ni mlango wa
kuingiza Ubeberu wa kiarabu na Kiislamu.

Na usemi huo huo ndio alioutumia Lukuvi kanisani
na kuwaambia "Mnataka kuwaachia Wazanzibari wajitawale?. Maneno hayo ndio funga kazi ya kwamba
Hata siku moja ismu ya
Mzanzibari asipewe nafasi
ya kutawala. Hizi kelele zote hivi sasa zinazopigwa
na Maaskofu na Mapadri na
Wanasiasa wa kikristo dhidi ya Rais Samia msingi wake
Ni huu nilioueleza ndani ya
Makala hii fupi. Bado mtaona mengi yakiibuliwa kila siku ya Mungu. Wao ugomvi wao Mzanzibari asitawale ila Rehma na uwezo wake Mwenyezi Mungu ndio uliopita mbele ya macho yao na nyoyoni
mwao kwamba Mzanzibar ametawala tena mwanamke. Ndio yanayo wakereketa ndani ya nyoyo zao. KAZI YA MUNGU.
Ubwabwaje kwa sababu mnawaibia Tanganyika chapchap na kuijenga Zanzibar haraka haraka halafu mnavunja Muungano na hilo lazima atimize Dada yenu ambae ni Zambarau mwenzenu.
Je mkijaribu kuvunja Muungano hata Dada yenu akashindwa?
 
View attachment 2703331
Mhe. Othman Masoud ameyasema hayo wakati akihutubia mamia ya wakazi wa Chakwani leo 30.07.2023.

Ametumia mkutano huo kuwaeleza wananchi hao ubaya wa Katiba pendekezwa almaarufu katiba ya Sitta na Chenge. Amesema wazanzibar waende wakadai Zanzibar yenye mamlaka kamili. Atayekaye waangusha watamuuliza 'wewe mwenzetu mbegu ya Kongo au ya Burundi?'

My take: Wazanzibar wanajipanga kudai nchi yao sisi tunalumbana kuhusu bandari za Tanganyika, tunaingia bunge la katiba bila msimamo wa pamoja.

Twendeni tukadai Tanganyika yenye mamlaka kamili.
Mchawi wa Tanganyika na Zanzibar huru ni CCM.
FB_IMG_1591342478234.jpg
JamiiForums-368864546.jpg
FB_IMG_1572697051230.jpg
 
View attachment 2703331
Mhe. Othman Masoud ameyasema hayo wakati akihutubia mamia ya wakazi wa Chakwani leo 30.07.2023.

Ametumia mkutano huo kuwaeleza wananchi hao ubaya wa Katiba pendekezwa almaarufu katiba ya Sitta na Chenge. Amesema wazanzibar waende wakadai Zanzibar yenye mamlaka kamili. Atayekaye waangusha watamuuliza 'wewe mwenzetu mbegu ya Kongo au ya Burundi?'

My take: Wazanzibar wanajipanga kudai nchi yao sisi tunalumbana kuhusu bandari za Tanganyika, tunaingia bunge la katiba bila msimamo wa pamoja.

Twendeni tukadai Tanganyika yenye mamlaka kamili.
Ije haraka Zanzibar iwe huru, kuwe na Serikali ya Tanganyika na ya Muungano
 
View attachment 2703331
Mhe. Othman Masoud ameyasema hayo wakati akihutubia mamia ya wakazi wa Chakwani leo 30.07.2023.

Ametumia mkutano huo kuwaeleza wananchi hao ubaya wa Katiba pendekezwa almaarufu katiba ya Sitta na Chenge. Amesema wazanzibar waende wakadai Zanzibar yenye mamlaka kamili. Atayekaye waangusha watamuuliza 'wewe mwenzetu mbegu ya Kongo au ya Burundi?'

My take: Wazanzibar wanajipanga kudai nchi yao sisi tunalumbana kuhusu bandari za Tanganyika, tunaingia bunge la katiba bila msimamo wa pamoja.

Twendeni tukadai Tanganyika yenye mamlaka kamili.
Kuwepo Tanganyika maana yake kuwepo na Serikali tatu !! Je mnakubali ???!
 
View attachment 2703331
Mhe. Othman Masoud ameyasema hayo wakati akihutubia mamia ya wakazi wa Chakwani leo 30.07.2023.

Ametumia mkutano huo kuwaeleza wananchi hao ubaya wa Katiba pendekezwa almaarufu katiba ya Sitta na Chenge. Amesema wazanzibar waende wakadai Zanzibar yenye mamlaka kamili. Atayekaye waangusha watamuuliza 'wewe mwenzetu mbegu ya Kongo au ya Burundi?'

