Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
- Thread starter
-
- #61
Ngozi nyeupe uwa ni tamu sana. Enjoy mkuuWhen boredom hits hard like a train-wreck. Pole sana mazee. Mimi leo asubuhi tu saa 1 hivi nimepigiwa simu za mwaliko, hapa nimetoka kutupia lunch moja hatari sana kwa watoto fulani hivi wa Kiarabu.
Usiku naenda kuhudhuria mwaliko mwingine, huko sasa kitawaka mno. Hapa napumzika nipate nguvu za kukesha baadae.
Best Festive Season so far....
Nimefanya aweke plan yani hapo hela na ajue ratiba ni nini na nini. Kisha ndio amwambie mtu "hello Jane am going to ..... I would like you to come by"Hii ni sawa na kutangulia kubook hotel na kulipia chumba kabisa afu later uanze tafuta mwanamke. Not a good idea
Baharia anatuangushaπππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wazungu kwa projects hawabandukiiii.Mzee wa plan. Wambie Project utaokota kama kumbikumbi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahSisi tupo na Mwajuma ndala ndefu. Kanawahi kukuwish Happy New Year.
Ukijichanganya kujibu, kinachofuata ni kibomu.
Nimechekaaa kwa nguvuu km chiziii.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukipiga zako puli ukapata viwili vya bure. Unapata usingizi wako saaafii. Full amani tena umerelax. Wanawake unaona kama takataka [emoji23]
Ngozi nyeupe ya kibantuu labda, hawa race ya huko mmmh wana baridi na hawanogii, afu wana harufu fulaan ya kukeraaaa.Ngozi nyeupe uwa ni tamu sana. Enjoy mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye hili eneo ataibuka kidedea, Kuna mambo tunaweza kushindwa ila sio hii idara. Zitatumika tekiniks zote unazijua na akili nyingi hua tunaitumia kwenye hili eneo.
Mtanzania awe mlugaluga namna Gani, ikifika hapa ndio hua sehem ya kuonyesha vipaji vyetu.
Jamaa hawezitoka Kapa, it's about flag.
Ukikua utaelewa vizuri haya mambo!πNgozi nyeupe ya kibantuu labda, hawa race ya huko mmmh wana baridi na hawanogii, afu wana harufu fulaan ya kukeraaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha wanachelewa sana kujua hii, waacheπππ
Ukipiga zako puli ukapata viwili vya bure. Unapata usingizi wako saaafii. Full amani tena umerelax. Wanawake unaona kama takataka π
Watu wengi wamekuuliza swali simple Tu...uko nchi gani?..naona umekwepa mara zote...why labda?Ukikua utaelewa vizuri haya mambo!π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nshawahi date nae race ya huko, nawajua bhanaa. Sema wako serious na wako real, hapo tyuuh mie napendaaUkikua utaelewa vizuri haya mambo![emoji6]
Watu wengi wamekuuliza swali simple Tu...uko nchi gani?..naona umekwepa mara zote...why labda?
Atleast nimepata mtu muelewa!..thanks ManπHiyo ni privacy ya mtu mkuu