carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 265
Sasa mkiwa mnadiscuss na kupeana maufundi na kuonyeshana katerero inavyopigwa huwa practical mnafanyaje? maana wote tunajua umuhimu wa practicals katika ufundishaji na ujifunzajiUnajua hawa iwa hawajui tu pale watu tunabadilishana mawazo wengine hawajui Katerero inapigwaje sasa mnapo kuwa kwenye mazungumzo mnabadilishana maufundi ukifika home lazima F1 uchanganyikiwe na maufundi.