Outing kwa wanandoa.

Outing kwa wanandoa.

Unajua hawa iwa hawajui tu pale watu tunabadilishana mawazo wengine hawajui Katerero inapigwaje sasa mnapo kuwa kwenye mazungumzo mnabadilishana maufundi ukifika home lazima F1 uchanganyikiwe na maufundi.
Sasa mkiwa mnadiscuss na kupeana maufundi na kuonyeshana katerero inavyopigwa huwa practical mnafanyaje? maana wote tunajua umuhimu wa practicals katika ufundishaji na ujifunzaji
 
kazini anakwenda anakutana na hao hao anaotaka lazima kila jumamosi na jumapili akutane nao tena bar!

hamna hobby nyengine nyie zaidi ya bar? uuuh mna bore saa nyingine
 
jamani acheni mara nyingi huwa akina mama hawapendi kwenda out na wame zao kwa sababu ya mume kuogopa kumegewa na rafiki zake tena uje kuta mdada enzi zake alikuwa moto we acha tu jamani tuwaonee huruma.

Mfano tu jana nilikuwa na shoga yangu tunakataa mti panda mti maeneo fulani sasa kuna jamaa huwa anakuja na sijui ni mke wake au hawara au ATM nasema hivyo kwa kuwa mdada anapetee ya ndoa na ya uchumba wakati huyo mkaka hana hata pete na katika kudadisi jamaa baada ya kukolea akasema kwani huo mke wangu bwana!!!!!!!wote tulinywea.

Sasa baada ya kugundua kuwa yule mdada si mke wa jamaa basi kilichotokea akawa anamtania kwa hiyo yaani hata ile kusema mshikaji anaconcetrate na yule mdada hakuna tena yule mdada alichukia na kumwambia mshikaji kama tunatoka tena usiniletee hapa .
 
huko baa kama shida ni kupiga story na wanaume wenzao, si kila mwanaume angekuwa anakwenda na mkewe, wanaume meza yao kuongea yanayowahusu na wanawake mezani kwao kupiga porojo zao, baada ya hapo kila mmoja anarudi kwake na wake..

haya mambo ya kwenda bar bila wake zao si yanaweza kuzusha majambo? ukizingatia habari za ma baa maid, wachunaji. na hivi vikundi vya siku hizi vya shake shake tunavyosikia vina "tumbuiza" wanywaji ukiongeza na kinywaji kwenye vichwa vya watu...mmmhhh!!

Halafu watoto nyumbani nani atawalea? Hahaha! Hiyo red hiyo, hapo umenena jambo.
 
Hahaha! Akiwa na timu hiyo, kesho yake FL1 hatathubutu kutoka tena na hubby wake!!

Hahahaha na meza imechafuka kilaji wengine tukisha onja story zinakuja zenyewe juu kwa juu out ya mama ni mara moja tu kwa week yaani j2 hapo baba, mama na watoto mnatoka nao out hapo unakuwa na familia lakini sio naenda kuongea na marafiki na wife to be nae aje hiyo NO
 
Ah wanaume wakitaka mambo yao hakuna wa kuwazuia wengine atakuwa anapitiliza moja kwa moja toka kazini so anaua ndege wawili kwa jiwe moja job na outing. Lakini kusema ukweli ni kujipangia tu utaratibu wa maisha yenu.
 
Hahahaha na meza imechafuka kilaji wengine tukisha onja story zinakuja zenyewe juu kwa juu out ya mama ni mara moja tu kwa week yaani j2 hapo baba, mama na watoto mnatoka nao out hapo unakuwa na familia lakini sio naenda kuongea na marafiki na wife to be nae aje hiyo NO

Na hiyo ni Jumapili ya Mwisho wa mwezi. Usisahau wikiendi ndio kipindi wapwa tunakutana yale maeneo kwa ajili ya kubadilishana maujuzi na kupimana uwezo wa kumudu kilevi. Hahahaha!
 
Ah wanaume wakitaka mambo yao hakuna wa kuwazuia wengine atakuwa anapitiliza moja kwa moja toka kazini so anaua ndege wawili kwa jiwe moja job na outing. Lakini kusema ukweli ni kujipangia tu utaratibu wa maisha yenu.

Kwa hiyo ndo kusema wewe unapo enda kuli touch lazima twende wote si ndo hivyo? Na vile vyumba vya kwenye saloon vya ndani kwa ndani vina nini vile maana mzee upo nje unasubiri kumbe njemba inaua njiwa 2 kwa jiwe moja.
 