My take: Wazanzibar wanajipanga kudai nchi yao sisi tunalumbana kuhusu bandari za Tanganyika, tunaingia bunge la katiba bila msimamo wa pamoja.

Twendeni tukadai Tanganyika yenye mamlaka kamili.
Sasa sisi wakongo na warundi tuwewakosea nini mpaka tuwe mfano wa rojorojo?
 
View attachment 2703331
Mhe. Othman Masoud ameyasema hayo wakati akihutubia mamia ya wakazi wa Chakwani leo 30.07.2023.

Ametumia mkutano huo kuwaeleza wananchi hao ubaya wa Katiba pendekezwa almaarufu katiba ya Sitta na Chenge. Amesema wazanzibar waende wakadai Zanzibar yenye mamlaka kamili. Atayekaye waangusha watamuuliza 'wewe mwenzetu mbegu ya Kongo au ya Burundi?'

My take: Wazanzibar wanajipanga kudai nchi yao sisi tunalumbana kuhusu bandari za Tanganyika, tunaingia bunge la katiba bila msimamo wa pamoja.

Twendeni tukadai Tanganyika yenye mamlaka kamili.
Ni jambo jema. Wanaturahisishia kazi. Na sisi Tanganyika yenye mamlaka kamili imekaribia.
 
View attachment 2703331
Mhe. Othman Masoud ameyasema hayo wakati akihutubia mamia ya wakazi wa Chakwani leo 30.07.2023.

Ametumia mkutano huo kuwaeleza wananchi hao ubaya wa Katiba pendekezwa almaarufu katiba ya Sitta na Chenge. Amesema wazanzibar waende wakadai Zanzibar yenye mamlaka kamili. Atayekaye waangusha watamuuliza 'wewe mwenzetu mbegu ya Kongo au ya Burundi?'

My take: Wazanzibar wanajipanga kudai nchi yao sisi tunalumbana kuhusu bandari za Tanganyika, tunaingia bunge la katiba bila msimamo wa pamoja.

Twendeni tukadai Tanganyika yenye mamlaka kamili.
Basi kwanza amshauri dada yake aachie asali ya watu huko.
Wote wawili wameshiriki kikamilifu kuandika katiba mpya ya Amani Karume 2010 iliotamka Zanzibar kuwa ni nchi na sio sehemu ya Tanzania kama ilivyokuwa mwanzo.

 
Basi kwanza amshauri dada yake aachie asali ya watu huko.
Wote wawili wameshiriki kikamilifu kuandika katiba mpya ya Amani Karume 2010 iliotamka Zanzibar kuwa ni nchi na sio sehemu ya Tanzania kama ilivyokuwa mwanzo.


Ukiona anaingia mikataba ya kimtego ambayo kuivunja ni lazima tulipe na kuendelea nayo tunalipa ujue yuko tayari kutuachia sasa!
 
View attachment 2703331
Mhe. Othman Masoud ameyasema hayo wakati akihutubia mamia ya wakazi wa Chakwani leo 30.07.2023.

Ametumia mkutano huo kuwaeleza wananchi hao ubaya wa Katiba pendekezwa almaarufu katiba ya Sitta na Chenge. Amesema wazanzibar waende wakadai Zanzibar yenye mamlaka kamili. Atayekaye waangusha watamuuliza 'wewe mwenzetu mbegu ya Kongo au ya Burundi?'

My take: Wazanzibar wanajipanga kudai nchi yao sisi tunalumbana kuhusu bandari za Tanganyika, tunaingia bunge la katiba bila msimamo wa pamoja.

Twendeni tukadai Tanganyika yenye mamlaka kamili.
Ila huyu mzee anashida sana...hivi zitto anajiskiaje kwa huyu mzee wake kituko
 
Ila huyu mzee anashida sana...hivi zitto anajiskiaje kwa huyu mzee wake kituko
Wazanzibar walienda kumpigia magoti awe mrithi wa Maalim Seif, sasa kati ya waliomfuta na yeye nani ana shida?
 
Zanzibar yenye mamlaka kamili msahau, haitatokea... Zanzibar itabakia kuwa sehemu ya Muungano siku zote.
 
Zanzibar yenye mamlaka kamili msahau, haitatokea... Zanzibar itabakia kuwa sehemu ya Muungano siku zote.
Usibishane na wakati, muungano umeshafika ukikongoni. Kinachoendelea sasa ni kung'oa mbao ili muda ukifika tugawane kwa usawa
 
Back
Top Bottom