Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
Nipo nchi za watu,
Leo kila nikijaribu kuomba outing na watoto wa kizungu zinagonga mwamba!..what a bad day😩 kuishi mbali na home ni shida sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naendelea kukomaa nae!Sasa Mkubwa uzembe wako wa kushawishi ndio unahitimisha outing zimegoma?
Kama huyo Lucie kwanini haujamkomalia? Wa kwanza amekupatia sababu Yuko na family wamemtembelea, huyo wapili Je?
Baharia umekazia🤣🤣Sasa Mkubwa uzembe wako wa kushawishi ndio unahitimisha outing zimegoma?
Kama huyo Lucie kwanini haujamkomalia? Wa kwanza amekupatia sababu Yuko na family wamemtembelea, huyo wapili Je?
Uko nchi ganiNipo nchi za watu, View attachment 2464389View attachment 2464388Leo kila nikijaribu kuomba outing na watoto wa kizungu zinagonga mwamba!..what a bad day😩 kuishi mbali na home ni shida sana.
Naendelea kukomaa nae!
Ameshajirekebisha. Anataka kutuaibisha mabaharia tumalize mwaka vibaya.Baharia umekazia🤣🤣
Wenzetu wapo tofauti kidogo mkuu, ameshasema hivyo ndio basi tena.Sawa Kiongozi, ila ndio shawishi ki jantal. Sio unauliza tu Mdada wa watu any plan today sijui countdown party...be gentle. Hamasisha mtu aache shughuli zake aone Bora amepata Cha kufanya Leo.
Usizingatie sana mastori ya Uzi wa kimasihara.
Tinder ndio nyumbani kwangu mkuu😅Ingia tinder acha uboya
Yani utoke leo na stranger? Mmh mwaka mpya unasherehekea na stranger kweli?Ingia tinder acha uboya
Wenzetu wapo tofauti kidogo mkuu, ameshasema hivyo ndio basi tena.
Tinder inawezekana kabisa😊Yani utoke leo na stranger? Mmh mwaka mpya unasherehekea na stranger kweli?
Bado unasisitiza🤣🤣Nakubaliana na wewe kabisa, na Moja ya kitu nnawapenda wako very straight hawana longolongo. Lakini huyu Mwamba nae anaingia kilegevu sana.
Sasa kwa nini uchukue mwanamke wa tinder wakati unao marafiki kibao, ungefanya booking mapema kabisa kwa mmoja wa washkaji zako usiku ungefurahia walau kidogo.Tinder inawezekana kabisa😊
Siyo stranger ni watu wanaojielewa..kama hutaki endelea na hizo hadhithi za sungura na fisiYani utoke leo na stranger? Mmh mwaka mpya unasherehekea na stranger kweli?
Zama Tinder mkuuNipo nchi za watu, View attachment 2464389View attachment 2464388Leo kila nikijaribu kuomba outing na watoto wa kizungu zinagonga mwamba!..what a bad day😩 kuishi mbali na home ni shida sana.