[emoji23][emoji23][emoji23]Jiwe ---overrated
Mimi Mars mwenyewe anajirudisha nyuma kwa kushindwa kutoka kwenye kivuli cha dada yake.Mimi mars namuelewa sana kwa sasa kuliko dada yake..Ana uimbaji fulani natural..Underrated√√
Young Lunya freestyle session zake za moto sana..ana ubizz babiloni fulani kwa mbali...I think ana derseve alipo..He is not underrated or overrated IMO
Mbona Mpoki mnambeza SanaKwa mpoki nakubaliana na ww, huko kwingine nakuachia mwenyewe!!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kutumika kivipi mkuu?Huyu mtoto wa Gadna manshaaah sana ila ndio hivyo ameshaanza kutumika sana
Kwa mpoki hapo sikibaliani....jamaa kwangu ndo best.
Joh makini ...underrated
Nash Mc.....underrated
Kwa sasa kwa uimbaji wa nyimbo za kumbeleza sio wa kumfikia Marioo.01.KENEDY THE REMEDY
Jamaa ni presenter mzuri,hatumii nguvu nyingi kupresent,lakini ni UNDERRATED SANA
02.MALKIA KAREN
Huyu mrembo ana uimbaji fulani mzuri sana lakini ni UNDERRATED sana
03.OTUCK WILLIAM
Bonge la rnb singer,tafuta ngoma zake youtube utanielewa..mfano push it ft Joh Makini..UNDERRATED sana
04.MPOKI
Hajawahi kunichekesha..OVERRATED comedian
Leta under na over zako
Yeye anashindwa nini kuwa cut short hao interviewers ?Mimi Mars mwenyewe anajirudisha nyuma kwa kushindwa kutoka kwenye kivuli cha dada yake.
Akifanya Interview zaidi ya 85% anamwongelea dada yake kitu ambacho ni cha kijinga sana.
Inaonekana kama wanaomhoji ni kama walitaka kumhoji Vanessa lakini hawampati.
Wenye connection wanajipigia tu kwa jinsi alivyo hata mie nipo tayari kutoa mshahara wangu wa miezi mitatu kwa ajiri yakeKutumika kivipi mkuu?
Si yupo umri sahihi wa kutafunwa..au anagawa hovyo?
Yeye anashindwa nini kuwa cut short hao interviewers ?
Anajua kuimba kweliAngalia video kama hii.Kanajua sana.