Kwa hiyo ndo kusema wewe unapo enda kuli touch lazima twende wote si ndo hivyo? Na vile vyumba vya kwenye saloon vya ndani kwa ndani vina nini vile maana mzee upo nje unasubiri kumbe njemba inaua njiwa 2 kwa jiwe moja.
hahahaaaaaaa jamani taratibu anayefanya hivi kweli kakubuhu lol!
 
Kwa hiyo ndo kusema wewe unapo enda kuli touch lazima twende wote si ndo hivyo? Na vile vyumba vya kwenye saloon vya ndani kwa ndani vina nini vile maana mzee upo nje unasubiri kumbe njemba inaua njiwa 2 kwa jiwe moja.

Mh we naye bwana!!

Ninamaanisha kuwa mwanaume akitaka kutoka outing mwenyewe na friends zake hakuna cha kumzuia kwani wanazo opportunities za kusingizia lol.

Hujambo lakini?
 
Kwa hiyo ndo kusema wewe unapo enda kuli touch lazima twende wote si ndo hivyo? Na vile vyumba vya kwenye saloon vya ndani kwa ndani vina nini vile maana mzee upo nje unasubiri kumbe njemba inaua njiwa 2 kwa jiwe moja.

Hahaha! Mi ndio maana huwa namwombaga wife anyoe upara. Biashara ya kumegewa na wakongo au wamasai siiwezi.
 
Fikiria tumekukatana kwenye kikao chetu cha jmosi au j2 na Mr. nae yupo huku na huku Masanilo anaingizia story kuwa dah ile wheel barrow style balaa huku pembeni kuna mdau Nguli nae anapigilia msumari hapa kati kuna Geoff nae anapigilia msumari hiyo lazima uwe umeshiba pembeni mpwa Chrispin nae anamwaga vitu wewe joto halita panda?

haya jamani nendeni mkajifunze hizo style zenu na sisi mtuache tukabadilishane mawazo ...tujifundishe pia mambo yetu yale ...
 
fidel .....unajua hivi mnapokaa bar mnadanganyana sana....ati saluni kuna vyumba vya ndani kwa ndani watu wanapiga ndege wawili kwa jiwe moja!
ndo unakuta mwanamme anakhiari alipie zaidi, lakini alete mtu wa saloon ndani kwake kuja kutoa huduma!
 
jamani acheni mara nyingi huwa akina mama hawapendi kwenda out na wame zao kwa sababu ya mume kuogopa kumegewa na rafiki zake tena uje kuta mdada enzi zake alikuwa moto we acha tu jamani tuwaonee huruma.

Hapa umenena niliporwa mchumba hivi hivi na jamaa nilikuwa na rafiki yangu half cast dah mchumba angu akamzia jamaa angu nikawa sina jinsi nilikuwa mdogo kama priton yaani binti alikuwa anashindwa kujizuia macho kodo kwa rafiki yangu na mm nilikomaa sikumwachia upenyo jamaa dah kumbe signal tu zilikuwa zinachezwa pale.
 
Halafu watoto nyumbani nani atawalea? Hahaha! Hiyo red hiyo, hapo umenena jambo.

Nadhani hii thread inatuhusu zaidi,Naomba tuboreshe hizi outing mpenzi wangu,soma vizuri ushauri huu hasa wa akina SHE wana ushauri mzuri.
 
Nadhani hii thread inatuhusu zaidi,Naomba tuboreshe hizi outing mpenzi wangu,soma vizuri ushauri huu hasa wa akina SHE wana ushauri mzuri.

Hahaha! Mchumba bana, unajuaga kunivizia wewe! Lol!
 
Hapa umenena niliporwa mchumba hivi hivi na jamaa nilikuwa na rafiki yangu half cast dah mchumba angu akamzia jamaa angu nikawa sina jinsi nilikuwa mdogo kama priton yaani binti alikuwa anashindwa kujizuia macho kodo kwa rafiki yangu na mm nilikomaa sikumwachia upenyo jamaa dah kumbe signal tu zilikuwa zinachezwa pale.

teh teh kumbe na wewe unazidiwa ujanja !!!
 
haya jamani nendeni mkajifunze hizo style zenu na sisi mtuache tukabadilishane mawazo ...tujifundishe pia mambo yetu yale ...

Nyie si mlishafundishwaga kwenye kitchen party? Au mnasahaugi mapema?
 
fidel .....unajua hivi mnapokaa bar mnadanganyana sana....ati saluni kuna vyumba vya ndani kwa ndani watu wanapiga ndege wawili kwa jiwe moja!
ndo unakuta mwanamme anakhiari alipie zaidi, lakini alete mtu wa saloon ndani kwake kuja kutoa huduma!

Hivi mkuu umeoa/umeolewa? Mimi nilikuwa natoa 70,000/= kwa wiki kuretouch
 
Back
Top Bottom