chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 13,277
- 40,924
Samia will never be a friend of Kenyanataka aanze kushukua media zenu ban ya mwaka hivi kwa KNT na NMG!
CC: Tony254
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia will never be a friend of Kenyanataka aanze kushukua media zenu ban ya mwaka hivi kwa KNT na NMG!
CC: Tony254
lazma waadabishwe kwa ku-meddle with other nations' affairs!!Samia will never be a friend of Kenya
Nitafurahi mnolazma waadabishwe kwa ku-meddling with other nations' affairs!!
Tayari ana skendo japo haijawa confirmed hii ya ufisadi wa bilion 96 BoTBashiru pia ni prominent sana kwenye position aliopo
My sentiments exactly!she’s going to be a great example for the next generation of African female presidents
Media yenu isingekuwa kibaraka ingeongelea upotevu wa fedha za KEMSA unaoihusu familia ya Kenyatta! Au ingemtetea Sonko! !Ban kwa vile hawarambi matako ya Wakuu kama ilivyo mazoea apo?
Bro, take a chill pill! The world doesn't revolve around you!!! 😅
Kwa sauti ya Atwoli "sheenzy!!!!!!!!Mkuu, unaipa Media kazi zisizo zake! Kujitetea ni Mahakamani!
Hizo ni pesa kwa Familia ya Magufuli na kizazi chake, wacha wapate fungu lao sababu baba yao kainua mapato ya tra kutoka billion 800 mpaka trillion 1.5 kwa mwezi
Japo hiyo number ipo exaggerated lakini sitaona shida kama wamepata angalau billion 50
Kaokoa ngapi za Barrick, anastahili tena zaidi
Million 500 is chicken feed
Mzee kaacha watoto almost 10
TZ tuna hazina kubwa sana ya viongozi,pale tulipokua wakati wa jakaya tulihitaji mbadala wake mtu kama magufuli na tulimpata,pamoja na mapungufu yake lakini mpokea kijiti wa jk alihitaji zaidi typical ya mtu kama magu,magu alipotuacha na imani na bi mkubwa ataendeleza yale mazuri yote aliotuachia mwamba wetu magufuli na kuongezea hekima zake,100% mama Samia atotuangushaSijawahi kumsikia akibwatuka vya hovyoo, kama sijakosea JK ndiye alimjenga kisiasa, hivyo inawezekana huyo JK akahusika pakubwa nyuma ya pazia, na kwa hali hiyo inawezekana mkaanza safari mpya yenye mafanikio makubwa.
Pia hata waziri mkuu wenu huwa namuona great thinker kiaina, hapo kwa hao wawili wakishirikiana bila kuibua chokochoko za hovyoo wanaweza wakarejesha ule ukuaji wa kiuchumi uliokua kipindi cha JK.
Hivi bado itaitwa serikali ya awamu ya V?TZ tuna hazina kubwa sana ya viongozi,pale tulipokua wakati wa jakaya tulihitaji mbadala wake mtu kama magufuli na tulimpata,pamoja na mapungufu yake lakini mpokea kijiti wa jk alihitaji zaidi typical ya mtu kama magu,magu alipotuacha na imani na bi mkubwa ataendeleza yale mazuri yote aliotuachia mwamba wetu magufuli na kuongezea hekima zake,100% mama Samia atotuangusha
Hivi bado itaitwa serikali ya awamu ya V?
Rais wa Ethiopia sio head of government. Yeye ni kama flower girl tu na hana nguvu yoyote . Rais mtarajiwia Samia atakuwa na nguvu zote za kikatiba.Now tuko kama Ethiopia
Rais ni mwanamke
Na pia ndio mzee aliyebaki wa kushauri ,na akina butiku na yule aliyekuwa Mwenyekiti wa KatibaSijawahi kumsikia akibwatuka vya hovyoo, kama sijakosea JK ndiye alimjenga kisiasa, hivyo inawezekana huyo JK akahusika pakubwa nyuma ya pazia, na kwa hali hiyo inawezekana mkaanza safari mpya yenye mafanikio makubwa.
Pia hata waziri mkuu wenu huwa namuona great thinker kiaina, hapo kwa hao wawili wakishirikiana bila kuibua chokochoko za hovyoo wanaweza wakarejesha ule ukuaji wa kiuchumi uliokua kipindi cha JK.
Mwendo utazidi.. hamna kurud nyuma labda baada ya huyu mama kumalza miaka yake 9 ya utawalaUnaionaje sura hiyo? ushaanza wivu sio? mwendo ndo uleule na ikiwezekana utazidi mwendokasi!
PumbavuKaokoa ngapi za Barrick, anastahili tena zaidi
Million 500 is chicken feed
Mzee kaacha watoto almost 10
wacha tuone....Mwendo utazidi.. hamna kurud nyuma labda baada ya huyu mama kumalza miaka yake 9 ya utawala