Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Maoni yako ni UnderratedToo much promo wakati kipaji cha kuimba ni wastani. Lavalava ni mzuri kwenye uandishi ila sauti yake ya kuimba hapana. Nandy sauti yake ya kuimba ni wastani haishtui kiviiile. Ni maoni yangu tu lakini.
[emoji23][emoji23][emoji23]Bigtime
Mbona huyo msanii simfahamu au sio mbongo?
Hiv unamfahamu?[emoji23][emoji23][emoji23]Bigtime
Mbongo huyoMbona huyo msanii simfahamu au sio mbongo?
Angekuwa ni mbongo ningemfahamu labda uniambie ni underground ambaye Hana platform.
Hii ni kampuni ina website ya kurusha na kutengeneza video za kikubwa huko majuuHiv unamfahamu?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwamba unazingua
Duh kwahiyo nimeingia Chaka nikazani jina la mtu 🤣🤣Hii ni kampuni ina website ya kurusha na kutengeneza video za kikubwa huko majuu
Mc PiliPili overrated.
TBC underated
UVCCM underated
MWAKINYO underated
LIPUMBA underated
SIMBA SC OVERATED
B-12 huyu presenter yuko OVERRATED sana ni wa kawaida kupita maelezo na anayekinogesha kipindi cha XXL ni Adam mchomvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hip hop ya tamaduni iko underrated sana
Joh makini na weusi kiujuml - OVERRATED
Sisikilizi sana show za mchana now days
Ila kwa bongo hii mpaka sasa B - 12 anabaki kuwa king of afternoon show
Dozen anajua kum - interview mtu vizuri na maswali ya kueleweka mchomvu ni mpiga kelele
Dozen anajua aongee nini wakati gani mchovu hachelewi kutupi neno la ajabu na kijinga hata tusi katikati ya show
Dozen anajua time management vizuri kitu amabacho mchomvu hana fuatilia show ambazo ana host mchovu pekee utaliona hili
Kingine kwa utangazaji bongo hii lil ommy yupo overrated sana
Na kingine tu Dozen ni rol model wa watangazaji wengi sana angalia wangapi wana-copy staili yake ya utangazaji
Nakusubiri.
Mimi Mars simkubali kihivyo, ila kwangu mimi ndiyo msanii pekee ambaye hajawahi kutoa wimbo mbaya hata mmoja.
Joti anatumia nguvu nyingi kuchekesha - overrated
Idriss sultan - overrated.
Wema sepetu - overrated
Jpm - overrated
Maua sama - underrated